Wapinzani waanza kucheza michezo ya kutekana

Wapinzani waanza kucheza michezo ya kutekana

olimpio

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2023
Posts
418
Reaction score
866
Ili kutafuta huruma kwenye jamii , Wapinzani wameanza kutafutiana ajali za kiafya na kisiasa ili wasingizie Serikali.

Alianza Dkt Nshala kusema anatafutwa ili auawe eti kwa sababu anapinga DP World, Na sasa Mbowe anatangaza taarifa kwa watu wake wa karibu kuwa amelishwa sumu akiwa kwenye kikao cha CHADEMA juzi , huku akiamini kuwa Serikali ilituma wana usalama kwenda kutegesha sumu kwenye vyakula vyao.

Script zao zimeanza rasmi
1. Dkt Nshala amekimbilia Kenya tayari, mpaka muda huu ame report ubalozi wa Canada nchini Kenya
Ameomba hifadhi akisema anatishiwa usalama wake.

2. Mbowe anataka kukimbia nchi na yeye kwenda Uholanzi, kwa kile anachodai amewekewa sumu kwenye chakula na maafisa usalama wa serikali.

Note: Ndugu zangu, Wapinzani wamekosa hoja za msingi , wameanza maigizo yale yale ,kutafuta huruma ya wananchi kuelekea uchaguzi mkuu.

Rais Samia ni mweledi sana na ana busara sana, Huu unaofanywa na Mbowe ni utoto , Nshala rudi kwa Mke wako hayo maigizo huyawezi
 
Ili kutafuta huruma kwenye jamii , Wapinzani wameanza kutafutiana ajali za kiafya na kisiasa ili wasingizie Serikali.
na na ana busara sana, Huu unaofanywa na Mbowe ni utoto , Nshala rudi kwa Mke wako hayo maigizo huyawezi
Kumbe Nshala Yuko Kenya?
Si kaitwa na DPP?
 
Ili kutafuta huruma kwenye jamii , Wapinzani wameanza kutafutiana ajali za kiafya na kisiasa ili wasingizie Serikali.

Alianza Dkt Nshala kusema anatafutwa ili auawe eti kwa sababu anapinga DP World, Na sasa Mbowe anatangaza taarifa kwa watu wake wa karibu kuwa amelishwa sumu akiwa kwenye kikao cha CHADEMA juzi , huku akiamini kuwa Serikali ilituma wana usalama kwenda kutegesha sumu kwenye vyakula vyao.

Script zao zimeanza rasmi
1. Dkt Nshala amekimbilia Kenya tayari, mpaka muda huu ame report ubalozi wa Canada nchini Kenya
Ameomba hifadhi akisema anatishiwa usalama wake.

2. Mbowe anataka kukimbia nchi na yeye kwenda Uholanzi, kwa kile anachodai amewekewa sumu kwenye chakula na maafisa usalama wa serikali.

Note: Ndugu zangu, Wapinzani wamekosa hoja za msingi , wameanza maigizo yale yale ,kutafuta huruma ya wananchi kuelekea uchaguzi mkuu.

Rais Samia ni mweledi sana na ana busara sana, Huu unaofanywa na Mbowe ni utoto , Nshala rudi kwa Mke wako hayo maigizo huyawezi
Hao wameona mama kakaa kimya hastuki sasa wanaanza kutia fitna nchi za nje.


hawaelewi kuwa hao wa nchi za nje wanaielewa Tanzania kuliko tunavyojielewa wenyewe.

Siasa za kijinga zinajulikana.
 
Hao wameona mama kakaa kimya hastuki sasa wanaanza kutia fitna nchi za nje.


hawaelewi kuwa hao wa nchi za nje wanaielewa Tanzania kuliko tunavyojielewa wenyewe.

Siasa za kijinga zinajulikana.
Wameona Mama hata hajashtuka , wakaona liwalo na liwe , Fitna wanazofanya zimepitwa na muda sana , ningekuwa mshauri wao ningewaambia waendelee na mambo yao ya katiba mpya walikua kwenye mstari sasa wamedandia agenda sio
 
Hao wameona mama kakaa kimya hastuki sasa wanaanza kutia fitna nchi za nje.


hawaelewi kuwa hao wa nchi za nje wanaielewa Tanzania kuliko tunavyojielewa wenyewe.

Siasa za kijinga zinajulikana.
Wewe kiboko Yako Marehemu John Magufuli tu, wewe ni muoga! Na wewe ni mchumia tumbo
 
Back
Top Bottom