Sorry this is nonsenseGervas John Nyaisonga ataenda kupimwa Mkojo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry this is nonsenseGervas John Nyaisonga ataenda kupimwa Mkojo.
Unamtishia nani na lockdown, kwani ile awamu ya kwanza kulikuwa na lockdown ama watu walichukua tahadhari zaidi?Umemuelewa bwashee mrangi lakini?
Kwamba ikitangazwa lockdown hapo Ufipa mtaishije?!!!
You're out of mind.Gervas John Nyaisonga ataenda kupimwa Mkojo.
Mtaiweza lockdown nyie !Kwel asikie kilio chetu atuweke LOCKDOWN .TUnaomba utuweke lockdown ili tuone unatujali
Ngoja nikufungue macho kidogo, siku zote ukiona kanisa katoliki linatoa kauli ujue hiyo imepita, kwasababu wao ndiyo wanao control mambo mengi hao ni zaidi ya kanisa. Hakuna kiongozi wa kiserekali anaweza kushindana nao.
Mkuu Quinine,
Pale hamna kituBakwata je au mpaka nao mashekhe kadhaa wavute?
Wewe unasali kwa gwajima, mwamposa au nabii kingu?Mambo mengine ni kumwachia Mungu tu. Hivi mnadhani USA wanakokufa watu 2000+ Hawana mbinu kama sisi?
Mungu yeye anajua kabisa hili gonjwa halina cha kujihami wala kwamba umejipanga. Likija limekuja hakuna cha kwamba una huduma nzuri za afya wala kwamba una mipango mizuri.
Ndiyo maana Magufuli amemwamchia Mungu. Tumaini letu watanzania liwe kwa Mungu.
Kama ni barakoa Marekani wana vaa sana, kama ni vitakasa wanatumia sana, lockdown wamepiga sana. Lakini kamwe gonjwa ndiyo bado lime simama.
Ni muda wakuomba Mungu atuponye tena.naamini ni Mungu muaminifu na anatupenda piaNaungana na tamko hili 100%
Tuungane tena kumwomba Mungu ili akomeshe wimbi hili jipya la maambukizi!
Kwani Hadi leo, Dunia yote inaimba wimbo huu mmoja, Na hakuna kiongozi yeyote ama nchi yoyote duniani iliyekomesha maambukizi nchini mwake
Aisee kuna watu wabishi! Mpaka aseme yule mungu wenu ndio mtaamini! Yeye mwenyewe kajificha chatle huko!Wao ni Idara ya afya? Wanasemaje pia kuhusu Malaria?
Watu wenye akili hawawezi kuacha jamii iangamie watakua na la kujibu mbele ya Mungu.
Ndugu, usifanye kama hujui tupo kwenye mazingira gani! Suala la BBC kutangaza sio issue. Na kama nilivyosema, tuombe ama wawe wamepata baraka za watawala au wasitikiswe! Kupata baraka kunakuja pale ambapo serikali inaweza kuona aibu kula matapishi yake yenyewe na hivyo kuamua kutoa uhuru kwa taasisi kutahadhalisha watu wao! Tanzania hii taasisi za dini zinazoweza kupingana ki ukweli na serikali ni zile zisizokula neema za serikali! Haya makanisa makubwa, hususani RC na BAKWATA, wote wala neema za nchi!! Wakipigwa mkwara wa kodi tu, wote wanaufyata!!Hii kitu hadi bbc wameitangaza unadhani ni rahisi kwa namna hiyo? alafu hawa watu wanajua sana kula na kipofu. ila ukiwazingua wanakuzingua mara mia.
Kila mtu( mwenye akili timamu) anapaswa kuchukua hatua yeye mwenyewe,na kuwakumbusha wengine,kila mmoja anajua kuwa corona IPO!!! Kusema tu haipo haifanyi isiwepo,malaria pia imepungua kwa baadhi ya mikoa hapa nchini,ila bado jitihada zaidi zinahitajika kuutokomeza kabisa,chukua tahadhari,corona ipo na inauaWao ni Idara ya afya? Wanasemaje pia kuhusu Malaria?
Waziri mwenyewe mwendakuzimuNasubiri Waziri wa Afya aje akanushe hii taarifa ya kovidi.
PunguaniNdugu, usifanye kama hujui tupo kwenye mazingira gani! Suala la BBC kutangaza sio issue. Na kama nilivyosema, tuombe ama wawe wamepata baraka za watawala au wasitikiswe! Kupata baraka kunakuja pale ambapo serikali inaweza kuona aibu kula matapishi yake yenyewe na hivyo kuamua kutoa uhuru kwa taasisi kutahadhalisha watu wao! Tanzania hii taasisi za dini zinazoweza kupingana ki ukweli na serikali ni zile zisizokula neema za serikali! Haya makanisa makubwa, hususani RC na BAKWATA, wote wala neema za nchi!! Wakipigwa mkwara wa kodi tu, wote wanaufyata!!
Sawa Jiniasi.Punguani
???These church leaders needs to tread with care...