kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
- Thread starter
- #201
Hakuna demokrasia kwa watu maskini kama sisi. Demokrasia inamruhusu mtu kuwachochea watu maskini waichukie serikali yao maskini isiyokuwa na fedha za kuwahudumia kikamilifu. Kama Kuna Rais wa nchi maskini ataikumbatia sana demokrasia kiongozi huyo lazima ataanguka, na hata yule atakaemuangusha pia Hana Cha maana atakachowafanyia wananchi kwakuwa shida sio kiongozi bali mifumo mibaya ya fedha na biashara ya dunia.Haa haa just haa haa.! Mmeshindwa kutetea LIMKATABA LIBOVU mnataka sasa na sisi tunao upinga tunyamaze. Halafu maisha yaendelee. Hili la kuuza bandari si sawa na la kuuza madini. Hakuna mwenye akili timamu atanyamazia hili. Mkataba ni MBOVU, UFUTWE. Ni LAZIMA UFUTWE.
#OkoaBandariZetu