Wapo wachache sana wenye UZURI na AKILI kwa pamoja

Wapo wachache sana wenye UZURI na AKILI kwa pamoja

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
4,134
Reaction score
10,644
Anza kwanza kutazama kwa makini uwezo wake wa kuwwa mke na kuwa Mama wa Watoto wako. Usikimbilie kutazama makalio na figa tu Ndoa ni zaidi ya hayo. Umbo lake halisaidii chochote kwenye future yako.
 
IMG_20230516_140517.jpg
 
Asa mbona kikao cha mwisho tuliletewa mrejesho eti sisi tuje tu na sura na matacore yetu...eti akili tutatumia zenu

Hizi updates za sisi kuwa na umakini mbona za ghafla sana
 
Mwanamke lazima uwe na msambwanda wa kueleweka mixer sura nzuri( irreducable minimums of a woman).

Hayo mengine tuachie sisi wenyewe tutayashughulikia.
 
Ndoa na mwanamke asiye na mvuto ni shida mno

Yaan mwanamke asie na mvuto akikukera huwa hasira zinapungua taratibu sana

Kuna mmoja niliwah kuwa nae,alikuwa na mguu mbaya,ilikuwa ikitokea kanikera nikauona na ule mguu wake yaan ndo hasira zinanizid kabisa,naweza beba hata jiwe ni uponde huo mguu

wAnawake ni maua,inabid ndani uwe na kitu kitu kweli kinawaka,hata kikiwa kipo jikoni ukikitazama mpaka unapata hamu ya kula chakula na yeye mwenyew
 
Ndoa na mwanamke asiye na mvuto ni shida mno

Yaan mwanamke asie na mvuto akikukera huwa hasira zinapungua taratibu sana

Kuna mmoja niliwah kuwa nae,alikuwa na mguu mbaya,ilikuwa ikitokea kanikera nikauona na ule mguu wake yaan ndo hasira zinanizid kabisa,naweza beba hata jiwe ni uponde huo mguu

wAnawake ni maua,inabid ndani uwe na kitu kitu kweli kinawaka,hata kikiwa kipo jikoni ukikitazama mpaka unapata hamu ya kula chakula na yeye mwenyew
Nimecheka kama fala asee,
 
Ndoa na mwanamke asiye na mvuto ni shida mno

Yaan mwanamke asie na mvuto akikukera huwa hasira zinapungua taratibu sana

Kuna mmoja niliwah kuwa nae,alikuwa na mguu mbaya,ilikuwa ikitokea kanikera nikauona na ule mguu wake yaan ndo hasira zinanizid kabisa,naweza beba hata jiwe ni uponde huo mguu

wAnawake ni maua,inabid ndani uwe na kitu kitu kweli kinawaka,hata kikiwa kipo jikoni ukikitazama mpaka unapata hamu ya kula chakula na yeye mwenyew
Nimecheka sana
 
Ndoa na mwanamke asiye na mvuto ni shida mno

Yaan mwanamke asie na mvuto akikukera huwa hasira zinapungua taratibu sana

Kuna mmoja niliwah kuwa nae,alikuwa na mguu mbaya,ilikuwa ikitokea kanikera nikauona na ule mguu wake yaan ndo hasira zinanizid kabisa,naweza beba hata jiwe ni uponde huo mguu

wAnawake ni maua,inabid ndani uwe na kitu kitu kweli kinawaka,hata kikiwa kipo jikoni ukikitazama mpaka unapata hamu ya kula chakula na yeye mwenyew
Haya sasa ndio maneno bwana. Mke anapaswa awe pisi kweli kweli. Sema hela tuu ndio zinapiga chenga.
 
Mimi napenda mwanamke mzuri my first lady alikua ni chotara wa hapa Tz na USA dah! Chuma kilikua cha kwenda na tabia sasa nzuri sana kwenye akili very smart upstairs
 
Asa mbona kikao cha mwisho tuliletewa mrejesho eti sisi tuje tu na sura na matacore yetu...eti akili tutatumia zenu

Hizi updates za sisi kuwa na umakini mbona za ghafla sana
😂😂😂 Daaah
 
Back
Top Bottom