residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Wewe unashindana na nani humu JF!?Kwani kuna mashindano?
Huwa unakimbilia kuanzisha uzi lakini "updates" unaziweka masaa nane baadaye!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unashindana na nani humu JF!?Kwani kuna mashindano?
Itakuwa imewagonga watu wao kadhaa ndo maana wameibuka na tamko la tahadhari.Wao ni Idara ya afya? Wanasemaje pia kuhusu Malaria?
Mkuu Cannabis ,hizo zote zimefanyiwa utafiti wa kutosha na kuruhusiwa na mamlaka husika!?
Wao hufanya ibada za mazishiWao ni Idara ya afya? Wanasemaje pia kuhusu Malaria?
Kuna mwenzao mmoja wamempoteza juzi kule Kagera kwa kushindwa kupumua.Wamevumilia ukatoliki mwisho wameona bora kama ni kuhama dini ahame.wamepasua mbarika.
Umewazoea kwa lipi! Kanisa Katoliki lina idadi kubwa ya hosipitali ambako hao wanaobanwa pumzi huenda wakatibiwe, wameona idadi imeongezeka ya watu wanataka valvu zao zizibuliwe hewa ipite, hivyo wao wanazo takwimu.Wakotoliki tulisha wazoea hata mala ya kwanza ndio walikuwa wa kwanza kufunga makanisa yao, wanauakika upi kuwa Tanzania Kuna korona wakati shughuli zote zinaendelea kama kawaida?..
Mkuu nimekuelewa sana, binafsi napingana na serikali inavyowaaminisha watu wake kuwa tz huko hakuna korona, wangekubali kuwa ipo na tunaishi nayo kama tunavyoishi na ukimwi kansa nk, juzi tu tz imetoa takwimu ya wagonjwa wa ukimwi na virusi vya ukimwi kwanini takwimu za korona zinafichwa?Mambo mengine ni kumwachia Mungu tu. Hivi mnadhani USA wanakokufa watu 2000+ Hawana mbinu kama sisi?...
Kama ilivyo magonjwa mengine wanatoa takwimu basi na hili litolewe takwimuAcheni kupeana taharuki kiasi hicho. Lipi jambo Geni hapo? ....
Tanzania hakuna korona, raisi ameshasema tumeishinda hayo mengine ni dhana zenu tu, hata ikija tz haitaweka lockdown bali itafanya kama ilivyofanya mwanzoMkuu Quinine,
Umeleta mbio mbio huu waraka ukitarajia kilichoandikwa kitaiudhi serikali, pole sana...
Waumini wa kikristo hasa katoliki wanajisahau sana na kuona viongozi wao wapo juu kuliko viongozi wa serikali ila awamu ya huyu bwana hadi maaskofu wamesanda, waraka umetolewa kijanja mno wameshindwa kukiri kilichopo tzNi kweli, lakini kauli uliotumia very controversial kwa kiongozi wa juu wa Kanisa..
Na ofcourse mbona barua au waraka umetoa tu tahadhari na si taarifa kamili kama ugonjwa upo.! Asilimia mia naamini hawawezi 'kuikanusha' hata kama wakiingiliwa na mamlaka.
Weee, saivi katoliki sio kama zamani hadi maaskofu na mapadri ni mwendo wa kusifu na kuabudu tu, we angalia hadi huo waraka umeshindwa kuandika kilichopo sasa bali wamezunguka zunguka tu ile ingekuwa enzi za zamani wangefunguka liveThubutu,atawajibu wengine tu,lakini si (Nasadiki kwa Kanisa moja) Anawajua vizuri sana wale jamaa!
Ha ha hahaaaa hatareKesho akiwa anazindua shamba kule kijijin kwake atawajibu.
Zinauzwa pharmacy na mpaka sasa serikali ipo kimya, labda wameziruhusu. Tunaweza kugeuzwa fursa na wajanja wa mjini, mtu akiweka pilipilo kali, anachanganya na ndimu, tangawizi anaipachika jina kiboko ya CoViDo basi anaanza kupiga hela.Mkuu Cannabis ,hizo zote zimefanyiwa utafiti wa kutosha na kuruhusiwa na mamlaka husika!?
Je,GoT haioni umuhimu wa kuwaalika wakuu wa J & J, Pfizer na wengineo Chato ili waweze kukaribishwa kwenye "partnership" ya utafiti zaidi wa "gunduzi" hizi za kizalendo kama tulivyofanya kwa ile ya kutoka kwa DJ AR wa Tana!!?
Kuna kuhusika kokote kwa taasisi zetu za utafiti, usimamizi na tiba kama NIMRI, IHI, MUHAS, AKU, TMDA, TBS na Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala!!??
Milele amina.. Kristo...Tumsifu Yesu kristo.