Nashukuru mleta hoja umesema kumbe tangu korona iingie Tz sasa ni mwaka unaisha. Pia umesema kuwa wenzetu walichukua tahadhari mapema (mwaka sasa) lakini sisi hatukuchukua tahadhari zao za kujifungia (Lockdown).
Swali ni Je, kama hatukujifungia sasa huu ni mwaka, kuna mtu amebaki tena Tz kweli? Waliojifungia mbona wamekufa ka panzi huku kwetu hao wafu wanaliwa au?? Mbona hatujaona haswa mimi sijawahi ona jirani yangu hata mmoja tu. Ila nimezika wengi wa ajali za baharini na ziwani, ajali za kuungua moto Moro, ajali za kufunikwa udongo machimboni etc. Hao wa korona mnawala?
Acheni kututisha, hameni Tz muende huko wanakovaa barakoa tuone kama hamtakufa. B/up sana mh Rais wetu kwa kututoa hofu. Kihoro cha hofu kingetumaliza. Mnaotaka Lockdown mna zenyu agenda na hapa kwetu hampati nafasi ng'o!!!!!