Wapinzani wangeliungana na Hayati Magufuli hakika tungelikuwa tushapata Tanzania Mpya, tatizo ni maslahi binafsi


Hakuna sehemu nimeongelea “mapenzi Kwa Magufuli, hata nukta.

Nimeongelea wao kumkataa kumuunga mkono katika mambo yale yale waliyokua wakiyapigia kelele wao wenyewe (upinzani)+ wananchi wengi…

Eti integrity ya wapinzani? Kwenye nini labda maana hata credibility tu ni ndoto kuipata Kwa wanasiasa wa Tanzania, both CCM na Upinzani.
 
Mambo gani hayo?

Halafu, ni Magufuli ndiye mwanasiasa pekee aliyekuwa na integrity na credibility nchini? Ndio mahaba yenyewe hayo uliyo nayo kwa mwendazake! Au utadai pia kuwa Magufuli hakuwa mwanasiasa.
 

Huyo Magufuli kama asingekuwa na Maslahi Binafsi kwa nini aliiba Chaguzi ....!!?
 
Magufuli yupi angeleta Tanzania mpya wakati alikuwa anafilisi biashara za matajiri?

Mungu mwenyewe alijuwa kuwa akina Kikwette na CCM wamebugi big time kumpa kichaa uRais, ndipo akamtoa. Bado nyie machawa sijui tuwaite misukule mnamuota!!

Amekufa na hatorudi tena, jitahidi uzoee hali hii
 
maswali yako ni mazito na ya msingi sana mkuu, mimi siwezi kuyatolea ufafanuzi kwa usahii kabisa kama ipasavyo, other wise ningekuwa kwenye system ndo ningejua kwa undani zaidi kwamba ni nini kilipelekea magufuli kuepuka mradi wa umeme wa gas. Nadhan nyie ambao mko kwenye system mnaweza kutujuza.

Naomba nikuulize, mpaka sasa bado unaamin kuwa magufuli hakuwa sahihi kufanya mradi ule wa umeme?
 
Yuko sahihi kutupatia umeme, lakini pesa imekuwa nyingi sana kwenye mradi wa maji, nadhani nusu ya pesa hiyo ingeweza kutupatia Mega hizo za kwenye gas, na nyingine ingeingia kwenye shughuli nyingine.

Kwahiyo uelewe hatukupinga kila kitu bila hoja za msingi. Ila ww ulitekwa na maelezo ya kipropaganda kiasi kwamba ukapata upofu wa kuona hoja mbadala.
 
Magufuli alikuwa na upeo mfupi wa kuona mambo na alikuwa anapenda kusifiwa hata anapofanya makosa. Watu wa shule za kata mna shida sana. Jaribuni kujifunza lugha ya kiingereza ili mpanue upeo wenu wa kuona mambo na kuijua dunia.
 
Huwezi ungana na dikteta
 

Acha kumlinganisha Lissu na vitu vya kijinga. Magufuli na Samiah wote ni mashetani. Hawana la maana.
 

Wamuunge mkono kwa lipi?. Tanzania ni nchi ya vyama vingi kwanini ulazimishe upinzani umuunge mkono?.

Halafu alitoa kauli hiyo mwanzoni baada ya kuchaguliwa. Alikuwa na hasira ya kupata Asilimia 57 ya kura zote.
 
Nadhani hoja ingekuwa hivi:
Magufuli asingewapiga vita wapinzani na kuwatumia kupata taarifa mbalimbali angeweza kuvunja kabisa mtandao wabkifisadi. Sasa yeye kadanganywa kuwa wapinzani ndio watamchelewesha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…