Wapinzani anzeni upya, Rais Samia ni mpya pia

Wapinzani anzeni upya, Rais Samia ni mpya pia

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Chadema wana wivu na Zitto Kabwe kwa kuupiga mwingi mbele ya Rais Samia. Mama Samia alionekana kumuelewa zaidi Zitto kwa lunga na tone aliyotumia kuhusu Mbowe kuliko akina Lisu na Lema. Issue is not what you say but how you say it.

Rais Samia hahusiki na sakata la vyama vya siasa kuzuiwa kufanya siasa wala kesi ya Mwenyekiti Mbowe wala katiba wala tume huru, na inaonekana hata Rais Samia inamuumiza sana moyoni lakini aliikuta kesi hiyo nae kwa kuambiwa tu baadhi ya mambo. Hivyo ni vema chadema na wapinzani wakawa wapole mbele ya Rais mpya ili waanze upya. Lisu na Lema wako ulaya wanakula bata wakati mwenyekiti Mbowe yuko mahabusu. Wananchi wengi wamemuelewa sana Zitto kuliko Lema anaeishi Canada kuhusu alichosema Zitto kwa Rais Samia. Lema anamuonea wivu Zitto kwenye hili kuliko wale wanaotaka wapewe na serikali ulinzi binafsi ndio warudi tz, upuzi kabisa.

Tutumie lugha ya staha na kimama kuliko ubabe, nadhani ni vema Lisu na Lema warudi Tanzania tuanze wote upya tukiwa hapahapa mbele ya Rais mpya.
 
Tatizo kubwa la chadema wao wanajiona wao ndiyo wapinzani peke yao hapa Tanzania ndiyo maana tumemsikia lisu idhaa kiswahili ya DW akisema hajawahi kuwa na zitto nauliza je wanataka nini au vita ndiyo chaguo lao
 
Utaanza vipi upya kwa maovu ya uvunjifu wa sheria aliyorithi toka kwa mtangulizi wake?
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Tatizo kubwa la chadema wao wanajiona wao ndiyo wapinzani peke yao hapa Tanzania ndiyo maana tumemsikia lisu idhaa kiswahili ya DW akisema hajawahi kuwa na zitto nauliza je wanataka nini au vita ndiyo chaguo lao
Shida ya Lisu na Lema wanadhani kuwa wao ndio viranja wa viongozi wote wa vyama vya upinzani. Yaani wakisema tusiende wanataka viongozi wote wasiende hata bila idhini ya vyama vyao. Actually, Lissu na wenzake ndio waliosababisha kukwama kwa mchakato woote wa Katiba mpya kwa kulazimisha Muungano wa serikali 3 na kusababisha yale mazuri yooote kwenye katiba pendekezwa yakosekane mpaka leo. Katiba ile waliyoivuruga ilikuwa na hata tume huru ya uchaguzi lakini Lisu akawachochewa wenzake woote hadi tukaikosa Katiba yote.
 
Shida ya Lisu na Lema wanadhani kuwa wao ndio viranja wa viongozi wote wa vyama vya upinzani. Yaani wakisema tusiende wanataka viongozi wote wasiende hata bila idhini ya vyama vyao. Actually, Lissu na wenzake ndio waliosababisha kukwama kwa mchakato woote wa Katiba mpya kwa kulazimisha Muungano wa serikali 3 na kusababisha yale mazuri yooote kwenye katiba pendekezwa yakosekane mpaka leo. Katiba ile waliyoivuruga ilikuwa na hata tume huru ya uchaguzi lakini Lisu akawachochewa wenzake woote hadi tukaikosa Katiba yote.
We unaishi nchi gani?Katiba mpya Ile iliyonajisiwa na CCM Kwa kuondoa sehemu kubwa ya maoni ya wananchi yaliyokuwq kwenye Rasimu ya Warioba!!!!Usichekeshe jukwaa hapa!
 
Hii nchi watawala wanataka kulambwa miguu Ili watende haki za kikatiba!
Hapo hapo unakuta wameapa mbele ya mamilioni ya watanzania kuilinda na kuiheshimu Katiba,laana za kujitakia!
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Chadema wana wivu na Zitto Kabwe kwa kuupiga mwingi mbele ya Rais Samia. Mama Samia alionekana kumuelewa zaidi Zitto kwa lunga na tone aliyotumia kuhusu Mbowe kuliko akina Lisu na Lema. Issue is not what you say but how you say it.

Rais Samia hahusiki na sakata la vyama vya siasa kuzuiwa kufanya siasa wala kesi ya Mwenyekiti Mbowe wala katiba wala tume huru, na inaonekana hata Rais Samia inamuumiza sana moyoni lakini aliikuta kesi hiyo nae kwa kuambiwa tu baadhi ya mambo. Hivyo ni vema chadema na wapinzani wakawa wapole mbele ya Rais mpya ili waanze upya. Lisu na Lema wako ulaya wanakula bata wakati mwenyekiti Mbowe yuko mahabusu. Wananchi wengi wamemuelewa sana Zitto kuliko Lema anaeishi Canada kuhusu alichosema Zitto kwa Rais Samia. Lema anamuonea wivu Zitto kwenye hili kuliko wale wanaotaka wapewe na serikali ulinzi binafsi ndio warudi tz, upuzi kabisa.

Tutumie lugha ya staha na kimama kuliko ubabe, nadhani ni vema Lisu na Lema warudi Tanzania tuanze wote upya tukiwa hapahapa mbele ya Rais mpya.
Mkuu kweli tupo pamoja nchi hii na elewa UONGO ni uchawi mbaya sana,tuna katiba inayompa mamlaka Rais ya kuweza kuwaua wahehe wote na maisha yakaendelea!sasa huu upya unautoa wapi?
 
Twambie kwanza uchaguzi wa Serikali za mitaa nani alivunja sheria, Uchaguzi mkuu ulioongozwa na kauli ya 'nimekupa gari, nakulipa mshahara halafu unamtangaza mpinzani' ni nani alivunja sheria? Sasa sikiliza kauli ya jana kwamba uhuru/demokrasia siyo kuvunja sheria sijui alimwambia huyo aliyekuwa anavunja au kudai katiba ndo kuvunja sheria.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
We unaishi nchi gani?Katiba mpya Ile iliyonajisiwa na CCM Kwa kuondoa sehemu kubwa ya maoni ya wananchi yaliyokuwq kwenye Rasimu ya Warioba!!!!Usichekeshe jukwaa hapa!
Sema wewe kipengele kibaya kabisa kwenye katiba ile Mpya pendekezwa. Kitu pekee kilichowatoa kwenye mchakato na kunganisha chadema na CUF na kuunda UKAWA ni aina ya Muungano tu basi. Mambo mengine yote yalikuwa na ahueni kuliko yalivyo kwenye katiba ya 1977.
 
Nafikiri kuna jambo ambalo hamjui, je Zitto aliombwa na nani akaombe Mbowe kuachiliwa? Au ni utashi wake? CHADEMA wapo mahakamani huku Rais amesema Mbowe amevunja sheria wakati kesi ipo mahakamani. Hii inailazimu mahakama kudhibitisha alichokisema Rais Mbowe alivunja sheria. Sasa kwa hizi kauli humu ni kuwa CHADEMA waombe katiba mpya na sio kudai katiba mpya. Je hili linawezekena je wewe mtoa mada huhitaji Kariba mpya?. Ili kurudisha nguvu kwa wananchi ni lazima katiba ifanye hivyo na sii watawala.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Sema wewe kipengele kibaya kabisa kwenye katiba ile Mpya pendekezwa. Kitu pekee kilichowatoa kwenye mchakato na kunganisha chadema na CUF na kuunda UKAWA ni aina ya Muungano tu basi. Mambo mengine yote yalikuwa na ahueni kuliko yalivyo kwenye katiba ya 1977.
Maoni ya wananchi yalichakachuliwa Kwa kiasi kikubwa!
Column ilienea,kwani mlipigisha kura Hadi watu waliokuwa wamelazwa India!
Sasa kwanini hamkuendelea na hatua iliyofuata ambayo ni wananchi kuipigia kura!
Mlijua mtaangukia pua Kwa kuwa mlinajisi maoni ya wananchi!
 
Mkuu kweli tupo pamoja nchi hii na elewa UONGO ni uchawi mbaya sana,tuna katiba inayompa mamlaka Rais ya kuweza kuwaua wahehe wote na maisha yakaendelea!sasa huu upya unautoa wapi?
Kumbuka kuwa Rais Samia hakuletwa kwenye Urais kwa upepo wa kisulisuli, bali ni katiba hii, hivyo sio rahisi yeye aseme ghafla Katiba hii ni mbaya tutunge nyingine. Wapinzani wangetumia fursa hii ya Rais mpya kabisa nchini wa aina yake kukaa nae kitako kwa lugha ya kimama kujadili demokrasia na utawala wa sheria. Mama ni mpya na ni mwanamke ndivyo usimbebeshe madhambi ya Katiba na Magufuli ambayo yeye hahusiki.
 
Nafikiri kuna jambo ambalo hamjui, je Zitto aliombwa na nani akaombe Mbowe kuachiliwa? Au ni utashi wake? CHADEMA wapo mahakamani huku Rais amesema Mbowe amevunja sheria wakati kesi ipo mahakamani. Hii inailazimu mahakama kudhibitisha alichokisema Rais Mbowe alivunja sheria. Sasa kwa hizi kauli humu ni kuwa CHADEMA waombe katiba mpya na sio kudai katiba mpya. Je hili linawezekena je wewe mtoa mada huhitaji Kariba mpya?. Ili kurudisha nguvu kwa wananchi ni lazima katiba ifanye hivyo na sii watawala.
Hakuna kosa alilolifanya Zitto wala Mama Samia, wapelelezi na wanasheria wake wa serikali (mhimili wake) walimwambia kuwa Mbowe anayo kesi ya kujibu kwanini yeye asiwaamini wanasheria wake? Kama Mbowe hana hatia itasemwa na mahakama lakini sio yeye. Zitto alichosema kiko ndani ya mamlaka ya Rais kwa mujibu wa katiba yetu. Tata JPM alifuta kesi za uhujumu uchumi za watuhumiwa na akaamuru walipe pesa badla ya kuendelea na kesi.

Shida ya chadema ni zitto kupata heshima na milage na kuingia kwenye kumbukumbu za watanzania na dunia kama Mbowe ataachiwa huru na mama Samia.
 
Chadema wana wivu na Zitto Kabwe kwa kuupiga mwingi mbele ya Rais Samia. Mama Samia alionekana kumuelewa zaidi Zitto kwa lunga na tone aliyotumia kuhusu Mbowe kuliko akina Lisu na Lema. Issue is not what you say but how you say it.

Rais Samia hahusiki na sakata la vyama vya siasa kuzuiwa kufanya siasa wala kesi ya Mwenyekiti Mbowe wala katiba wala tume huru, na inaonekana hata Rais Samia inamuumiza sana moyoni lakini aliikuta kesi hiyo nae kwa kuambiwa tu baadhi ya mambo. Hivyo ni vema chadema na wapinzani wakawa wapole mbele ya Rais mpya ili waanze upya. Lisu na Lema wako ulaya wanakula bata wakati mwenyekiti Mbowe yuko mahabusu. Wananchi wengi wamemuelewa sana Zitto kuliko Lema anaeishi Canada kuhusu alichosema Zitto kwa Rais Samia. Lema anamuonea wivu Zitto kwenye hili kuliko wale wanaotaka wapewe na serikali ulinzi binafsi ndio warudi tz, upuzi kabisa.

Tutumie lugha ya staha na kimama kuliko ubabe, nadhani ni vema Lisu na Lema warudi Tanzania tuanze wote upya tukiwa hapahapa mbele ya Rais mpya.
Hivi kwa nini mnajidharau hivyo? Yaani ulaya ndo Kuna Bata tu!! Kwa hiyo unajitukana kwamba nyie miafrika Ni ya hovyo na viongozi wenu Ni wa hovyo hususani Samia.
 
Maoni ya wananchi yalichakachuliwa Kwa kiasi kikubwa!
Column ilienea,kwani mlipigisha kura Hadi watu waliokuwa wamelazwa India!
Sasa kwanini hamkuendelea na hatua iliyofuata ambayo ni wananchi kuipigia kura!
Mlijua mtaangukia pua Kwa kuwa mlinajisi maoni ya wananchi!
UKAWA hakuwa na plan, ni aina ya muungano tu ndiyo iliyosababisha katiba mpya isipatikane, kwani hakuna anaetaka muungano ujadiliwe. Na duniani kote hata kwenye dunia iliyoendelea hawajadili Muungano. Marekani hawako tayari Muungano wao ujadiliwe, Uingereza hawakubali na hata Spain hawakubali, ndio maana viongozi wa catalunya walipata misukosuko mingi walipotaka jimbo lile ambalo timu ya Barcelona ndio nyumbani kwake wajitenge na spain, Kashmir, Taiwan, Biafra, Honkong, nk hawaruhusiwi kujadili miungano yao ingawa nako kuna shida ya muungano. Hapa kwetu Tundu Lisu na Maalim Seif walitaka lazima ujadiliwe kwa lazima. Huu ndio upuuzi wa Tundu Lissu wa kutopambanua mambo. Ni rahisi sana kusema anatumiwa na mabeberu ingawa pengine sio hivyo.
 
Hivi kwa nini mnajidharau hivyo? Yaani ulaya ndo Kuna Bata tu!! Kwa hiyo unajitukana kwamba nyie miafrika Ni ya hovyo na viongozi wenu Ni wa hovyo hususani Samia.
Rudini huku tupambanie huku. Ulaya kuna bata, watu wanaenda huko kwa majahazi kwa maelfu kila siku na kufia baharini kabla ya kufika huko
 
uzi wa vyama vya ma-snitch wa ACT & CCM...……...
 
UKAWA hakuwa na plan, ni aina ya muungano tu ndiyo iliyosababisha katiba mpya isipatikane, kwani hakuna anaetaka muungano ujadiliwe. Na duniani kote hata kwenye dunia iliyoendelea hawajadili Muungano. Marekani hawako tayari Muungano wao ujadiliwe, Uingereza hawakubali na hata Spain hawakubali, ndio maana viongozi wa catalunya walipata misukosuko mingi walipotaka jimbo lile ambalo timu ya Barcelona ndio nyumbani kwake wajitenge na spain, Kashmir, Taiwan, Biafra, Honkong, nk hawaruhusiwi kujadili miungano yao ingawa nako kuna shida ya muungano. Hapa kwetu Tundu Lisu na Maalim Seif walitaka lazima ujadiliwe kwa lazima. Huu ndio upuuzi wa Tundu Lissu wa kutopambanua mambo. Ni rahisi sana kusema anatumiwa na mabeberu ingawa pengine sio hivyo.
Nini kilichozuia mchakato kuendelea wakati ilipita Kwa kishindo bungeni?Mbona hamkuleta Kwa wananchi Ili tuipigie kura?
 
Chadema wana wivu na Zitto Kabwe kwa kuupiga mwingi mbele ya Rais Samia. Mama Samia alionekana kumuelewa zaidi Zitto kwa lunga na tone aliyotumia kuhusu Mbowe kuliko akina Lisu na Lema. Issue is not what you say but how you say it.

Rais Samia hahusiki na sakata la vyama vya siasa kuzuiwa kufanya siasa wala kesi ya Mwenyekiti Mbowe wala katiba wala tume huru, na inaonekana hata Rais Samia inamuumiza sana moyoni lakini aliikuta kesi hiyo nae kwa kuambiwa tu baadhi ya mambo. Hivyo ni vema chadema na wapinzani wakawa wapole mbele ya Rais mpya ili waanze upya. Lisu na Lema wako ulaya wanakula bata wakati mwenyekiti Mbowe yuko mahabusu. Wananchi wengi wamemuelewa sana Zitto kuliko Lema anaeishi Canada kuhusu alichosema Zitto kwa Rais Samia. Lema anamuonea wivu Zitto kwenye hili kuliko wale wanaotaka wapewe na serikali ulinzi binafsi ndio warudi tz, upuzi kabisa.

Tutumie lugha ya staha na kimama kuliko ubabe, nadhani ni vema Lisu na Lema warudi Tanzania tuanze wote upya tukiwa hapahapa mbele ya Rais mpya.
Lugha ya kimama? Haki haiombwi bro
 
Lugha ya kimama? Haki haiombwi bro
Bro niwaambie kitu!! Mtapoteza fursa muhimu sana kama madhambi ya CCM na Rais JPM kwenye democrasia mtambwagia Rais Samia ayabebe kwa kumkemea, kumdhihaki, kumkejeli na kumtolea lugha ngumu za kikakamavu zinazotokana na majeraha na makovu mliyonayo ya kisiasa. Rais Samia naweza kusema hahusiki sana na michezo michafu ya kidemokrasia tunayoiona na tuliyoiona huko nyuma, hata yeye ndio kwanza anajifunza kwanini na sababu hasa zilizotufikisha hapo kidemokrasia. Rais Samia kwetu ni kama kocha mpya kwenye timu ya mpira wa miguu ambayo kila mchezaji atajitahidi kucheza vizuri ili kumshawishi kocha mpya ampe namba kwenye kikosi cha kwanza. Hata wale waliokuwa hawapati namba kwa kocha wa zamani aliyeondoka watajituma zaidi kwa bidii ili kumshawishi kocha mpya asiwaweke benchi tena. Mchezaji hatapata namba kwa kocha mpya kwenye timu kwa kumlalamikia kocha aliyepita kutompa nafasi ya kucheza, bali kwa kuongeza bidii na kubadilisha tabia yake ya uvivu mazoezini na tabia mbaya nje ya uwanja.

Nakumbuka Mama Samia pamoja na misimamo mikali ya aliyekuwa boss wake kuhusu upinzani na Lissu, lakini alikwenda kumjulia hali Lisu wakati alipokuwa amejeruhiwa. Hivyo mimi binafsi, sioni ni kwanini chadema wamuone ZITTO kakosea kutumia polite language ili kupata matokeo chanya badala ya kutumia lugha kavu, ya kibabe, ya hasira ya kusema "mtoe mbowe mahabusu bila mashariti yoyote maana amesingiziwa ugaidi" Lugha kama hiyo sio tamu kwa Rais mpya na tena mwanamke. Katiba yetu inampa Rais madaraka makubwa ambayo kama atayatumia chadema inaweza kufutwa na tusifanye lolote la maana zaidi ya kulalamika kwa wazungu wasitishe misaada kwa watanzania wasio na hatia. Hata hivyo wazungu wanachojali kwetu ni maslahi yao tu sio demokrasia yetu, wako tayari kushirikiana na madikteta wa Afrika ilimradi wananufaika, hivyo kelele zako watazitupilia mbali. Watachagua dhahabu, mbao na mafuta badala ya kelele zako za kidemokrasia.

Vyama vyote vya kisiasa viko sawa mbele ya sheria, kaeni wote na mtafute njia ya pamoja ya kufanya siasa kwenye taifa letu na sio kufuata mawazo ya mtu au chama kimoja. Yaani mtu mmoja akisema au chama kimoja kikiamua basi uwe ni msimamo wa vyama vyote. Hiyo sio demokrasia kwenye vyama vya upinzani vyenyewe.

Dialogue ndio njia ya dunia ya kutafuta haki, hata Trump bila kutaka ilimbidi akakutane na Rais ya Korea Kaskazini Bw. Kim Un wazungumze baada ya lugha za kibabe na vitisho za Marekani kwa Korea kushindikana.
 
Back
Top Bottom