Wapinzani msipinge hii ni kweli, baada ya Rais Magufuli kufariki wamachinga wamekuwa vulnerable

Wapinzani msipinge hii ni kweli, baada ya Rais Magufuli kufariki wamachinga wamekuwa vulnerable

Cha kujiuliza ilikuwaje hadi hali ikafikia vile? Mahali popote pakikosekana uzingatiaji wa sheria na taratibu mikanganyiko katika jamii haikosekani. Vitambulisho vya machinga kwa mfano ni kwa mujibu wa sheria ipi ya Bunge?

Wa kulaumiwa ni huyo aliyewafanya wamachinga wazagae kila mahali hadi juu ya mitaro ya maji machafu kujitafutia umaarufu wa kisiasa na sio yule anayezingatia sheria za nchi.
Mkuu, huu ndio ukweli!
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Hayati JPM alikuwa na mapungufu yake ila pia alikuwa na mambo mazuri.

Sisi wapinzani huwa tunakosoa kwa kuangalia shilingi upande mmoja tu

Sasa tokea amefariki huyu hayati JPM wamachinga ni watu wa kuumizwa tu. Kuhamishwa hovyo bila hata mikakati, masoko yao kuungua huku wengine wakila virungu.

Wapinzani tujipange kuwatetea na hii hoja tuikomalie 2025.
Wamlaani huyo huyo Jiwe lao ambaye aliwalaghai kwamba biashara Huwa zinafanyika kiholelaholela, hakuna mipango miji Wala kuangalia usafi na afya za watu! Wahamie Chato wakafanye biashara makaburini kwa Mwendazake! Nonsense.
 
Wamlaani huyo huyo Jiwe lao ambaye aliwalaghai kwamba biashara Huwa zinafanyika kiholelaholela, hakuna mipango miji Wala kuangalia usafi na afya za watu! Wahamie Chato wakafanye biashara makaburini kwa Mwendazake! Nonsense.
Wewe walikuzuia nini? Ulishindwa kupitisha hiyo milonjo mjini? Acha kukariri ujinga wako.
 
Leo ndio wapinzani Wana umuhimu eee,mbona wakisema tuandamane kudai katiba MPYA mnajidai hamuoni Wala hayawahusu vile Halafu Leo mtetewe what a joke my braza!

Machinga waminywe kisawa sawa Ili watie akili eboooo!
 
Hayati JPM alikuwa na mapungufu yake ila pia alikuwa na mambo mazuri.

Sisi wapinzani huwa tunakosoa kwa kuangalia shilingi upande mmoja tu

Sasa tokea amefariki huyu hayati JPM wamachinga ni watu wa kuumizwa tu. Kuhamishwa hovyo bila hata mikakati, masoko yao kuungua huku wengine wakila virungu.

Wapinzani tujipange kuwatetea na hii hoja tuikomalie 2025.
Mmachinga ni a person ambaye halipi kodi, hataki kupangiwa, hataki utaratibu unaoeleweka kibiashara, hata kura hapigi.
 
Wapinzani ndio waje ns hoja zs kugeuza kila mji nchini kuwa gulio la bidhaa za kichina?

Huu upumbavu hapana, kwanza bado naona hawajaondolewa vizuri
Tunatakiwa kuwa na taifa la wazalishaji, sio ule upumbavu wa Magufuli

Unazalisha nini?
 
Hayati JPM alikuwa na mapungufu yake ila pia alikuwa na mambo mazuri.

Sisi wapinzani huwa tunakosoa kwa kuangalia shilingi upande mmoja tu

Sasa tokea amefariki huyu hayati JPM wamachinga ni watu wa kuumizwa tu. Kuhamishwa hovyo bila hata mikakati, masoko yao kuungua huku wengine wakila virungu.

Wapinzani tujipange kuwatetea na hii hoja tuikomalie 2025.
Mi ningekuwa rais ningewaua machinga wote au kuwasomba na toroli na kuwatupa paharini Mana wanaboa na kuchafua kila sehemu. Hakuana uchumi uniani mzuri unaondeshwa na machinga
 
Hayati JPM alikuwa na mapungufu yake ila pia alikuwa na mambo mazuri.

Sisi wapinzani huwa tunakosoa kwa kuangalia shilingi upande mmoja tu

Sasa tokea amefariki huyu hayati JPM wamachinga ni watu wa kuumizwa tu. Kuhamishwa hovyo bila hata mikakati, masoko yao kuungua huku wengine wakila virungu.

Wapinzani tujipange kuwatetea na hii hoja tuikomalie 2025.
Hatuwezi kuendesha nchi kwa kutumia same level of thinking.

Machinga ni wasaliti wakubwa wa upinzani hapa nchini kwetu, hawajawahi kusimamia hoja zao na kutafuta a permanent political side itakayowasemea matatizo yao.

Machinga wamejibrand kama wao ndio wenye nchi na kama eti wao ndio walipakodi ingali masikini kote hakuna anayetaka risiti ya EFD Wala huku mabarabarani.

Machinga wamevamiwa na viongozi wao wanaojivika kuwasemea machinga ingali hao watu ni vibaraka wa CCM.

Machinga amegeuzwa mtaji wa kisiasa wa CCM. Wanatulizwa wakati wa uchaguzi na uzuri wake nao wamekuwa kama bendera kufuata upepo.

Machinga akipewa elfu tano wakajazwa kwenye malori kama nyanya wanazouza na kupelekwa kwenye mikutano ya CCM wao huwa wamemaliza kura yao pale na kuuza utu wao.

Machinga haaminiki sababu ya kuwaza kutetea tumbo na sio kutetea hali halisi ya ugumu wanaokutana nao kwenye maisha ya kila siku na kusaidia vizazi vijavyo.

Machinga hafahamu kwamba, anayekuja kukurubuni kwa elfu tano hajawahi kuwa machinga hivyo hajui adha ya umachinga na mahitaji ya machinga ili kubadilisha hali waliyonayo kwa sasa kuanzia mitaji, masoko mpaka muundo wa Kodi na tozo wanazopaswa kulipia.

Hivyo binafsi siwaonei huruma Hawa watu sababu wengi wapo CCM na wanaform vijiwe vya CCM wanaweka Tawi kwa kupandishwa bendera ili wapate CCM protection na wakishatimuliwa ndio huwa wanakuja kulalamika kutafuta sympathy kwa wananchi tunapambana kweli kutafuta haki na usawa.

Machinga ni mtaji wa CCM mie nilishawaweka kwenye group la wasaliti.
 
Hayati JPM alikuwa na mapungufu yake ila pia alikuwa na mambo mazuri.

Sisi wapinzani huwa tunakosoa kwa kuangalia shilingi upande mmoja tu

Sasa tokea amefariki huyu hayati JPM wamachinga ni watu wa kuumizwa tu. Kuhamishwa hovyo bila hata mikakati, masoko yao kuungua huku wengine wakila virungu.

Wapinzani tujipange kuwatetea na hii hoja tuikomalie 2025.
Bora umesema "Wapinzani msipinge" na siyo "Wapinzani tusipinge"
 
Back
Top Bottom