Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Mkuu kumpenda Magufuli haina tatizo kabisa - kwa waliompenda, kumuelewa na kuwa wafuasi na mashabiki wake. Ni haki yao.
LAKINI kutarajia kuwa wapinzani nao walitakiwa kumuunga mkono na hivyo KUACHA KABISA KUIKOSOA SERIKALI ni kudharau sana intelligence na integrity ya wapinzani.
Na sio tu wapinzani walioko kwenye vyama vya upinzani (opposition) bali pamoja na wote wasio wanachama wa vyama, wanaharakati, na hata walio ndani ya chama tawala. Natumaini utanielewa.
That is my point.
Hakuna sehemu nimeongelea “mapenzi Kwa Magufuli, hata nukta.
Nimeongelea wao kumkataa kumuunga mkono katika mambo yale yale waliyokua wakiyapigia kelele wao wenyewe (upinzani)+ wananchi wengi…
Eti integrity ya wapinzani? Kwenye nini labda maana hata credibility tu ni ndoto kuipata Kwa wanasiasa wa Tanzania, both CCM na Upinzani.