Kizibo
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 4,033
- 8,805
Mkuu tuache siasa, watz hatujui tunataka nini.Hakuna serikali inachoweza fanya zaidi ya kutuhimiza kunawa, vaa barakoa, Epuka misongamano etc
Mambo mengine tu jiongezee. Serikali mfano ikaamua sasa watu wapigwe lock down mtasemaje?
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Siku akitangaza lock down nakuhakikishia watapiga kelele mno ooh anataka kuua raia, ooh uchumi utakufa.
Likija swala la siasa huwa nakuwa kimya tu