Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
- Thread starter
- #41
So, what is the problem.Bora umesema "Wapinzani msipinge" na siyo "Wapinzani tusipinge"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So, what is the problem.Bora umesema "Wapinzani msipinge" na siyo "Wapinzani tusipinge"
You're picking dog shit and fling to your houseSo, what is the problem.
Wamachinga wameletwa na sera muovu za ccm! Wanaondolewa na sera muovu za ccmHayati JPM alikuwa na mapungufu yake ila pia alikuwa na mambo mazuri.
Sisi wapinzani huwa tunakosoa kwa kuangalia shilingi upande mmoja tu
Sasa tokea amefariki huyu hayati JPM wamachinga ni watu wa kuumizwa tu. Kuhamishwa hovyo bila hata mikakati, masoko yao kuungua huku wengine wakila virungu.
Wapinzani tujipange kuwatetea na hii hoja tuikomalie 2025.
Kawakusanye vijana wenzio pale Lumumba muwatetee hao machingaWhat is your point?
What does that mean ?You're picking dog shit and fling to your house
What is your point?
Make that brain work a bit..What does that mean ?
Una uhakika? Hawakulipa kwa control namba na pesa kuingia hazina.? Tutumie busara kiduchu..Magufuli aliwatapeli wamachinga kwa kuwauzia vitambulisho feki
Una uhakika? Hawakulipa kwa control namba na pesa kuingia hazina.? Tutumie busara kiduchu
Kwani wamachinga wote nchini ni wana CCM? Chadema ndo wameajiriwa serikalini?Kwani ninyi uvccm mmeshindwa kuwatetea mpaka uombe msaada kutoka kwa wapinzani?
Sasa huku ndio kuwatapeli pesa?..aliwadanganya wanaweza kwenda na kitambulisho cha machinga benki na kupewa mkopo.
Hakuna kiingereza cha namna hiiYour wrong young boy
Hakuna kiingereza cha namna hii
Sasa huku ndio kuwatapeli pesa?
Humo ndani kwa wamachinga kuna mapandiki ya CCMHayati JPM alikuwa na mapungufu yake ila pia alikuwa na mambo mazuri.
Sisi wapinzani huwa tunakosoa kwa kuangalia shilingi upande mmoja tu
Sasa tokea amefariki huyu hayati JPM wamachinga ni watu wa kuumizwa tu. Kuhamishwa hovyo bila hata mikakati, masoko yao kuungua huku wengine wakila virungu.
Wapinzani tujipange kuwatetea na hii hoja tuikomalie 2025.
Unajua maana ya kutapeli pesa? Una unao ushahidi wa machinga kuambiwa kuwa watakopa kutumia vitambulisho vyao?..of course.
..wameuziwa vitambulisho na wakaambiwa kinaweza kutumika kuombea mkopo BENKI, kitu ambacho ni UONGO.