Uchaguzi 2020 Wapinzani mnatambua kabisa Rais Magufuli ni mtendaji, mchapa kazi na mtekelezaji mzuri. Bado hamuoni aibu kuchukua fomu za urais!

Hiyo ni kwa mujibu wa akili zako
Ndoto bila mikakati madhubuti itabaki kuwa ndoto. Priorities za wapinzani katika nchi yetu hazijawahi kusimama wima tangu multiparty system irejeshwe nchini!
 
Hiyo kuna watu hawaioni kwani wamepewa macho lkn hawaoni
 
Aisee umeona mbali sana, hongera sana mkuu
 
Kupitai Rais Magufuli hatimaye Chama, Serikali na Nchi imetulia na inafuata maadili.

Hongera JPM kwa hili
Mzee Shomari anasema upo sawa kabisa mtoa mada. Ndio maana watu wanafanya shughuli zao kwa amani mpaka usiku.
 
Ni kweli inetulia.

Lakini ni muda muafaka tuimarishe demokrasia sasa.
 
Kwangu kwa uwezo Wa ushawishi magu nampa 60%, lissu 99%.lissu Ni motoo.Tuacha propaganda.ukweli ubaki ukweli
 
Sahihi kabisa. Vijogoo vyote mitaani vimedisapia....fujo za kimakundi na za kiimani pia. ... hujuma za kiuchumi zimepungua.....Heshima imerudi....kuna mwanaume mmoja tu. ...naunga mkono hoja

Namuomba baba magufuli aendelee kutulinda kwenye biashara za importation...azivuruge zile cliques zinazopanga hujuma... Haiwezekani dirisha la aluminium la kawaida lichezee kwenye 250.000....infact aluminium windows shouldnt be that expensive kuliko mbao...
 
Hivi kama jpm ameweza kuwa rais atashindwa lissu? Acheni ushabiki Wa kijinga
 

Ndugu, semea nafsi yako...ukimpenda sana, muite mkanywe chai pamoja- JK Nyerere
 
Hakuna kazi nyepesi Kama kuwa rais wa Tanzania full stop.
 
Akishamaliza muda wake 2025 na akaondoka nini kitatokea?
Mstaafu Alhaji Mwinyi alisema atapata miaka mingine mitano ya zawadi. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee patamu hapo! Hapa Kazi Tu! Tanzania ya sasa inameremeta meremeta tu - Zuchu.
 
πŸŽ―πŸ’―
πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½
Magufuli oyeeeeeeee
 
Kwel we ni zumbukuku, wakat Lowassa anakogeshwa matuc nadhan ulikuwa mtt
 
Una hoja za kibwege sana !

Umeona kihivyo.. saba buuuu.. zako unajifahamu.. waga hivyoooooo.. πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Pokea hizi πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰ ulie.. Yeye ndio chaguo la Wananchi
 
Hiyo ni kwa mujibu wa akili zako

I am not surprised by this response kwa sababu denialism kama hii ndiyo zao la political myopia ambayo imekuwa tatizo kubwa la upinzani, tangu day 1.

Kwenda Ikulu kunahitaji mazingira wezeshi. Na mazingira wezeshi kwa sehemu kubwa ni level political playing field.

You level the political playing field by strengthening your political parties (the opposition) kiasi kwamba mnakuwa na nguvu kubwa kwenye legislative branch. Mkishakuwa na nguvu kubwa kwenye legislature, you can move to amend all laws that make the playing field bumpy for the opposition.

Tangu day 1, wapinzani katika nchi yetu wamekuwa wakitumia a disproportionate amount of resources kujaribu kushinda uchaguzi wa Rais. Imagine miujiza imetokea Rungwe au Dovutwa, kwa mfano, ameshinda uchaguzi wa Rais. How is he going to govern without a meaningful bloc of allies in the parliament?

Clearly, priorities za upinzani ziko upside down! Wanapaswa kujenga vyama kwa nguvu zao zote ili wakamate sehemu zinazoweza kusaidia kufanya mazingira ya kisiasa kuwa rafiki. They haven’t been able to truly institutionalize their political parties. All we see are essentially political monarchies. Chaguo ni lao. Wanaweza kuendelea kutwanga maji kwenye kinu au kufanya the right thing!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…