johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwani kuna mashindano?Kesho akiwa anazindua shamba kule kijijin kwake atawajibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuna mashindano?Kesho akiwa anazindua shamba kule kijijin kwake atawajibu.
Unakwenda kinyume na mkuu wako? Keshasema hakuna corona na hakuna kuvaa mask. Humuamini au?Hii sasa ni hatari, akili kumkichwa [emoji40]
Acha ubishi Mkuu, mwenyewe nilikuwa shingo shupavu kama wewe.Wao ni Idara ya afya? Wanasemaje pia kuhusu Malaria?
AmenMungu tenda, onyesha Ukuu wako
Akili zako kama mwenyeji wa kitovuni chattttleWao ni Idara ya afya? Wanasemaje pia kuhusu Malaria?
Muhimu serikali itahadharishe wananchi kuwa hali si shwari ili watu warejee kwenye zile jitihada za mwaka jana huku tukiomba Mungu. Serikali inapokuwa kimya na kuaminisha watu kuwa kila kitu kiko sawa tatizo ndio linaanzia hapo.Hakuna serikali inachoweza fanya zaidi ya kutuhimiza kunawa,vaa barakoa,Epuka misongamano etc...
Aibu ya nini?Aibu kwa serikali!
Hii second half ni HATARI, ni uchaguzi wa kuvaa barakoa au kuondoka.Unakwenda kinyume na mkuu wako? Keshasema hakuna corona na hakuna kuvaa mask. Humuamini au?
Akili za kukwepa Bodaboda wakati wa kuvuka Barabara. Hazina kazi zaidi ya hapo.Wao ni Idara ya afya? Wanasemaje pia kuhusu Malaria?