Wapinzani wajue hawapambani na Waarabu au Rais Samia bali Mwingereza. Hawatashinda kamwe

Wapinzani wajue hawapambani na Waarabu au Rais Samia bali Mwingereza. Hawatashinda kamwe

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Uingereza ilikuwa na uchumi mkubwa duniani kwa zaidi ya miaka 200+ kwa kuweza kudhibiti njia za majini na karibu bandari zote ulaya kuanzia Karne 15. Kifupi ilijengwa na uchumi wa bandari.

Ukiigusa Dubai unaigusa Uingereza. Hata Mjerumani alipoachiwa Tanganyika hakuachiwa pwani yoyote. Pwani akaidhibiti Uingereza na meli zake zilifanya Doria kwa kivuli Cha za Sultan wa Zanzibar.

Mwaka 1830s uengereza iliingia makubaliano wa kuchukua jukumu la kuzilinda dhidi ya maharamia wengine wa kiarabu nchi zote za jumuia ya kiarabu kwa miaka 100.

Hapo umoja huo ukawa koloni kamili kwa mkataba ulioheshimika hadi 1920 walipoongeza mingine 50+.

Toka wakati huo iliwatumia Waarabu kumiliki Afrika mashariki alipomshawishi sultan Sayed Said kuamia Zanzibar 1840.

Hata kwenye kuigawa Tanganyika kwenye Berlin conference 1884 alihakikisha bandari zote zinakuwa chini ya Mwarabu kwa maslahi yake. Mjerumani hakupewa km 10 kutokea pwani awali. Pwani zote alipewa Mwarabu kwa maslahi ya mwingereza aliyemtuma.

Turudi Dubai Sasa. Mwaka 1974 ndipo Dubai wakapewa bendera yao na Uingereza. Yani ingekuwa Afrika ingekuwa nchi ya mwishoni kabisa kupata uhuru Lakini iko chini ya uratibu wa mwingereza mpaka kesho. Leo Dubai kati ya kila wakazi 10 nane Hadi 9 Ni Wageni. Yani asilimia chini ya 20 ndio Waarabu wa Dubai.

Suala la DP World sio level ya CHADEMA. Ilikuwa lazma waje wachukue bandari zote za Africa mashariki. Kuanzia Djbuti, Somalia, Kenya tayari walishasaini zamani tu na Samia mtamlaumu bure Hilo ni juu ya uwezo wake. Walijua mapema na huwatumia Waarabu kuanzishwa kila maslahi yao.

Waarabu hao hao ndio hutumika hata kuanzishwa makundi ya waasi ya kigaidi ya kidini kwenye rasilimali ili laslimali za Afrika zichukuliwe bila malipo na wazungu.

Wale boko harama hupata ufadhili toka huko, kundi lilikuwa polini uko hakuna kila kitu lakini linamiliki Silaha nyingi Sana na za kisasa kuliko majeshi ya karibu nchi zote za Afrika mashariki. Pia waliibuka waasi wa Niger na hata msumbiji juzi tu walipogundua mafuta.

Hata CCM wote wakimpinga Sasa Samia bandari zote Zitamilikiwa na waingereza kupitia waarabu. Tunaona Sasa Waarabu wanakuja Sana kugawa kondoo za bure kwenye idd lakini tujue shuguli zao.

Ndio maana Dp wenyewe wanatumia Sheria za waliwatuma.
 
Wale boko harama hupata ufadhili toka uko, kundi lilikuwa polini uko hakuna kila kitu lkn linamiliki Silas nyingi Sana na za kisasa kuliko majeshi ya karibu nchi zote za Afrika mashariki.
Hili Linahitaji ushahidi
Mjerumani hakupewa km 10 kutokea pwani awali. Pwani zote alipewa Mwarabu kwa maslahi ya mwingereza aliyemtuma.
Umesema kweli
Tunaona Sasa Waarabu wanakuja Sana kugawa kondoo za bure kwenye idd lkn tujue shuguli zao.
Hili halina uhusiano na bandari
 
Hili Linahitaji ushahidi

Umesema kweli

Hili halina uhusiano na bandari
Pitia documentary ya boko haramu Kaka. Buhari alipoichukua Nigeria alisema kifupi. "Marekani ndio wanaolifadhili kundi la boko haramu" baadaye akafanya ziara Marekani. Alipoojiwa kuhusu iyo kauli alijibu kisiasa tu. Kwamba Kama Marekani ikiimua ilo kundi linatoweka haraka Ila haijaamua kufanya hivyo ndio maana bado lipo. Baada ya muda kundi likakosa nguvu.

Lazima tujue kiundani Hawa wagawa kondoo je hawaleti ushawishi wowote wa Imani Kali na baadae kuibuka ugaidi mbeleni
 
Uingereza ilikuwa na uchumi mkubwa duniani kwa zaidi ya miaka 200+ kwa kuweza kudhibiti njia za majini na karibu bandari zote ulaya kuanzia Karne 15. Kifupi ilijengwa na uchumi wa bandari.

Ukiigusa Dubai unaigusa Uingereza. Hata Mjerumani alipoachiwa Tanganyika hakuachiwa pwani yoyote. Pwani akaidhibiti Uingereza na meli zake zilifanya Doria kwa kivuli Cha za Sultan wa Zanzibar.

Mwaka 1830s uengereza iliingia makubaliano wa kuchukua jukumu la kuzilinda dhidi ya maharamia wengine wa kiarabu nchi zote za jumuia ya kiarabu kwa miaka 100.

Hapo umoja huo ukawa koloni kamili kwa mkataba ulioheshimika hadi 1920 walipoongeza mingine 50+.

Toka wakati huo iliwatumia Waarabu kumiliki Afrika mashariki alipomshawishi sultan Sayed Said kuamia Zanzibar 1840.

Hata kwenye kuigawa Tanganyika kwenye Berlin conference 1884 alihakikisha bandari zote zinakuwa chini ya Mwarabu kwa maslahi yake. Mjerumani hakupewa km 10 kutokea pwani awali. Pwani zote alipewa Mwarabu kwa maslahi ya mwingereza aliyemtuma.

Turudi Dubai Sasa. Mwaka 1874 ndipo Dubai wakapewa bendera yao na Uingereza. Lakini iko chini ya uratibu wa mwingereza mpaka kesho. Leo Dubai kati ya kila wakazi 10 nane Hadi 9 Ni Wageni. Yani asilimia chini ya 20 ndio Waarabu wa Dubai.

Suala la DP World sio level ya CHADEMA. Ilikuwa lazma waje wachukue bandari zote za Africa mashariki. Kuanzia Djbuti, Somalia, Kenya tayari walishasaini zamani tu na Samia mtamlaumu bure Hilo ni juu ya uwezo wake. Walijua mapema na huwatumia Waarabu kuanzishwa kila maslahi yao.

Waarabu hao hao ndio hutumika hata kuanzishwa makundi ya waasi ya kigaidi ya kidini kwenye rasilimali ili laslimali za Afrika zichukuliwe bila malipo na wazungu.

Wale boko harama hupata ufadhili toka huko, kundi lilikuwa polini uko hakuna kila kitu lakini linamiliki Silaha nyingi Sana na za kisasa kuliko majeshi ya karibu nchi zote za Afrika mashariki. Pia waliibuka waasi wa Niger na hata msumbiji juzi tu walipogundua mafuta.

Hata CCM wote wakimpinga Sasa Samia bandari zote Zitamilikiwa na waingereza kupitia waarabu. Tunaona Sasa Waarabu wanakuja Sana kugawa kondoo za bure kwenye idd lakini tujue shuguli zao.

Ndio maana Dp wenyewe wanatumia Sheria za waliwatuma.
Kazi kweli kweli !!
 
Uingereza ilikuwa na uchumi mkubwa duniani kwa zaidi ya miaka 200+ kwa kuweza kudhibiti njia za majini na karibu bandari zote ulaya kuanzia Karne 15. Kifupi ilijengwa na uchumi wa bandari.

Ukiigusa Dubai unaigusa Uingereza. Hata Mjerumani alipoachiwa Tanganyika hakuachiwa pwani yoyote. Pwani akaidhibiti Uingereza na meli zake zilifanya Doria kwa kivuli Cha za Sultan wa Zanzibar.

Mwaka 1830s uengereza iliingia makubaliano wa kuchukua jukumu la kuzilinda dhidi ya maharamia wengine wa kiarabu nchi zote za jumuia ya kiarabu kwa miaka 100.

Hapo umoja huo ukawa koloni kamili kwa mkataba ulioheshimika hadi 1920 walipoongeza mingine 50+.

Toka wakati huo iliwatumia Waarabu kumiliki Afrika mashariki alipomshawishi sultan Sayed Said kuamia Zanzibar 1840.

Hata kwenye kuigawa Tanganyika kwenye Berlin conference 1884 alihakikisha bandari zote zinakuwa chini ya Mwarabu kwa maslahi yake. Mjerumani hakupewa km 10 kutokea pwani awali. Pwani zote alipewa Mwarabu kwa maslahi ya mwingereza aliyemtuma.

Turudi Dubai Sasa. Mwaka 1874 ndipo Dubai wakapewa bendera yao na Uingereza. Lakini iko chini ya uratibu wa mwingereza mpaka kesho. Leo Dubai kati ya kila wakazi 10 nane Hadi 9 Ni Wageni. Yani asilimia chini ya 20 ndio Waarabu wa Dubai.

Suala la DP World sio level ya CHADEMA. Ilikuwa lazma waje wachukue bandari zote za Africa mashariki. Kuanzia Djbuti, Somalia, Kenya tayari walishasaini zamani tu na Samia mtamlaumu bure Hilo ni juu ya uwezo wake. Walijua mapema na huwatumia Waarabu kuanzishwa kila maslahi yao.

Waarabu hao hao ndio hutumika hata kuanzishwa makundi ya waasi ya kigaidi ya kidini kwenye rasilimali ili laslimali za Afrika zichukuliwe bila malipo na wazungu.

Wale boko harama hupata ufadhili toka huko, kundi lilikuwa polini uko hakuna kila kitu lakini linamiliki Silaha nyingi Sana na za kisasa kuliko majeshi ya karibu nchi zote za Afrika mashariki. Pia waliibuka waasi wa Niger na hata msumbiji juzi tu walipogundua mafuta.

Hata CCM wote wakimpinga Sasa Samia bandari zote Zitamilikiwa na waingereza kupitia waarabu. Tunaona Sasa Waarabu wanakuja Sana kugawa kondoo za bure kwenye idd lakini tujue shuguli zao.

Ndio maana Dp wenyewe wanatumia Sheria za waliwatuma.
Kadanganye wajinga wenzio.
 
Uingereza ilikuwa na uchumi mkubwa duniani kwa zaidi ya miaka 200+ kwa kuweza kudhibiti njia za majini na karibu bandari zote ulaya kuanzia Karne 15. Kifupi ilijengwa na uchumi wa bandari.

Ukiigusa Dubai unaigusa Uingereza. Hata Mjerumani alipoachiwa Tanganyika hakuachiwa pwani yoyote. Pwani akaidhibiti Uingereza na meli zake zilifanya Doria kwa kivuli Cha za Sultan wa Zanzibar.

Mwaka 1830s uengereza iliingia makubaliano wa kuchukua jukumu la kuzilinda dhidi ya maharamia wengine wa kiarabu nchi zote za jumuia ya kiarabu kwa miaka 100.

Hapo umoja huo ukawa koloni kamili kwa mkataba ulioheshimika hadi 1920 walipoongeza mingine 50+.

Toka wakati huo iliwatumia Waarabu kumiliki Afrika mashariki alipomshawishi sultan Sayed Said kuamia Zanzibar 1840.

Hata kwenye kuigawa Tanganyika kwenye Berlin conference 1884 alihakikisha bandari zote zinakuwa chini ya Mwarabu kwa maslahi yake. Mjerumani hakupewa km 10 kutokea pwani awali. Pwani zote alipewa Mwarabu kwa maslahi ya mwingereza aliyemtuma.

Turudi Dubai Sasa. Mwaka 1874 ndipo Dubai wakapewa bendera yao na Uingereza. Lakini iko chini ya uratibu wa mwingereza mpaka kesho. Leo Dubai kati ya kila wakazi 10 nane Hadi 9 Ni Wageni. Yani asilimia chini ya 20 ndio Waarabu wa Dubai.

Suala la DP World sio level ya CHADEMA. Ilikuwa lazma waje wachukue bandari zote za Africa mashariki. Kuanzia Djbuti, Somalia, Kenya tayari walishasaini zamani tu na Samia mtamlaumu bure Hilo ni juu ya uwezo wake. Walijua mapema na huwatumia Waarabu kuanzishwa kila maslahi yao.

Waarabu hao hao ndio hutumika hata kuanzishwa makundi ya waasi ya kigaidi ya kidini kwenye rasilimali ili laslimali za Afrika zichukuliwe bila malipo na wazungu.

Wale boko harama hupata ufadhili toka huko, kundi lilikuwa polini uko hakuna kila kitu lakini linamiliki Silaha nyingi Sana na za kisasa kuliko majeshi ya karibu nchi zote za Afrika mashariki. Pia waliibuka waasi wa Niger na hata msumbiji juzi tu walipogundua mafuta.

Hata CCM wote wakimpinga Sasa Samia bandari zote Zitamilikiwa na waingereza kupitia waarabu. Tunaona Sasa Waarabu wanakuja Sana kugawa kondoo za bure kwenye idd lakini tujue shuguli zao.

Ndio maana Dp wenyewe wanatumia Sheria za waliwatuma.
Stupid as stupid does.

Amandla...
 
Uingereza ilikuwa na uchumi mkubwa duniani kwa zaidi ya miaka 200+ kwa kuweza kudhibiti njia za majini na karibu bandari zote ulaya kuanzia Karne 15. Kifupi ilijengwa na uchumi wa bandari.

Ukiigusa Dubai unaigusa Uingereza. Hata Mjerumani alipoachiwa Tanganyika hakuachiwa pwani yoyote. Pwani akaidhibiti Uingereza na meli zake zilifanya Doria kwa kivuli Cha za Sultan wa Zanzibar.

Mwaka 1830s uengereza iliingia makubaliano wa kuchukua jukumu la kuzilinda dhidi ya maharamia wengine wa kiarabu nchi zote za jumuia ya kiarabu kwa miaka 100.

Hapo umoja huo ukawa koloni kamili kwa mkataba ulioheshimika hadi 1920 walipoongeza mingine 50+.

Toka wakati huo iliwatumia Waarabu kumiliki Afrika mashariki alipomshawishi sultan Sayed Said kuamia Zanzibar 1840.

Hata kwenye kuigawa Tanganyika kwenye Berlin conference 1884 alihakikisha bandari zote zinakuwa chini ya Mwarabu kwa maslahi yake. Mjerumani hakupewa km 10 kutokea pwani awali. Pwani zote alipewa Mwarabu kwa maslahi ya mwingereza aliyemtuma.

Turudi Dubai Sasa. Mwaka 1874 ndipo Dubai wakapewa bendera yao na Uingereza. Lakini iko chini ya uratibu wa mwingereza mpaka kesho. Leo Dubai kati ya kila wakazi 10 nane Hadi 9 Ni Wageni. Yani asilimia chini ya 20 ndio Waarabu wa Dubai.

Suala la DP World sio level ya CHADEMA. Ilikuwa lazma waje wachukue bandari zote za Africa mashariki. Kuanzia Djbuti, Somalia, Kenya tayari walishasaini zamani tu na Samia mtamlaumu bure Hilo ni juu ya uwezo wake. Walijua mapema na huwatumia Waarabu kuanzishwa kila maslahi yao.

Waarabu hao hao ndio hutumika hata kuanzishwa makundi ya waasi ya kigaidi ya kidini kwenye rasilimali ili laslimali za Afrika zichukuliwe bila malipo na wazungu.

Wale boko harama hupata ufadhili toka huko, kundi lilikuwa polini uko hakuna kila kitu lakini linamiliki Silaha nyingi Sana na za kisasa kuliko majeshi ya karibu nchi zote za Afrika mashariki. Pia waliibuka waasi wa Niger na hata msumbiji juzi tu walipogundua mafuta.

Hata CCM wote wakimpinga Sasa Samia bandari zote Zitamilikiwa na waingereza kupitia waarabu. Tunaona Sasa Waarabu wanakuja Sana kugawa kondoo za bure kwenye idd lakini tujue shuguli zao.

Ndio maana Dp wenyewe wanatumia Sheria za waliwatuma.
Uzi umeshiba Sana huu , haya mambo ni zaidi ya uwezo wa uraisi
 
Pitia documentary ya boko haramu Kaka. Buhari alipoichukua Nigeria alisema kifupi. "Marekani ndio wanaolifadhili kundi la boko haramu" baadaye akafanya ziara Marekani.
Ikiwa Buhari alisema Marekani ndo wanaolifadhili kundi hilo na baada ya hapo shughuli za kundi hilo likafifia, huu ndo ushahidi wa Waarabu kufadhili vikundi vya kigaidi? Kwa ushahidi huu sio Wamarekani wanaofadhili ugaidi? Tuweni wakweli katika kujadili mambo bila kuingiza ushabiki au kuangalia mtu.
Lazima tujue kiundani Hawa wagawa kondoo je hawaleti ushawishi wowote wa Imani Kali na baadae kuibuka ugaidi mbeleni
Ni vizuri kujua kiundani hawa wagawa kondoo. Wanaogawa kondoo ni Wasaudi. Kondoo hao ni wale wanaotolewa na wanaohiji (mahujaji) ambao hutoka nchi zote za dunia ambazo zinao Waislamu. Kondoo hao husambazwa kwenye nchi zenye mahitaji ya sadaka ikiwemo Tanzania.

Ni kweli kila mtu anao uhuru wa kuamini dini anayoitaka lkn tunapaswa kufanya hivyo bila kunyoosheana vidole. Huo ndio uungwana na ndio ustaarabu.
 
Ikiwa Buhari alisema Marekani ndo wanaolifadhili kundi hilo na baada ya hapo shughuli za kundi hilo likafifia, huu ndo ushahidi wa Waarabu kufadhili vikundi vya kigaidi? Kwa ushahidi huu sio Wamarekani wanaofadhili ugaidi? Tuweni wakweli katika kujadili mambo bila kuingiza ushabiki au kuangalia mtu.

Ni vizuri kujua kiundani hawa wagawa kondoo. Wanaogawa kondoo ni Wasaudi. Kondoo hao ni wale wanaotolewa na wanaohiji (mahujaji) ambao hutoka nchi zote za dunia ambazo zinao Waislamu. Kondoo hao husambazwa kwenye nchi zenye mahitaji ya sadaka ikiwemo Tanzania.

Ni kweli kila mtu anao uhuru wa kuamini dini anayoitaka lkn tunapaswa kufanya hivyo bila kunyoosheana vidole. Huo ndio uungwana na ndio ustaarabu.
Tuko pamoja lkn umeweka Imani. Na Hizi Imani ndio uondoa uwezo wa kufikiri kwa Uhuru.

Marekani ilifadhili kwa uwazi kabisa Mabutu na Savimbi.

Lakini makundi ya kigaidi yote ya magharibi yameshikanishwa na dini ya kiislamu na Uarabuni. Lkn Cha kujiuliza yapo kwa mlengo wa kidini kwenye nchi zenye rasilimali nyingi Kama ilivyo Nigeria, Libya na Sasa Niger mzalishaji mkubwa zaidi wa Urenium Kupeleka ulaya na ufaransa.


Au msumbiji eti uasi unaanza kipindi ufaransa inaanza kuchimba mafuta. Je hao Ni Islamic state wapigania Imani au rasilimali.

Swala la kondoo sijasema labda wanatumika Ila nasisitiza tu shuguli zao wakifika zichunguzwe Sana wasipandikize itikadi Kali na baadae uasi. Hii Ni nchi tajili trust no body.
 
Uingereza ilikuwa na uchumi mkubwa duniani kwa zaidi ya miaka 200+ kwa kuweza kudhibiti njia za majini na karibu bandari zote ulaya kuanzia Karne 15. Kifupi ilijengwa na uchumi wa bandari.

Ukiigusa Dubai unaigusa Uingereza. Hata Mjerumani alipoachiwa Tanganyika hakuachiwa pwani yoyote. Pwani akaidhibiti Uingereza na meli zake zilifanya Doria kwa kivuli Cha za Sultan wa Zanzibar.

Mwaka 1830s uengereza iliingia makubaliano wa kuchukua jukumu la kuzilinda dhidi ya maharamia wengine wa kiarabu nchi zote za jumuia ya kiarabu kwa miaka 100.

Hapo umoja huo ukawa koloni kamili kwa mkataba ulioheshimika hadi 1920 walipoongeza mingine 50+.

Toka wakati huo iliwatumia Waarabu kumiliki Afrika mashariki alipomshawishi sultan Sayed Said kuamia Zanzibar 1840.

Hata kwenye kuigawa Tanganyika kwenye Berlin conference 1884 alihakikisha bandari zote zinakuwa chini ya Mwarabu kwa maslahi yake. Mjerumani hakupewa km 10 kutokea pwani awali. Pwani zote alipewa Mwarabu kwa maslahi ya mwingereza aliyemtuma.

Turudi Dubai Sasa. Mwaka 1874 ndipo Dubai wakapewa bendera yao na Uingereza. Lakini iko chini ya uratibu wa mwingereza mpaka kesho. Leo Dubai kati ya kila wakazi 10 nane Hadi 9 Ni Wageni. Yani asilimia chini ya 20 ndio Waarabu wa Dubai.

Suala la DP World sio level ya CHADEMA. Ilikuwa lazma waje wachukue bandari zote za Africa mashariki. Kuanzia Djbuti, Somalia, Kenya tayari walishasaini zamani tu na Samia mtamlaumu bure Hilo ni juu ya uwezo wake. Walijua mapema na huwatumia Waarabu kuanzishwa kila maslahi yao.

Waarabu hao hao ndio hutumika hata kuanzishwa makundi ya waasi ya kigaidi ya kidini kwenye rasilimali ili laslimali za Afrika zichukuliwe bila malipo na wazungu.

Wale boko harama hupata ufadhili toka huko, kundi lilikuwa polini uko hakuna kila kitu lakini linamiliki Silaha nyingi Sana na za kisasa kuliko majeshi ya karibu nchi zote za Afrika mashariki. Pia waliibuka waasi wa Niger na hata msumbiji juzi tu walipogundua mafuta.

Hata CCM wote wakimpinga Sasa Samia bandari zote Zitamilikiwa na waingereza kupitia waarabu. Tunaona Sasa Waarabu wanakuja Sana kugawa kondoo za bure kwenye idd lakini tujue shuguli zao.

Ndio maana Dp wenyewe wanatumia Sheria za waliwatuma.


Kweli UMUGHAKA uko sahihi ngozi nyeusi yaweza kuwa na laana, aliyeandika haya ni Mtanzania mmiliki wa rasilimali tajwa.
 
Uingereza ilikuwa na uchumi mkubwa duniani kwa zaidi ya miaka 200+ kwa kuweza kudhibiti njia za majini na karibu bandari zote ulaya kuanzia Karne 15. Kifupi ilijengwa na uchumi wa bandari.

Ukiigusa Dubai unaigusa Uingereza. Hata Mjerumani alipoachiwa Tanganyika hakuachiwa pwani yoyote. Pwani akaidhibiti Uingereza na meli zake zilifanya Doria kwa kivuli Cha za Sultan wa Zanzibar.

Mwaka 1830s uengereza iliingia makubaliano wa kuchukua jukumu la kuzilinda dhidi ya maharamia wengine wa kiarabu nchi zote za jumuia ya kiarabu kwa miaka 100.

Hapo umoja huo ukawa koloni kamili kwa mkataba ulioheshimika hadi 1920 walipoongeza mingine 50+.

Toka wakati huo iliwatumia Waarabu kumiliki Afrika mashariki alipomshawishi sultan Sayed Said kuamia Zanzibar 1840.

Hata kwenye kuigawa Tanganyika kwenye Berlin conference 1884 alihakikisha bandari zote zinakuwa chini ya Mwarabu kwa maslahi yake. Mjerumani hakupewa km 10 kutokea pwani awali. Pwani zote alipewa Mwarabu kwa maslahi ya mwingereza aliyemtuma.

Turudi Dubai Sasa. Mwaka 1974 ndipo Dubai wakapewa bendera yao na Uingereza. Yani ingekuwa Afrika ingekuwa nchi ya mwishoni kabisa kupata uhuru Lakini iko chini ya uratibu wa mwingereza mpaka kesho. Leo Dubai kati ya kila wakazi 10 nane Hadi 9 Ni Wageni. Yani asilimia chini ya 20 ndio Waarabu wa Dubai.

Suala la DP World sio level ya CHADEMA. Ilikuwa lazma waje wachukue bandari zote za Africa mashariki. Kuanzia Djbuti, Somalia, Kenya tayari walishasaini zamani tu na Samia mtamlaumu bure Hilo ni juu ya uwezo wake. Walijua mapema na huwatumia Waarabu kuanzishwa kila maslahi yao.

Waarabu hao hao ndio hutumika hata kuanzishwa makundi ya waasi ya kigaidi ya kidini kwenye rasilimali ili laslimali za Afrika zichukuliwe bila malipo na wazungu.

Wale boko harama hupata ufadhili toka huko, kundi lilikuwa polini uko hakuna kila kitu lakini linamiliki Silaha nyingi Sana na za kisasa kuliko majeshi ya karibu nchi zote za Afrika mashariki. Pia waliibuka waasi wa Niger na hata msumbiji juzi tu walipogundua mafuta.

Hata CCM wote wakimpinga Sasa Samia bandari zote Zitamilikiwa na waingereza kupitia waarabu. Tunaona Sasa Waarabu wanakuja Sana kugawa kondoo za bure kwenye idd lakini tujue shuguli zao.

Ndio maana Dp wenyewe wanatumia Sheria za waliwatuma.
Professional rubish
 
Ikiwa Buhari alisema Marekani ndo wanaolifadhili kundi hilo na baada ya hapo shughuli za kundi hilo likafifia, huu ndo ushahidi wa Waarabu kufadhili vikundi vya kigaidi? Kwa ushahidi huu sio Wamarekani wanaofadhili ugaidi? Tuweni wakweli katika kujadili mambo bila kuingiza ushabiki au kuangalia mtu.

Ni vizuri kujua kiundani hawa wagawa kondoo. Wanaogawa kondoo ni Wasaudi. Kondoo hao ni wale wanaotolewa na wanaohiji (mahujaji) ambao hutoka nchi zote za dunia ambazo zinao Waislamu. Kondoo hao husambazwa kwenye nchi zenye mahitaji ya sadaka ikiwemo Tanzania.

Ni kweli kila mtu anao uhuru wa kuamini dini anayoitaka lkn tunapaswa kufanya hivyo bila kunyoosheana vidole. Huo ndio uungwana na ndio ustaarabu.
Kondoo na mbuzi wmekuwa wakigawiwa Nchini na kwingineko kila baada ya Hijja inayofanyika Saudi Arabia kila mwaka !! Sasa inataka kuunganishwa na Bandari. 😅😅
Hatar sana 😅🙏
 
Je hao Ni Islamic state wapigania Imani au rasilimali.
Ni vizuri umeliweka hili la Islamic state, ikiwa wanahiki kuitwa hivyo. Kama ulivyoeleza aliyoeleza Buhari kuhusu ufadhili wa Marekani kufadhilii ugaidi. Hao Islamic State, kwa maoni yangu, sio Waislamu kwani uislamu hauruhusu kuua au kuuliwa isipokuwa mtu husika awe ameua.

Kwa maana hiyo hao katika uhalisia sio waislamu kwani wanatenda kinyume na mafundisho ya uislamu. Sasa ni kwanini Marekani inawafadhili; kwa maoni yangu, ni kwa sababu mbili kuu.
1. Kutaka kuonesha umma kwamba uislamu ni dini ya mauaji na waislamu ni wauaji
2. Baada ya kuwaaminisha watu kwamba uslamu ni dini ya mauaji na waislamu ni wuaji, wao - Marekani na washirika wake - wapate nafasi ya kupora rasilmali kwa manufaa yao.
 
Back
Top Bottom