mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mkumbuke kuvaa barakoa,mnawe piaNandera[emoji26][emoji26][emoji26]
Ah tatizo mule hakuna social distance
Lazima watu wata kombatiana
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkumbuke kuvaa barakoa,mnawe piaNandera[emoji26][emoji26][emoji26]
Wewe ni mpuuziWao ni Idara ya afya? Wanasemaje pia kuhusu Malaria?
Unataka rais akwambieje?Sauti na zipazwe. Rais wetu mpendwa, rais wa wanyonge atakisikia tu kilio chetu.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Wao wametoa tahadhari kwa waumini wao. Wapo pia watakaosikia au kusubiri kauli za idara ya afya; nao ni waumini wa mtu au kikundi fulani. Haujazuiwa au kulazimishwa kufuata sauti yaoWao ni Idara ya afya? Wanasemaje pia kuhusu Malaria?
Utaanza weweKuna dalili ya Giza huko mbeleni! Kuna vitu tunaficha lakini mbeleni kuna kuumbuka.
Meko anayebusu sanamu ya Yesu ana jeuri mbele ya Tec?Wizara ya afya iko wapi? maana sasa taarifa rasmi kuhusu magonjwa zinatolewa na baraza la maaskofu..
ExactlyKuna dalili ya Giza huko mbeleni! Kuna vitu tunaficha lakini mbeleni kuna kuumbuka.
Ukumbuke huyo akifika kanisani upiga magoti kwa unyenyekevu mbele ya padre ndio sembuse Baraza la maaskofu?Moderator,
Kanisa lisipokanusha hii habari ndani ya saa 72 basi nipigeni ban! Naamini watakanusha sio kwa sababu hawajaandika au hawaamini suala la uwepo wa corona bali watakanusha kwa sababu kutoa taarifa kama hii ni kuipigana vita vya kiuchumi dhidi ya taifa letu huku kanisa likiwa upande wa mabeberu.