Wapwaz! (na mabiniamuuz!):Will you guys organise the bag-party for the groom

Wapwaz! (na mabiniamuuz!):Will you guys organise the bag-party for the groom

More dataz ni kwamba Nguli yupo mbioni kuachana na nguli type stay tuned wapwa.

haya ndo ulokua ukiperuuuuuuz na nasasa unadadis lol!!! may lord epushie this far away from him!!!!
 
mimi na ZD tutakuwa hatujafanikiwa then....
bht,toka lini bikira Maria na Maria magdalene wakashindwa jambo?
unakumbuka siku ya tatu ya juma? Midume akina Petro walijifungia eti wanaogopa.Lakini maria magdalene jasiri akaenda kaburini bila kuogopa askari.
 
bht,toka lini bikira Maria na Maria magdalene wakashindwa jambo?
unakumbuka siku ya tatu ya juma? Midume akina Petro walijifungia eti wanaogopa.Lakini maria magdalene jasiri akaenda kaburini bila kuogopa askari.

Msisahau Yoseph Bado Nipo Nipo Kwanza!
 
haya ndo ulokua ukiperuuuuuuz na nasasa unadadis lol!!! may lord epushie this far away from him!!!!

Haya ni maayabu usione nipo kimyaa nipo busy na Nguli hapa anajaribu kuonja radha tofauti.
 
bht,toka lini bikira maria na maria magdalene wakashindwa jambo?
Unakumbuka siku ya tatu ya juma? Midume akina petro walijifungia eti wanaogopa.lakini maria magdalene jasiri akaenda kaburini bila kuogopa askari.
then who is maria magdalene here, you or bht??
 
bht,toka lini bikira Maria na Maria magdalene wakashindwa jambo?
unakumbuka siku ya tatu ya juma? Midume akina Petro walijifungia eti wanaogopa.Lakini maria magdalene jasiri akaenda kaburini bila kuogopa askari.

maana tupo karibu kumtoa Iribini huko sasa tena Nguli akidumbukia hapo tumefanya nini.....Ngoja tukaze buti. asante kwa neno la matumaini!!!
 
Back
Top Bottom