Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumaini letu😊Milele amina.. Kristo...
Stupid mind. Ngoja siku ukinasa au anase anayekuhusu utaropoka uharo hapa!!!!
tumain letuMilele amina.. Kristo...
Nipo Zanzibar kwa Sasa nawaona mabeberu wanazid kufurika na familia zao kuja kula maisha au wao wameshapata chanjo ya covid19?Madaktari wa thiolojia wameamua kutema cheche..
Safi..Tz sio kisiwa,tusidanganyane kama watoto..Serikali ije na measures upya,wazee wanapukutika tu daily
Zanzibar watalii wana kuja kwa wingi na hawataki kurud makwaoONDOA MASHAKA YAKO NI MAELEKEZO TOKA VATCAN HANA NAMNA.
Halafu mnataka muambiwe CORONA IPO ili iweje au mmeambiwa dawa imepatikana. AU kuna pesa utapata.
SASA KAMA TZ KUNA CORONA MBONA MAKABURI MAPYA YALIYOPO KWA WINGI HATUYAONI .
Kama wameandika upuuzi wewe wapuuze,subiri covid ikishaondoka na wakaribu yako ndipo ujifunze,Wao ni Idara ya afya? Wanasemaje pia kuhusu Malaria?
Kwani wewe huwezi kuchukua tahadhali mwenyewe mpaka ulazimishwe?Kuna dalili ya Giza huko mbeleni! Kuna vitu tunaficha lakini mbeleni kuna kuumbuka.
Unataka linganisha hii na malaria? unawaza kutumia nini?Wao ni Idara ya afya? Wanasemaje pia kuhusu Malaria?
Unapoteza muda tu Mkuu kuandika maana tokea Corona imeanza mpaka sasa hakuna Padre aliyekufa na corona.Kingine kuna Mungu siyo mawazo ya Padre ndiyo yanayoaminiwa maana kama Mungu aliweka tumboni kwa mwanamke kutoka kwa majimaji wa Mwanaume mpaka ukazaliwa atashindwaje kukulinda na Corona Pole kwa kutafuta kick isiyokuwa na mashiko.Kumbuka alichofanya Askofu ni kutekeleza maagizo ya Vatcan ambako huko Corona iliwatafuna hasa .Wakuu
Mimi kama mkatoliki mwenye imani thabiti naahidi kufuata maelekezo ya kanisa na hasa viongozi wangu mapadre na maaskofu waliosema tujikinge kuvaa barakoa, kunawa mikono na sabuni na maji tiririka, kamwe kwenye hili sitowasikiliza wanasiasa au viongozi wa serikali maana sioni kama wanaushauri mzuri juu ya ugonjwa huu
Natoa wito kwa wakatoliki wote tuusome waraka ule kwa umakini na tuhakikishe tunafuata maelekezo ya kanisa takatifu katoliki
Afya ni mali na utailinda mwenyewe na tujikinge huku tukiendelea kuomba.