mohamedjohn
JF-Expert Member
- Sep 24, 2020
- 467
- 277
Safi nikweli kabisaNgoja nikufungue macho kidogo, siku zote ukiona kanisa katoliki linatoa kauli ujue hiyo imepita, kwasababu wao ndiyo wanao control mambo mengi hao ni zaidi ya kanisa. Hakuna kiongozi wa kiserekali anaweza kushindana nao.