Wapinzani wajue hawapambani na Waarabu au Rais Samia bali Mwingereza. Hawatashinda kamwe

Wapinzani wajue hawapambani na Waarabu au Rais Samia bali Mwingereza. Hawatashinda kamwe

Acha uboya mimi nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba mkataba huu unamaslahi kwa Taifa. Kwanini hauna ukomo? Kwanini hautamki mgawanyo? Kwanini unakuwa glue kwamba hauwezi kuvunjwa? Huu ni makataba wa kihuni mnaweza kulazimisha kutumika ila muda ni HAKIMU mzuri wanaouza raslimali zetu watakimbia nchi.
 
Suala la DP World sio level ya CHADEMA. Ilikuwa lazma waje wachukue bandari zote za Africa mashariki. Kuanzia Djbuti, Somalia, Kenya tayari walishasaini zamani tu na Samia mtamlaumu bure Hilo ni juu ya uwezo wake. Walijua mapema na huwatumia Waarabu kuanzishwa kila maslahi yao.
Kwa hiyo tuseme Mwabukusi na Mudude wamekamatwa na Mwingereza?

Vipi ile kesi kule Mbeya wale majaji ni waingereza?
 
Kwa hiyo tuseme Mwabukusi na Mudude wamekamatwa na Mwingereza?

Vipi ile kesi kule Mbeya wale majaji ni waingereza?
Sio kukamatwa ata wakinyongwa Uingereza itakaa kimya. Yule mwandishi wa Saudia aliyechinjwa uturuki ubalozini Uingereza ilifanya nini.
Mfumo wa Uingereza kutawala huwa indirect rule ili kureduce resistance..

Kwanini watumie Waarabu Africa mashariki. Walifanya hivyo tokea miaka 200 iliyopita. Wanaamini wanakubalika kwa waislamu wanaoishi pwani. Ni swala la muda tu Dp watachukua Mombasa, Lamu ,Tanga na pwani yote ya Hindi. Kuanzia Djbuti eritria.

Usizani Sasa wanagawa kondoo za bure bure tu kwenye idi wanatafuta mvuto tu.
 
Acha uboya mimi nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba mkataba huu unamaslahi kwa Taifa. Kwanini hauna ukomo? Kwanini hautamki mgawanyo? Kwanini unakuwa glue kwamba hauwezi kuvunjwa? Huu ni makataba wa kihuni mnaweza kulazimisha kutumika ila muda ni HAKIMU mzuri wanaouza raslimali zetu watakimbia nchi.
Duh 🙄 watakimbia Nchi ??!! 😱
 
Ni vizuri umeliweka hili la Islamic state, ikiwa wanahiki kuitwa hivyo. Kama ulivyoeleza aliyoeleza Buhari kuhusu ufadhili wa Marekani kufadhilii ugaidi. Hao Islamic State, kwa maoni yangu, sio Waislamu kwani uislamu hauruhusu kuua au kuuliwa isipokuwa mtu husika awe ameua.

Kwa maana hiyo hao katika uhalisia sio waislamu kwani wanatenda kinyume na mafundisho ya uislamu. Sasa ni kwanini Marekani inawafadhili; kwa maoni yangu, ni kwa sababu mbili kuu.
1. Kutaka kuonesha umma kwamba uislamu ni dini ya mauaji na waislamu ni wauaji
2. Baada ya kuwaaminisha watu kwamba uslamu ni dini ya mauaji na waislamu ni wuaji, wao - Marekani na washirika wake - wapate nafasi ya kupora rasilmali kwa manufaa yao.

Ngumu kueleweka yani waislamu watumiwe na wasio waislamj kuharibu identity ya dini yao??wtf.
 
Uingereza ilikuwa na uchumi mkubwa duniani kwa zaidi ya miaka 200+ kwa kuweza kudhibiti njia za majini na karibu bandari zote ulaya kuanzia Karne 15. Kifupi ilijengwa na uchumi wa bandari.

Ukiigusa Dubai unaigusa Uingereza. Hata Mjerumani alipoachiwa Tanganyika hakuachiwa pwani yoyote. Pwani akaidhibiti Uingereza na meli zake zilifanya Doria kwa kivuli Cha za Sultan wa Zanzibar.

Mwaka 1830s uengereza iliingia makubaliano wa kuchukua jukumu la kuzilinda dhidi ya maharamia wengine wa kiarabu nchi zote za jumuia ya kiarabu kwa miaka 100.

Hapo umoja huo ukawa koloni kamili kwa mkataba ulioheshimika hadi 1920 walipoongeza mingine 50+.

Toka wakati huo iliwatumia Waarabu kumiliki Afrika mashariki alipomshawishi sultan Sayed Said kuamia Zanzibar 1840.

Hata kwenye kuigawa Tanganyika kwenye Berlin conference 1884 alihakikisha bandari zote zinakuwa chini ya Mwarabu kwa maslahi yake. Mjerumani hakupewa km 10 kutokea pwani awali. Pwani zote alipewa Mwarabu kwa maslahi ya mwingereza aliyemtuma.

Turudi Dubai Sasa. Mwaka 1974 ndipo Dubai wakapewa bendera yao na Uingereza. Yani ingekuwa Afrika ingekuwa nchi ya mwishoni kabisa kupata uhuru Lakini iko chini ya uratibu wa mwingereza mpaka kesho. Leo Dubai kati ya kila wakazi 10 nane Hadi 9 Ni Wageni. Yani asilimia chini ya 20 ndio Waarabu wa Dubai.

Suala la DP World sio level ya CHADEMA. Ilikuwa lazma waje wachukue bandari zote za Africa mashariki. Kuanzia Djbuti, Somalia, Kenya tayari walishasaini zamani tu na Samia mtamlaumu bure Hilo ni juu ya uwezo wake. Walijua mapema na huwatumia Waarabu kuanzishwa kila maslahi yao.

Waarabu hao hao ndio hutumika hata kuanzishwa makundi ya waasi ya kigaidi ya kidini kwenye rasilimali ili laslimali za Afrika zichukuliwe bila malipo na wazungu.

Wale boko harama hupata ufadhili toka huko, kundi lilikuwa polini uko hakuna kila kitu lakini linamiliki Silaha nyingi Sana na za kisasa kuliko majeshi ya karibu nchi zote za Afrika mashariki. Pia waliibuka waasi wa Niger na hata msumbiji juzi tu walipogundua mafuta.

Hata CCM wote wakimpinga Sasa Samia bandari zote Zitamilikiwa na waingereza kupitia waarabu. Tunaona Sasa Waarabu wanakuja Sana kugawa kondoo za bure kwenye idd lakini tujue shuguli zao.

Ndio maana Dp wenyewe wanatumia Sheria za waliwatuma.
Uongo unaokaribia ukweli
 
Ngumu kueleweka yani waislamu watumiwe na wasio waislamj kuharibu identity ya dini yao??wtf.
Hukuelewa wewe au hukusoma betwween the line. Nimesema mimi, kwa maoni yangu, hao sio Waislamu Sasa wewe unanitilia maneno mdomoni kuwa hao ni Waislamu.

Jitahidi kusoma vizuri halafu ujadili nilichoandika.

Zawadini
 
Acha uboya mimi nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba mkataba huu unamaslahi kwa Taifa. Kwanini hauna ukomo? Kwanini hautamki mgawanyo? Kwanini unakuwa glue kwamba hauwezi kuvunjwa? Huu ni makataba wa kihuni mnaweza kulazimisha kutumika ila muda ni HAKIMU mzuri wanaouza raslimali zetu watakimbia nchi.
Nani kasema unamaslahi. Mimi nakuonesha Nani Yuko nyuma swala hapa ujue Nani wa kupambana nae
 
Back
Top Bottom