Wapinzani chezeni karata zenu kwa umakini sana kutokana na Rais tuliyenaye sasa hivi

Wapinzani chezeni karata zenu kwa umakini sana kutokana na Rais tuliyenaye sasa hivi

Huyu mama kama angekuwa ni rais atokanaye na mgombea binafsi au angetokea CHADEMA basi katiba angetupatia ndani ya siku 100 za utawala wake.
Chadema hii ambayo mwenyekiti kajitengenezea katiba ambayo inamruhusu yeye kukaa madarakan kwa muda usiojulikana, huku akikibandua na kukitupa chooni kile kifungu cha katiba kilichokuwa kinamruhusu mwenyekiti wa chama kukaa madarakani vipindi viwili vya miaka mitano mitano? Chadema hii ambayo ilimpokea Lowasa wiki hii, na wiki iliyofata akamwaga pesa kwa mwenyekiti na genge lake kisha kupitishwa kugombea uenyekiti bila kufuata katiba na taratibu za chama? Chadema hii ambayo ambayo leo wanaweza kumwita mtu yoyote fisadi au muuwaji, lakini kesho akiwa na hela ataweza kuhamia katika chama chao na kuitwa mtu mwema, mwenye upendo na mpambanaji wa haki za raia? Wakati mungine muwe mnafikiria nini cha kuandika katika jukwaa kubwa kama hili. Hili ni jukwaa la great thinkers kwahiyo limesheheni watu wenye vichwa na elimu ya kila aina akiwemo siasa. Sio mnajiandikia tu utafikiri mpo kwenye vikao vya chadema.
 
Kwani ile rasimu ya warioba iko wapi, maana tunaweza kuendelea hapo kukamilisha machakato.........tatizo ninaloliona hapa kuna kupimana mabavu.
 
Kwani ile rasimu ya warioba iko wapi, maana tunaweza kuendelea hapo kukamilisha machakato.........tatizo ninaloliona hapa kuna kupimana mabavu.
Kupimana ubavu na serikali ni sawa sawa na kupiga dochi jiwe. Raisi Samia ameshika mpini, afu wapinzani wameshika makali. Nafikiri umenielewa ndugu
 
Kupimana ubavu na serikali ni sawa sawa na kupiga dochi jiwe. Raisi Samia ameshika mpini, afu wapinzani wameshika makali. Nafikiri umenielewa ndugu
Kwa maana nyingine rais akipimana ubavu na raia wake, basi piga, ua, garagaza rais lazima anashinda.......doooh! basi rais atakuwa ni mwamba haswaaa...
 
Nikitoa a very humble opinion aisee nimekula matusi mpaka nikashindwa kuelewa kwamba shida ni elimu, mihemuko, double kick, Kvant au ni vijana wasiojielewa wao wanadhani ukiwa mpinzani basi unabisha tu na haupaswi kushauriwa na yeyote na ukishauriwa unatukanwa tu.

Chama kisipokemea aina fulani ya siasa hakika kinaenda kupoteza middle class support ambayo imekuwepo sana kichinichini.

Hatuwezi kukaa meza moja na vijana wasioweza kujadili kwa ushawishi Ila wao wanaona kunyamazisha ushauri ni kutukana tu.
Hivi CHADEMA au CCM ndio inawakilishwa na maoni ya wanaJF? seriously JF ndio ina reflect maoni ya CHADEMA? Unless kitu kiwe posted na verified users ambao ni open leaders wa chama otherwise ni maoni binafsi sio ya chama.

Kama hoja ni mihemko issue sio CHADEMA nenda hata JF intelligence kapost mada ya kiimani uone matusi yake ama international forum upost kuhusu Israel/palestine or Covid 19!!

Hili tatizo la mihemko ni kwa mitandao yote watu kutafuta attention ila sio exclusively wanachama wa CCM au CHADEMA hapa JF. It can't get any worse ukiwa na wanachama kama Magonjwa Mtambuka Elitwege Stroke
 
Kwa maana nyingine rais akipimana ubavu na raia wake, basi piga, ua, garagaza rais lazima anashinda.......doooh! basi rais atakuwa ni mwamba haswaaa...
Nafikiri unafahamu maana ya "kupimana ubavu" na "kuomba". Polisi anapokuweka chini ya ulinzi unatakiwa utii sheria, lakini unapopimana nae ubavu ina maana umekaidi kauli na hatua halali ya kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria. kwahiyo anaweza kutumia nguvu au uwezo alio nao kukudhibiti kwa mujibu wa sheria na hatolaumiwa kwa hilo. Sasa kupimana ubavu na raisi ni kupimana ubavu na mamlaka halali, mwisho wa siku wao ndio wataumia.
 
Angalia leo hata kama CCM waliiba viwanja vya mpira Ila viwanja vya mikoa vyote ni vya CCM, wenzetu ukiacha kwamba wana serikali Ila hata huko kwenye mamiradi wanayo pesa nyingi mno, mashamba, majengo ya upangishaji, vyuo nk.
Inaonekana siasa za Tz huzijui vizuri..... Hao CCM mfano huku napoishi mpaka vikao vyao wanataka fungu kutoka kwa DED..... UVCCM wakiwa na project zao bakuli linatembezwa kwa seniors mfano mbunge, madiwani, wafanyabiashara wa eneo hilo n.k so mabakuli kama yote.

Then ule mfuko wa Rais ambao haukaguliwi kuna mabilion yanapitishwa mule yanaelekezwa CCM kusaidia kwenye shughuli zao.... Kiufupi licha ya CCM kuwa na miradi yote ilikua inaliwa tu na wajanja wachache so pesa yao waliotegemea ni kutoka kwa serikali (let alone wana ruzuku mabilion) na kuhodhi mali za umma kuzigeuza zao other than that wakipoteza madaraka bajeti yao itaporomoka mara dufu.

Kuna mifano ya kuiga vyama vingine kama DA au ODM ila sio CCM linapokuja suala la financial capacity!!
 
Sasa kupimana ubavu na raisi ni kupimana ubavu na mamlaka halali
Mamlaka ni kauli ya Rais au sheria za nchi? Sheria ya vyama inatoa provision ya mikutano ya siasa sasa kwanini tunapoteza mabilion ya kulipa wabunge kutunga sheria wakati Rais anaweza tu kutoa muongozo unao override sheria husika?? Separation of power ni ya kazi gani? Si tubaki na serikali kuu peke yake?
 
COVID-19 wanaangalia maisha yao in the next 5 years.
Kama ni hivi kwanini wasihamie CCM? Huko si ndio full bata na faida kibao za kipesa na political future? Why wabakie upinzani kama wanaona hakuna future? More so wametimuliwa ila wanang'ang'ana sana?
 
Mamlaka ni kauli ya Rais au sheria za nchi? Sheria ya vyama inatoa provision ya mikutano ya siasa sasa kwa8nini tunapoteza mabilion ya kulipa wabunge kutunga sheria wakati Rais anaweza tu kutoa muongozo unao override sheria husika?? Separation of power ni ya kazi gani? Si tubaki na serikali kuu peke yake?
Mamlaka ya raisi maana yake ni uwezo, cheo au nguvu alizonazo raisi. Katiba au sheria ni swala lingine.
 
Wanaongelea Mambo yasiyo gusa wananchi
JF ya sasa inashangaza kidogo... 2018 CHADEMA walifanya amendments ya sera zao na kuongeza mfano sera ya jinsia/wanawake, sera ya uchumi ikahuishwa, sera ya vijana n.k sasa unaposema hawazungumzi masuala ya wananchi upo updated?

Bajeti kivuli kila mwaka huwa wanatoa umewahi kusoma hata moja?

Ilani ya uchaguzi ulisoma? Agenda mfano za Private-sector driven economy (pure market economy) ambayo ndio sera kuu ya CHADEMA haigusi maisha ya Mtanzania??

Kabla hatujakosoa tuwe na facts sio mihemko.... Hao waTanzania kama hawajui hta kodi kupandishwa kiholela inatokana na mfumo wa katiba basi ni wananchi dull kuliko wote duniani.
 
Mamlaka ya raisi maana yake ni uwezo, cheo au nguvu alizonazo raisi. Katiba au sheria ni swala lingine.
Mamlaka ya Rais hayapaswi kutumika kama sheria husika za bunge zipo. Mfano hata kutangaza hali ya hatari ni mpaka bunge liridhie. Ssa unapotumia decrees kuzuia mikutano iliyopo kisheria je ni lini nchi ipo kwenye hali ya hatari hadi tusubiri kauli ya Rais ndio iongoze nchi?
 
Yaani Mkuu kuna watu wapuuzi safari nchini kwetu wao bado wanadhani HAKI na UHURU wao katika nchi yao ni hisani tu ambayo hawastahili kuwa nayo hadi huyo mtoa hisani ajisikie kufanya hivyo. Bado tuna safari ndefu sana.

Kumbe haki ya watanzania inatolewa kwa hisani ya mtu fulani.
 
Chadema hii ambayo mwenyekiti kajitengenezea katiba ambayo inamruhusu yeye kukaa madarakan kwa muda usiojulikana, huku akikibandua na kukitupa chooni kile kifungu cha katiba kilichokuwa kinamruhusu mwenyekiti wa chama kukaa madarakani vipindi viwili vya miaka mitano mitano? Chadema hii ambayo ilimpokea Lowasa wiki hii, na wiki iliyofata akamwaga pesa kwa mwenyekiti na genge lake kisha kupitishwa kugombea uenyekiti bila kufuata katiba na taratibu za chama? Chadema hii ambayo ambayo leo wanaweza kumwita mtu yoyote fisadi au muuwaji, lakini kesho akiwa na hela ataweza kuhamia katika chama chao na kuitwa mtu mwema, mwenye upendo na mpambanaji wa haki za raia? Wakati mungine muwe mnafikiria nini cha kuandika katika jukwaa kubwa kama hili. Hili ni jukwaa la great thinkers kwahiyo limesheheni watu wenye vichwa na elimu ya kila aina akiwemo siasa. Sio mnajiandikia tu utafikiri mpo kwenye vikao vya chadema.
Kama unayaona haya uliiyo yaandika unaona ni doa kwa chadema, basi CCM ni zaidi ya uchafu (ni dampo).
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Katika nyakati ambazo Wapinzani wanatakiwa wawe makini basi ni nyakati hii.

Ni nyakati ya wapinzani kaucha jazba na kuwa wastaarabu sana na wenye kujenga hoja bila MIHEMKO.

Kwa sababu sasa hivi sio kwamba CCM ni saafi saaaaaana laa hasha, sababu ni kuwa mama anacheza karata zake kwa utulivu na ustaarabu.

Mama ni mtu anayeheshimika na Watanzania wa rika, vyama na dini zote, Watanzania wote wanamjua kwamba ni mtu mstaarabu na mtu mwenye staha ya maneno.

Hivyo mtakapojifanya wazalendo sana, mtakapojifanya mnakuja na maneno ya jeuri kwa sababu ya uhuru wa kuongea basi mtajiharibia kwa Watanzania wengi sana.

Mama anaongea kwa ustaarabu wewe unakuja na kauli za kifedhuli hoja yako haitaonekana kitakachoonekana ni hizo kauli zako mbovu.

Mukitaka mumuweze mama sasa hivi basi mnnatakiwa muwe humble kuliko nyakati zote kwa sababu sasa hivi tuna Rais wa aina nyingine kabisa.

Ushahidi ni kwa Mdude anavyojifanya shujaa na maneno yake Watanzania wengi wanamuona hana adabu kwa sababu ya rais aliyekuepo sio wa dizaini hizo.

Sio kwamba CCM imesafika saaana bali huyu mama ni mtu muungwana, hivyo lazima mufanye siasa za kiungwana sana.
Ni kweli mama anastaha na utu ila si chochote mbele ya wakubwa wa ccm ambao ndio maadui wa katiba mpya na sisi upinzani hatudili na mama tunadili na ccm ambayo imekosa utu na haki ya kuitawala tanzania ` please mama wewe tawala kwa ustaarabu maana hitaji lako pia ni katiba mpya tunaamin tatizo ni Ccm
 
Inaonekana siasa za Tz huzijui vizuri..... Hao CCM mfano huku napoishi mpaka vikao vyao wanataka fungu kutoka kwa DED..... UVCCM wakiwa na project zao bakuli linatembezwa kwa seniors mfano mbunge, madiwani, wafanyabiashara wa eneo hilo n.k so mabakuli kama yote.

Then ule mfuko wa Rais ambao haukaguliwi kuna mabilion yanapitishwa mule yanaelekezwa CCM kusaidia kwenye shughuli zao.... Kiufupi licha ya CCM kuwa na miradi yote ilikua inaliwa tu na wajanja wachache so pesa yao waliotegemea ni kutoka kwa serikali (let alone wana ruzuku mabilion) na kuhodhi mali za umma kuzigeuza zao other than that wakipoteza madaraka bajeti yao itaporomoka mara dufu.

Kuna mifano ya kuiga vyama vingine kama DA au ODM ila sio CCM linapokuja suala la financial capacity!!
Well, unaweza kuwa sahihi ila naangalia kwamba CCM wanatembeza bakuli Ila vyanzo wanavyo, wakiamua kukomaa wanazo pesa sema no sababu hivyo vyanzo vya pesa za chama kuna watu wameamua kuweka kama vitega uchumi vyao binafsi tofauti na vyama vingine wao wanategemea kutembeza bakuli tu .

Naelewa CCM wanatumia sana hii ya kuwatomba viongozi wa serikali kuchangia Ila ni sababu ya ufisadi tu, wanazo pesa za kutosha kabisa. Hii wanafanya ili kujineemesha sababu hizo pesa huwa zinachukiliwa kidizaini ambayo wengi hawawezi kujua na hazijulikani kwenye mfumo rasmi wa chama hivyo huwa kama "posho"za viongozi wahusika na hapa ndipo naona kuna haja ya kuwa mwanaccm tu kuliko kukaa kutukanana mitandaoni bila faida yeyote.

Wacha tukazipige hizo pesa za hisani maisha yaendelee ndugu. Haya matusi ya vijana wa mitandaoni waendelee nayo tu maana hayana faida vyama vyenyewe unapigania Ila hakuna future kabisa.

In fact hakuna wapinzani ambao Wana msukumo wa kupambana kuongoza nchi, wanawatumia vijana kama mtaji wao, sasa heri itumike nawe ufaidike aisee. Quid pro quo (Nothing goes for nothing)
 
Back
Top Bottom