Wapo wachache sana wenye UZURI na AKILI kwa pamoja

Wapo wachache sana wenye UZURI na AKILI kwa pamoja

Kwanini usíoe dada mzuri wastani,halafu mchepuko ndiyo ukawa na makalio makubwa pamoja na sura nzuri?
Tambua kua kuna mwanamke wa kuoa na mwanamke wa starehe.
Ni ngumu sana kukuta mwanamke ana kalio kubwa,sura nzuri,halafu na akili za maisha.
Kwanza mwanamke wa aina hiyo,yaani mwenye tako kubwa,sura nzuri,wengi wao wanagongwa sana,na katika kugongwagongwa,ndoa zao hazidumu.
Shusho ni mzuri,ila nasikia ndoa yake ilileta shida,Jokate ni mzuri,ila nasikia baba wa mtoto hayuko wazi,ukiingia siasani ndiyo hatari.
 
Inasemekana wanawake wenye makalio makubwa(Msabwanda/chura /inye/traco) hawana akili kwasababu huwa zinahamia huko nyuma...
 
Ndoa na mwanamke asiye na mvuto ni shida mno

Yaan mwanamke asie na mvuto akikukera huwa hasira zinapungua taratibu sana

Kuna mmoja niliwah kuwa nae,alikuwa na mguu mbaya,ilikuwa ikitokea kanikera nikauona na ule mguu wake yaan ndo hasira zinanizid kabisa,naweza beba hata jiwe ni uponde huo mguu

wAnawake ni maua,inabid ndani uwe na kitu kitu kweli kinawaka,hata kikiwa kipo jikoni ukikitazama mpaka unapata hamu ya kula chakula na yeye mwenyew
Dhambi 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom