Waraka: Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) latoa tahadhari kuhusu ugonjwa wa Corona nchini

Waraka: Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) latoa tahadhari kuhusu ugonjwa wa Corona nchini

Wao ni Idara ya afya? Wanasemaje pia kuhusu Malaria?
Listen my friend, tahadhari humchukulii mtu yyt hata kama unampenda sana unajichukulia binafsi kwa afya na uzima wako.

Kama unaona unayoambiwa siyo ya maana wafuate hao wanaokudanganywa wao wakiwa wamekimbilia kwao kwa hofu ya ambacho wanakuamisha wewe na jamii nyingine kuwa hakipo.

Last week tumezika mzee Gongo la Mboto, siku iliyofuata tumesafirisha mwingine kwenda Tarime kwa hicho kinaitwa nimonia.

Corona ipo na inaendelea kutesa na kuua ndugu na jamaa zetu, chukua kila aina ya tahadhari.
 
Ni ushauri mzuri.Kumtegemea Mungu lakini pia na sisi tukiwajibika.ndivyo tulivyoshinda wimbi la kwanza.Sasa tupambane na wimbi la pili.Aliyetushindia la kwanza atatushindia na la pili na la tatu.
 
Hii barua haina hadhi ya kutoka catholic church imeandikwa kihuni kama propaganda.nasema hivyo KWA sababu huo muhuri mmmh alafu barua inatoka mbeya ??? Kama kuna mtu kaolewa tu chambo Ili kupima upepo wa serikali ni upi.

Mtakuja kuniambia.

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
 
You're out of mind.

Pathetic.

Sawa Mkuu lakini Tambua Serikali yako haitaki mtu yeyote tofauti na PM,Prezzo,Makamu Prezzo au Waziri kutoa taarifa za New_More_Near.....Mtu yeyote akifanya hivyo atakuwa amevunja sheria na tukifuata precedence ya lissu kutuhumiwa kufanya kosa inawezekana wenye mamlaka wakachukua hatua ya kupima mkojo.
 
Sawa Mkuu lakini Tambua Serikali yako haitaki mtu yeyote tofauti na PM,Prezzo,Makamu Prezzo au Waziri kutoa taarifa za New_More_Near.....Mtu yeyote akifanya hivyo atakuwa amevunja sheria na tukifuata precedence ya lissu kutuhumiwa kufanya kosa inawezekana wenye mamlaka wakachukua hatua ya kupima mkojo.
Ni kweli, lakini kauli uliotumia very controversial kwa kiongozi wa juu wa Kanisa..

Na ofcourse mbona barua au waraka umetoa tu tahadhari na si taarifa kamili kama ugonjwa upo.! Asilimia mia naamini hawawezi 'kuikanusha' hata kama wakiingiliwa na mamlaka.
 
Ni kweli, lakini kauli uliotumia very controversial kwa kiongozi wa juu wa Kanisa..

Na ofcourse mbona barua au waraka umetoa tu tahadhari na si taarifa kamili kama ugonjwa upo.! Asilimia mia naamini hawawezi 'kuikanusha' hata kama wakiingiliwa na mamlaka.

Mkuu kwenye sheria hakuna mtu ambaye yupo juu ya sheria hata awe na cheo gani , Taarifa au tahadhari inatakiwa itolewe na hao watu niliowataja juu kinyume na hapo ni kosa kisheria na mtu akiscreenshot huo waraka akapeleka TCRA inawezekana akachukuliwa hatua kama TCRA wasipofanya Double standard.
 
Corona now is rampant at its full scale! Take care please. Korona ni nyingi sana tena sana, chukua tahadhali.
 
Now napata taarifa za kifo cha jiran kwa changamoto hizo hizo za kupumua
 
Back
Top Bottom