Wapinzani msipinge hii ni kweli, baada ya Rais Magufuli kufariki wamachinga wamekuwa vulnerable

Wapinzani msipinge hii ni kweli, baada ya Rais Magufuli kufariki wamachinga wamekuwa vulnerable

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Hayati JPM alikuwa na mapungufu yake ila pia alikuwa na mambo mazuri.

Sisi wapinzani huwa tunakosoa kwa kuangalia shilingi upande mmoja tu

Sasa tokea amefariki huyu hayati JPM wamachinga ni watu wa kuumizwa tu. Kuhamishwa hovyo bila hata mikakati, masoko yao kuungua huku wengine wakila virungu.

Wapinzani tujipange kuwatetea na hii hoja tuikomalie 2025.
 
Cha kujiuliza ilikuwaje hadi hali ikafikia vile? Mahali popote pakikosekana uzingatiaji wa sheria na taratibu mikanganyiko katika jamii haikosekani. Vitambulisho vya machinga kwa mfano ni kwa mujibu wa sheria ipi ya Bunge?

Wa kulaumiwa ni huyo aliyewafanya wamachinga wazagae kila mahali hadi juu ya mitaro ya maji machafu kujitafutia umaarufu wa kisiasa na sio yule anayezingatia sheria za nchi.
 
Kwani huko CCM mna mpango gani haswa? Wewe kila mtu anajua ni team viroboto uliyepigwa bao ni team wahuni sasa, sasa viroboto wanajaribu kujiegemeza kwa wapinzani,

Hamna jipya, kipindi huyo JPM anaumiza upinzani si mlikuwa mnashangalia,

Kila mtu akale alipopeleka mboga!!
 
Hayati JPM alikuwa na mapungufu yake ila pia alikuwa na mambo mazuri.

Sisi wapinzani huwa tunakosoa kwa kuangalia shilingi upande mmoja tu

Sasa tokea amefariki huyu hayati JPM wamachinga ni watu wa kuumizwa tu. Kuhamishwa hovyo bila hata mikakati, masoko yao kuungua huku wengine wakila virungu.

Wapinzani tujipange kuwatete na hii hoja tuikomalie 2025.
Mkuu wamachinga na wote wanatakiwa watetewe na walindwe chini ya idara au taasisi yenye misingi imara!
Kwa muda wote tumekuwa tukiwatengeneza na kuwategemea watu wenye nguvu kulinda maslahi ya wengine... Huu ni udhaifu mkubwa!
Watu wanapita. Taasisi na idara imara zitabaki kwa muda mrefu kuliko watu!
Msipoanza kwenye msingi wa kuisaka Katiba Mpya hakika mtakuwa mnajisumbua. Na hiyo
2025 mtaambulia patupu!
 
Hayati JPM alikuwa na mapungufu yake ila pia alikuwa na mambo mazuri.

Sisi wapinzani huwa tunakosoa kwa kuangalia shilingi upande mmoja tu

Sasa tokea amefariki huyu hayati JPM wamachinga ni watu wa kuumizwa tu. Kuhamishwa hovyo bila hata mikakati, masoko yao kuungua huku wengine wakila virungu.

Wapinzani tujipange kuwatetea na hii hoja tuikomalie 2025.
Wakomae wenyewe Kwanza wajitafakari kuanzia wakati WA kuungana na watesi WA swami ya tano na kuitwa wsnyonge huku wskifurahia mateso yetu. Wajitafakari wenyewe tutawafuata baadaye ili tuandamane kudai katiba mpya
 
Hayati JPM alikuwa na mapungufu yake ila pia alikuwa na mambo mazuri.

Sisi wapinzani huwa tunakosoa kwa kuangalia shilingi upande mmoja tu

Sasa tokea amefariki huyu hayati JPM wamachinga ni watu wa kuumizwa tu. Kuhamishwa hovyo bila hata mikakati, masoko yao kuungua huku wengine wakila virungu.

Wapinzani tujipange kuwatetea na hii hoja tuikomalie 2025.

Ukiwa Na lengo, weka mkakati Kwenye strategies, Ila sasa wewe una malengo tu Na Hakuna mkakati, ndo maana unachoandikaga kinaonekana Ni ujinga!
 
Back
Top Bottom