Lissu nipewe hata mimi kazi mbona kumaliza kiguru yule kazi ndogo sanaa. Mtu kiguru chini hakufai tena faida yake nini kuishi, Jitu halina thamani yoyote nchi hii kazi nyepesi sana.Wewe mwenye roho ya kiuaji sikia, huyo Makonda mbona alimshindwa Lissu, mpaka bossi wake akafa kwa aibu na huyo Makonda yupo kijiweni. Achana na Lissu fanya kazi zako. Yani Rais ateue mtu Kuja kupambana na Lissu baadla ya kusaidia nchi isonge mbele. Punguza unafiki na roho mbaya.