inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hapo kabaguliwa nini!?..hizo media zingine huko nyuma mabinti wa kiislam wakiambiwa wavue ushungi ikiwa wanataka kazi,itv dini Moja tu imetawala,mungu mkubwa mpemba kafungua media house kubwa haijapata tokea, kelele kibao,na hapo akina mpenja,samweli, Charles wapo wengi tuKuna dada mmoja aliwahi pata kazi kwa kudanganya jina.
Sasa akawa anajisahau.
Wakimwita kwa jina jipya anakaa kimya kumbe kasahau jina lake la kuzugia.
Kujitetea akawa anawaambia ana matatizo ya masikio.
Ubaguzi wa kidini sio mzuri.
Hata kuonesha picha za X 😂😂😂😂Nadhani ni private company, hivyo wana haki ya kufanya chochote wanachotaka
Tembea uone mkuu acha ushamba huo…..kwani afya sio public serviceKama wanaleta udini tayari wanakosa sifa za kurusha matangazo ya mpira kwasababu mpira ni public interest
ilimradi wasivunje sheria za nchiHata kuonesha picha za X 😂😂😂😂
Ndo maana nilipokuwa early teen niliamini sana kuwa matusi humfanya mtu akili ikae sawa, yaani ukimtukana anakuwa sawa na mambo yalienda vizuri. Now umri umeenda matatizo ni mengi sana.Azam huonesha watu waliovaa kanzu na baibui tu uwanjani!?..pale kirumba ile mall pembeni huwa haioneshwi!?..ziwa haioneshwi!!..miji kwa ujumla huwa haioneshwi!?..tabora,kigoma miji haikuoneshwa msimu uliopita kombe la shirikisho!?..Dodoma bunge huwa haioneshwi!?..ulichokiona wewe watu wenye kanzu na baibui na maikiti wa Gaddafi!?..acha ujinga
Kwani zile za kinaigeria za Itv zinazoishiaga kuwa mlokole ziliishia baada ya Azam kuanza matangazo ya TV auUko makin mkuu,hata mimi huwa nawachora tu
iLe tamthilia ya Osman bey au ile ya Etugrul,ingekuwa wakristo wanatabia kama za hawa ndugu zetu ingekuwa imeshazuiliwa
Maana kwenye Etugrul na hyo ya Osman bey kuna scene zinaonekana wakristo wakiuawa na hao watu wanaopenda kusema Allah wakibaru
Huyu jamaa ni lofa sana aisee yaani et coverage kubwa ni msikiti. Anavyoongea utafikiri ni yeye pekeake huwa anaangalia mpira. Watu wamefikia hatua ya kushauri azam TV itumike kama VAR kwa sababu ya ubora wa urushaji matangazo ya mpira yeye anakwambia sijui wataishia pabaya.Niko hapa naangalia azam one na two. Matangazo ya heri ya Christmas ni mengi.
Sijui unaangalia azam ipi ila azam tunayoijua inafanya haki.Watu weng wamekuwa wakioneshwa mpka wakaa uchi.Sikumbuki ni lini nmeona kanzu na baibui zikioneshwa
Jaribuni kuchukua wachungaji na masister tuone kama hawatowaonesha.
Kazi ya azam ni kuonesha mpira sio washabiki
Umetawaliwa na chuki em badirika.Sas kama coverage ya msikitini DODOMA ni kubwa kuliko mpira unamaanisha mpira unaoneshwa Dakika 30 na huo msikiti ni Dakika 60 ,kipind cha uchambuz msikitini unaonekana sana kuliko story za mpira [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wew jamaa ban chuki zitakuua.
Wew ulijuaje pale singida kuna msalaba ambao azam wanaukwepa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunaruhusu uchinga vichwan mwetu kama mataila.
Kipaumbele ni mpira, Acha kujizima data. Toa ushahidi usio na shaka acha kuunga unga dotiUnataka niandike ushahidi gani zaidi ya huo
Kuwa kipaumbele ni kwa wale wenye maudhui ya dini fulani ndio kipaumbele?
Mungu anataka watu wavae baraghashia?Mkuu unavaa nusu uchi na mapaja yako meusi then unataka uonekane Live Azam Tv ?
Vaeni vizuri bagarashia baibui Kama Mungu anavyotaka that all hakuna kingine
Yaani umekwama na , wapemba, waarabu, mara wayemen, hadi waislam. Sema sipendi waislam na vitu vyao, huna haja ya kuanzisha ajenda ya kupiga uislam vita kupitia tv za watu, ni mpango muovu achaMpira ni public interest akiachana na kurusha mpira wa Tanzania atabaki na kurusha maudhui ya wapemba wenzie hakuna atakayenfatilia
Unamaanisha au?Waarabu hawana sifa ya kuwa waafrika kwasababu wanakosa sifa nyingi wengi ni wajinga
Uwongo wa hivi nao unauleta humu, bali haishangazi si kuna watu wanaamini jp ni mwishoni mwa wiki?Kuna dada mmoja aliwahi pata kazi kwa kudanganya jina.
Sasa akawa anajisahau.
Wakimwita kwa jina jipya anakaa kimya kumbe kasahau jina lake la kuzugia.
Kujitetea akawa anawaambia ana matatizo ya masikio.
Ubaguzi wa kidini sio mzuri.
Wa ajabu hao! Kuna mechi kati ya Azam na Ihefu au Namungo nimesahau kidogo. Mpiga picha hakurudia goli walilofungwa Azam na kukataliwa na refa.Wiki iliyopita nilisoma uzi wa mdau kuhusu Azam media kuepuka kutaja neno Christmas kwenye maudhui yao ya kutakia watanzania heri ya sikukuu za mwisho wa mwaka.
Ni kweli sio bahati mbaya ni mipango yao kwa kuwa ni kampuni binafsi hata wakilalamika watachoka wataacha
Sasa nikajipa jukumu la kuchunguza angle fulani ya wapiga picha wa Azam media hasa wanaorusha mpira wa ligi kuu
Ndipo nikafikia swali kujiuliza hawa watu wanataaluma kweli au ndio wanafuata matakwa ya boss
Kitu cha kwanza nilichogundua ukiwa umevaa mavazi fulani yenye utamaduni wa imani fulani ndani ya dakika tisini wanaweza kumzoom huyo mtu hata mara kumi iwe mwanamke au mwanaume
Je hawa watangazaji huwa wanapewa maelekezo au ndio mahaba yao binafsi? Kwamba uwanjani kipaumbele ni watu fulani ndio wenye hadhi ya kuwa spotted na camera?
Kama huamini jaribu kuvaa kama waarabu nenda uwanjani utaona kila muda upo live kwa TV
Kitu kingine pale uwanja wa Dodoma kuna nyumba ya ibada alijenga Gadafi ile nyumba kama kuna mechi pale huwa inafanyiwa coverage kuliko hata matukio ya uwanjani hivi azam haina mtu wa maudhui au ni mikakati yao
Upande wa pili kule Singida kuna nyumba ya ibada ipo karibu na uwanja ile nyumba kwa juu ina msalaba kitu cha kushangaza warusha picha huonyesha mashabiki waliokaa kwenye milima wakionyesha mpira ila huwa wanakuwa makini sana ule msalaba usionekane
Kitu kingine wanaopangwa kama watangazaji wa mchezo wanaopewa kipaumbele ni wale wanaosalimia kwa kwa salamu ya dini
TFF mtalaumiwa kama hii ligi itaharibiwa na hawa watu
Mnaona ligi ya Egypt ambayo ni kama nchi ya kiislam hawana ubaguzi wa kidini hata kidogo
Mnaona ligi ya Africa Kusini ambayo ni kama nchi ya kikrsto hawana ubaguzi wa kidini na ligi yao ni bora
Azam media ni kama wana ajenda yao waambiwe tu hawatafanikiwa na wanaweza kupotea kabisa
Hata ukiwa private company, unatakiwa uwe nutro hasa katika kitu kinachopendwa na wengi mfano mpira!Nadhani ni private company, hivyo wana haki ya kufanya chochote wanachotaka
Hii sheria ni kifungu gani?Hata ukiwa private company, unatakiwa uwe nutro hasa katika kitu kinachopendwa na wengi mfano mpira!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
TV ina udini sana, sijawahi kuipendaWiki iliyopita nilisoma uzi wa mdau kuhusu Azam media kuepuka kutaja neno Christmas kwenye maudhui yao ya kutakia watanzania heri ya sikukuu za mwisho wa mwaka.
Ni kweli sio bahati mbaya ni mipango yao kwa kuwa ni kampuni binafsi hata wakilalamika watachoka wataacha
Sasa nikajipa jukumu la kuchunguza angle fulani ya wapiga picha wa Azam media hasa wanaorusha mpira wa ligi kuu
Ndipo nikafikia swali kujiuliza hawa watu wanataaluma kweli au ndio wanafuata matakwa ya boss
Kitu cha kwanza nilichogundua ukiwa umevaa mavazi fulani yenye utamaduni wa imani fulani ndani ya dakika tisini wanaweza kumzoom huyo mtu hata mara kumi iwe mwanamke au mwanaume
Je hawa watangazaji huwa wanapewa maelekezo au ndio mahaba yao binafsi? Kwamba uwanjani kipaumbele ni watu fulani ndio wenye hadhi ya kuwa spotted na camera?
Kama huamini jaribu kuvaa kama waarabu nenda uwanjani utaona kila muda upo live kwa TV
Kitu kingine pale uwanja wa Dodoma kuna nyumba ya ibada alijenga Gadafi ile nyumba kama kuna mechi pale huwa inafanyiwa coverage kuliko hata matukio ya uwanjani hivi azam haina mtu wa maudhui au ni mikakati yao
Upande wa pili kule Singida kuna nyumba ya ibada ipo karibu na uwanja ile nyumba kwa juu ina msalaba kitu cha kushangaza warusha picha huonyesha mashabiki waliokaa kwenye milima wakionyesha mpira ila huwa wanakuwa makini sana ule msalaba usionekane
Kitu kingine wanaopangwa kama watangazaji wa mchezo wanaopewa kipaumbele ni wale wanaosalimia kwa kwa salamu ya dini
TFF mtalaumiwa kama hii ligi itaharibiwa na hawa watu
Mnaona ligi ya Egypt ambayo ni kama nchi ya kiislam hawana ubaguzi wa kidini hata kidogo
Mnaona ligi ya Africa Kusini ambayo ni kama nchi ya kikrsto hawana ubaguzi wa kidini na ligi yao ni bora
Azam media ni kama wana ajenda yao waambiwe tu hawatafanikiwa na wanaweza kupotea kabisa
Kuna sheria za jamii pia ambazo hazijaandikwa sehemu yoyote, lakini ni muhimu kulinda umoja na mshikamano!Hii sheria ni kifungu gani?