Sijui umekula maharage ya wapi,umelewa asubuhi hiiNinawashangaa sana baadhi ya watanzania walio ni fikra ndogo na upeo mdogo wa kufanya upembuzi yakinifu juu ya nani atashinda u rais mwaka huu.yani unakuta mtu anasimama kabisa na kusema eti lissu anauwezo wa kumkabili magufuli (best president ever).
Naombeni niwaambie hakuna mtu anayeweza mkabili Dkt. Magufuli hata kidogo, mimi nasema atakae weza mkabili magufuli nitatoa milioni tano cash.
Dkt. Magufuli sio wa mchezo kama mnavodhani enyi watu wenye uelewa mdogo, amefanya makubwa na nchi inaenda vizuri sana. Eleweni basi. Mnajisumbua wapinzani
Bila tume huru hawawezi shinda ila kukiwa na haki huyo unaemsifia ni mweupe mno ndio maana hata fomu katoa moja ungeshangaa angetoa fom zaidi ya moja yani hata ndani hawamtaki !!! Ulishaona awamu IPI fom inatolewa moja???Ninawashangaa sana baadhi ya watanzania walio ni fikra ndogo na upeo mdogo wa kufanya upembuzi yakinifu juu ya nani atashinda u rais mwaka huu.yani unakuta mtu anasimama kabisa na kusema eti lissu anauwezo wa kumkabili magufuli (best president ever).
Naombeni niwaambie hakuna mtu anayeweza mkabili Dkt. Magufuli hata kidogo, mimi nasema atakae weza mkabili magufuli nitatoa milioni tano cash.
Dkt. Magufuli sio wa mchezo kama mnavodhani enyi watu wenye uelewa mdogo, amefanya makubwa na nchi inaenda vizuri sana. Eleweni basi. Mnajisumbua wapinzani
Magu amefanikiwa sana kwenye propaganda na sio kitu kingine, JK alifanya makubwa kuliko magu, wakati wa JK kulikuwa na ukuaji mkubwa sana wa uchumi na ndio nchi ilipaa na wakati huo huo pesa ilikuwa mtaani. Lakini sasa pesa inajenga uwanja chattle na madaraja Mwanza, na kununua madege ambayo sasa yamepaki viwanjani. Bado watu wengi humuelewi yanayoendelea na kwa nini magu atapigana hata kwa kutumia Jeshi la Wananchi ilimradi ashinde. Anajua akishindwa maana yake ni nini.Ninawashangaa sana baadhi ya watanzania walio ni fikra ndogo na upeo mdogo wa kufanya upembuzi yakinifu juu ya nani atashinda u rais mwaka huu.yani unakuta mtu anasimama kabisa na kusema eti Lissu anauwezo wa kumkabili Magufuli (best president ever).
Naombeni niwaambie hakuna mtu anayeweza mkabili Dkt. Magufuli hata kidogo, mimi nasema atakae weza mkabili Magufuli nitatoa milioni tano cash.
Dkt. Magufuli sio wa mchezo kama mnavodhani, amefanya makubwa na nchi inaenda vizuri sana. Eleweni basi. Mnajisumbua wapinzani
Mwenyewe.Stupid idea.
Wewe umeweka hapa dau la fedha bila jina kamili na namba ya cm??! Utapatikana vipi ili ukamuliwe hiyo pledge?.....eti Lissu anauwezo wa kumkabili Magufuli (best president ever).
Naombeni niwaambie hakuna mtu anayeweza mkabili Dkt. Magufuli hata kidogo, mimi nasema atakae weza mkabili Magufuli nitatoa milioni tano cash....
Magu amefanikiwa sana kwenye propaganda na sio kitu kingine, JK alifanya makubwa kuliko magu, wakati wa JK kulikuwa na ukuaji mkubwa sana wa uchumi na ndio nchi ilipaa na wakati huo huo pesa ilikuwa mtaani. Lakini sasa pesa inajenga uwanja chattle na madaraja Mwanza, na kununua madege ambayo sasa yamepaki viwanjani. Bado watu wengi humuelewi yanayoendelea na kwa nini magu atapigana hata kwa kutumia Jeshi la Wananchi ilimradi ashinde. Anajua akishindwa maana yake ni nini.
Amini nakwambia sio tu Magufuli, hakuna mwanasiasa popote pale Tanzania anayeweza kupambana na Tundu Antipas Lissu.Ninawashangaa sana baadhi ya watanzania walio ni fikra ndogo na upeo mdogo wa kufanya upembuzi yakinifu juu ya nani atashinda u rais mwaka huu.yani unakuta mtu anasimama kabisa na kusema eti Lissu anauwezo wa kumkabili Magufuli (best president ever).
Naombeni niwaambie hakuna mtu anayeweza mkabili Dkt. Magufuli hata kidogo, mimi nasema atakae weza mkabili Magufuli nitatoa milioni tano cash.
Dkt. Magufuli sio wa mchezo kama mnavodhani, amefanya makubwa na nchi inaenda vizuri sana. Eleweni basi. Mnajisumbua wapinzani
Bila tume huru hawawezi shinda ila kukiwa na haki huyo unaemsifia ni mweupe mno ndio maana hata fomu katoa moja ungeshangaa angetoa fom zaidi ya moja yani hata ndani hawamtaki !!! Ulishaona awamu IPI fom inatolewa moja???
Mnamkuza kama Mungu lakin he doesn't deserve such status !!!!
Ajira hakuna
Ameshindwa hata kuongeza mishahara watumishi wanaishi kimaskini mno kuliko awamu zote
Anatamba yeye anajua wakiongea wengine itakua......
Ukabila ndo usiseme ???
Sasa tunaweza kununua kwa kuwacheleweshea mafao wastaafu,kutoongeza mishahara,Kutotoa ajira kwa wahitimu.Mbona mlikuwa mnasema inchi masikini haina uwezo wa kununua chochote
Sasa huo uchumi ulikua vipi?
Au mlikuwa mnajishebedua kma wanawake?
Ninawashangaa sana baadhi ya watanzania walio ni fikra ndogo na upeo mdogo wa kufanya upembuzi yakinifu juu ya nani atashinda u rais mwaka huu.yani unakuta mtu anasimama kabisa na kusema eti Lissu anauwezo wa kumkabili Magufuli (best president ever).
Naombeni niwaambie hakuna mtu anayeweza mkabili Dkt. Magufuli hata kidogo, mimi nasema atakae weza mkabili Magufuli nitatoa milioni tano cash.
Dkt. Magufuli sio wa mchezo kama mnavodhani, amefanya makubwa na nchi inaenda vizuri sana. Eleweni basi. Mnajisumbua wapinzani
Nchi imenunua ndege na kufilisika sasa tunadaiwa zaidi ya trilioni 50 haijapata kutokea tangu uhuru! Tunadanganywa ni fedha za ndani kumbe tunakopa kujenga mareli ya kizamani ya njia moja badala ya njia mbili, n.k.Mbona mlikuwa mnasema inchi masikini haina uwezo wa kununua chochote
Sasa huo uchumi ulikua vipi?
Au mlikuwa mnajishebedua kma wanawake?
Umeandika ukwel mtupu 90% ya vipindi tbc ni kumsifu magufuliMagu amefanikiwa sana kwenye propaganda na sio kitu kingine, JK alifanya makubwa kuliko magu, wakati wa JK kulikuwa na ukuaji mkubwa sana wa uchumi na ndio nchi ilipaa na wakati huo huo pesa ilikuwa mtaani. Lakini sasa pesa inajenga uwanja chattle na madaraja Mwanza, na kununua madege ambayo sasa yamepaki viwanjani. Bado watu wengi humuelewi yanayoendelea na kwa nini magu atapigana hata kwa kutumia Jeshi la Wananchi ilimradi ashinde. Anajua akishindwa maana yake ni nini.
Ninawashangaa sana baadhi ya watanzania walio ni fikra ndogo na upeo mdogo wa kufanya upembuzi yakinifu juu ya nani atashinda u rais mwaka huu.yani unakuta mtu anasimama kabisa na kusema eti Lissu anauwezo wa kumkabili Magufuli (best president ever).
Naombeni niwaambie hakuna mtu anayeweza mkabili Dkt. Magufuli hata kidogo, mimi nasema atakae weza mkabili Magufuli nitatoa milioni tano cash.
Dkt. Magufuli sio wa mchezo kama mnavodhani, amefanya makubwa na nchi inaenda vizuri sana. Eleweni basi. Mnajisumbua wapinzani
Kwani hiyo tume iliyopo ndo hiyohiyo ilio wapitisha akina mbowe zitto nk. kuwa wabunge? au waliibadili wakaweka hii ambayo sio huru
Upinzani kushinda inawezekana tena kwa kishindo ila tatzo linakuja pale unapo shindwa kutoa hoja unaanza kumtukana mtu kupitia jina lake na matusi ambayo hayausiani na wadhifa wake, hoja mliokuwanayo kipindi kilichopita kwamba ccm kuna ufisadi na mengine mengi ilitosha kuwainuaKwani Mapombe na lissu nani mkali ? Mtu kaogopa hata kusafiri kisa lugha ngumu
Upinzani kushinda inawezekana tena kwa kishindo ila tatzo linakuja pale unapo shindwa kutoa hoja unaanza kumtukana mtu kupitia jina lake na matusi ambayo hayausiani na wadhifa wake, hoja mliokuwanayo kipindi kilichopita kwamba ccm kuna ufisadi na mengine mengi ilitosha kuwainua
siasa za tanzania ziko hivi
Upizani : unatoa hoja
ccm : inajibu hoja
upinzani : unatukana
ccm : inajisifu kwa mazuri walio fanya (hapo hawa jibu tusi ila wanatengeneza point)