Wapiga picha wa Azam Media wana elimu Gani? Au wanafanya kusudi

Kuna dada mmoja aliwahi pata kazi kwa kudanganya jina.

Sasa akawa anajisahau.

Wakimwita kwa jina jipya anakaa kimya kumbe kasahau jina lake la kuzugia.

Kujitetea akawa anawaambia ana matatizo ya masikio.

Ubaguzi wa kidini sio mzuri.
Hapo kabaguliwa nini!?..hizo media zingine huko nyuma mabinti wa kiislam wakiambiwa wavue ushungi ikiwa wanataka kazi,itv dini Moja tu imetawala,mungu mkubwa mpemba kafungua media house kubwa haijapata tokea, kelele kibao,na hapo akina mpenja,samweli, Charles wapo wengi tu
 
Ila kuna watu wadini, nafikiri ile assalam aleykum, amani iwe nanyi ya mpenja inakukera sana.
Kwamba kwa sababu dodoma wanaonesha msikiti na singida waoneshe msalaba.

MImi huwa naangalia mpira home(natazama matukio yote) lakini kuna wadada ambapo hawajavaa ushungi wanaoneshwa(mpenja atasema waoo mlimbwendeee huyu), wanaume ambao hawajavaa kanzu pia wanaoneshwa etc
Hayo madai yako hayana msingi wowote.
 
Ndo maana nilipokuwa early teen niliamini sana kuwa matusi humfanya mtu akili ikae sawa, yaani ukimtukana anakuwa sawa na mambo yalienda vizuri. Now umri umeenda matatizo ni mengi sana.
katoa mada kanavyojieleza utafikiri kenyewe ndo huwa kanaangalia huo mpira pekeake. Kajinga sana haka.
 
Kwani zile za kinaigeria za Itv zinazoishiaga kuwa mlokole ziliishia baada ya Azam kuanza matangazo ya TV au
 
Huyu jamaa ni lofa sana aisee yaani et coverage kubwa ni msikiti. Anavyoongea utafikiri ni yeye pekeake huwa anaangalia mpira. Watu wamefikia hatua ya kushauri azam TV itumike kama VAR kwa sababu ya ubora wa urushaji matangazo ya mpira yeye anakwambia sijui wataishia pabaya.
 
Unataka niandike ushahidi gani zaidi ya huo
Kuwa kipaumbele ni kwa wale wenye maudhui ya dini fulani ndio kipaumbele?
Kipaumbele ni mpira, Acha kujizima data. Toa ushahidi usio na shaka acha kuunga unga doti
 
Mkuu unavaa nusu uchi na mapaja yako meusi then unataka uonekane Live Azam Tv ?

Vaeni vizuri bagarashia baibui Kama Mungu anavyotaka that all hakuna kingine
Mungu anataka watu wavae baraghashia?

Baraghashia ni utamaduni wa mwarabu mkuu, Amka toka usingizini
 
Mbona kwenye ziara ya rais pale Dodoma huwa wanaonesha msikiti wa Gadafi na adhana inatoka tunasikia kupitia Tbccm,matangazo ya habari kuna picha ya lile kanisa kubwa la Posta silijui jina,hata picha za kuonesha Bandar ya Dar na yale majengo marefu kanisa na msalaba wake huoneshwa.....mbona hausemi,tuseme tu wewe ni mdini mpuuzi mmoja unataka kuleta chuki kwa Azam media.
Hamasisha watu wenu makanisani waache kununua na kuangalia mpira kupitia Azam tv kama utafanikiwa.
 
Mpira ni public interest akiachana na kurusha mpira wa Tanzania atabaki na kurusha maudhui ya wapemba wenzie hakuna atakayenfatilia
Yaani umekwama na , wapemba, waarabu, mara wayemen, hadi waislam. Sema sipendi waislam na vitu vyao, huna haja ya kuanzisha ajenda ya kupiga uislam vita kupitia tv za watu, ni mpango muovu acha
 
Kuna dada mmoja aliwahi pata kazi kwa kudanganya jina.

Sasa akawa anajisahau.

Wakimwita kwa jina jipya anakaa kimya kumbe kasahau jina lake la kuzugia.

Kujitetea akawa anawaambia ana matatizo ya masikio.

Ubaguzi wa kidini sio mzuri.
Uwongo wa hivi nao unauleta humu, bali haishangazi si kuna watu wanaamini jp ni mwishoni mwa wiki?
 
Wa ajabu hao! Kuna mechi kati ya Azam na Ihefu au Namungo nimesahau kidogo. Mpiga picha hakurudia goli walilofungwa Azam na kukataliwa na refa.

Hawakurudia mpaka leo kwa sababu lilikuwa ni goli halali mana tuliliona!

Ni bora wangerudia, mana mashabiki walianza kusema Azam kanunua mechi kwa sababu hataki kuonesha marudio ya goli lile!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
TV ina udini sana, sijawahi kuipenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…