ππKwa nini kama kuna uchapakazi mikutano izuiwe upande mmoja?
Ununuzi wa Ndege kwa cash una ufisadi mkubwa ndiyo maana walimtoa CAG kafara baada ya kuhoji, SGR ina ufisadi kampuni za Naibu Bashite na wana CCM wenzako ndizo zimepewa Tenda zote muhimu pesa inazunguka inawarudia wenyewe hapo hapo ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi.Watanzania wana akili na macho. Wanaona kwa macho Sgr itayokamilika hivi karibuni(Dar to Moro) .Wanaona kwa macho yao kuwa ndege 8 zimenunuliwa kwa cash.
Mh... Umetoka usingizini?Yeye ndie Angelina aibu kabisa! Yeye ndie aliewatuma waliomshambulia mbunge kwa risasi 38!! Bila haya anataka nafasi tena! Mikonoye imetapakaa damu!
We utakuwa hauko sawa kiakiri.Ununuzi wa Ndege kwa cash una ufisadi mkubwa ndiyo maana walimtoa CAG kafara baada ya kuhoji, SGR ina ufisadi kampuni za Naibu Bashite na wana CCM wenzako ndizo zimepewa Tenda zote muhimu pesa inazunguka inawarudia wenyewe hapo hapo ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi.
Demokrasia ni kutumia common sense pia. Kama aliyepo madarakani anakubalika 100% kwa utekelezaji bora umuunge mkono.
Wewe ndiyo haupo sawa kiakili kwani huna unachokijua umekariri zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM mpaka fahamu zote zimekutoka.We utakuwa hauko sawa kiakiri.
Wananchi wanaangalia uchapakazi wake na utekelezaji wake wa masuala muhimu ya taifa. Atanajisi vipi sanduku la kura?
Jenga hoja acha kututoa kwenye Reli tukaja na Lugha ya kukuudhi ukasirike bureMh... Umetoka usingizini?
Acha hasira.Mpe mke wako ili umuunge mkono vizuri.
Watanzania wapi unawasemea? Watanzania wako binafsi hako nyumbani kwako? au watanzania wote ambao wameamka wanajua uovu na uonevu wote wa CCM?Watanzania wana akili na macho. Wanaona kwa macho Sgr itayokamilika hivi karibuni(Dar to Moro) .Wanaona kwa macho yao kuwa ndege 8 zimenunuliwa kwa cash.
Huko ni kukosa uzalendo.Mimi ni mwananchi na sina mpango wowote wa kumpa kura yangu.
Habari ya kupigwa risasi Tundu Lissu inaingia vipi? Maana Dk Mollel alishatoa majibu kuwa Chadema mnahusika. Sasa analeta habari gani?Jenga hoja acha kututoa kwenye Reli tukaja na Lugha ya kukuudhi ukasirike bure
Ndiyo mfumo wetu wa uchaguzi ulivyo na huu mfumo uko kikatiba/kisheria. Lakini pia kibinadamu, mtu hawezi kupata 100% bila kufanya mtihani kwa kufikiri tu kuwa fulani ni mwanafunzi bora. Kufanya mtihani na kushinda kwa kupata mfano 100% kunaongeza confidence kwa mwanafunzi aliyefanya mtihani. Hata kwenye upigaji kura ni hivyo, mgombea anayeshiriki uchaguzi na kupigiwa kura kwa zaidi ya 50% na wapiga kura ina maana huyo atayechaguliwa anakuwa na confidence kwamba wapiga kura wengi (kitakwimu) wana imani naye, kuliko anayepitishwa bila kujua ame'perform' kwa kiasi gani kwenye uchaguzi.Kwa nini ushiriki uchaguzi wakati hata yule unaepambana nae unamkubali kuwa anauwezo wa kufanya kazi kiutendaji kuliko wewe? Angalia mtu kama Nyalandu body language inaonyesha anamkubali JPM 100%.
Chama kinachoonea wananchi hakiwezi kufanya maendeleo mkubwa kama haya. Angalia umeme vijini 85%. Mtu anapata kwa 27000 tu.Watanzania wapi unawasemea? Watanzania wako binafsi hako nyumbani kwako? au watanzania wote ambao wameamka wanajua uovu na uonevu wote wa CCM?
Weka Namba Ya Simu.Wanaanchi waaamue kwa wagombea kama hawa wa Chadema kupambana na JPM? Bora wangekaa kando kuliko kupoteza muda
Yule anayepita bila kupingwa lakini ni mchapakazi na mtu anayetekeleza bora asipingwe. Ni kupoteza muda na pesa kupambana na kiongozi kama huyu. Msiwakariri wazungu.Ndiyo mfumo wetu wa uchaguzi ulivyo na huu mfumo uko kikatiba/kisheria. Lakini pia kibinadamu, mtu hawezi kupata 100% bila kufanya mtihani kwa kufikiri tu kuwa fulani ni mwanafunzi bora. Kufanya mtihani na kushinda kwa kupata mfano 100% kunaongeza confidence kwa mwanafunzi aliyefanya mtihani. Hata kwenye upigaji kura ni hivyo, mgombea anayeshiriki uchaguzi na kupigiwa kura kwa zaidi ya 50% na wapiga kura ina maana huyo atayechaguliwa anakuwa na confidence kwamba wapiga kura wengi (kitakwimu) wana imani naye, kuliko anayepitishwa bila kujua ame'perform' kwa kiasi gani kwenye uchaguzi.
Mpiga kura anayeshiriki uchaguzi na akaona mgombea aliyempigia ameshinda anapata confidence ya kushiriki zaidi kwenye chaguzi nyingine zijazo. Lakini pia kwa mgombea ambaye anashiriki uchaguzi na kupoteza inampa confidence namna ya kujijenga zaidi. Na ndivyo pia ilivyo kwa wapiga kura ambao mgombea wanayempigia ameshindwa, wataendelea kushiriki wakitumaini kwamba siku moja mgombea wao anaweza kushinda pia. Yaani ndivyo tunavyowapata viongozi wetu katika ngazi mbalimbali. Kama kuna watu wawili: mmoja akipita bila kupingwa na kufanywa kuwa kiongozi wa nchi bila kupiga kura na mgombea kushiriki mchakato na kuibuka mshindi, unadhani psychologically nani atapata faraja zaidi moyoni mwake? Yule ambaye hana hata takwimu za kujua alishinda kwa kiwango gani au yule anayejua jinsi alivyopambana na hata hivyo akaibuka mshindi?
Acha akiri za kitoto.Weka Namba Ya Simu.
Kuna Mavyeo Meeengi Sana Gete