Waraka: Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) latoa tahadhari kuhusu ugonjwa wa Corona nchini

Afadhali sasa sauti zinaanza kupazwa toka kila kona, tuache kuishi kwa kudanganyana kama watoto, kila mmoja popote alipo achukue tahadhari kwa kujilinda yeye na awapendao, Corona ipo na inaua.

Inawezekana kifo cha Padre huko Kagera ndio kimewasukuma TEC kutoa hili tamko, wameona ukimya ungezidi kutuangamiza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…