WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

Sisi viongozi wetu wa kiislamu ( kasoro sheikh Ponda) sijawai kusikia hata siku moja kutoa waraka au tamko la kuilamu serikali wala kutoa ushauri,
Sa kama tuna kiongozi aina ya Musa wa DSM tutegemee nini?
 
ndiyo maana huwezi ona wakatoliki wakijipendekeza pendekeza kama yule aliyetukanwa na Mange ama yule aliyekua mfuasi wa Lowasa.
Huko kote umenena vyema kabisa, ndiyo maana nimeondoa. Lakini katika hili la mwisho, naomba kuuliza kama unamfahamu Pengo.
 
Tukiondoa sheria ya misamaha ya kodi,tutaelewana vizuri sana,hapo sielewi kitu
 
Nilikuwa nimekata tamaa hata kuhudhuria ibada baada ya ku note baraza la maaskofu wapo kimya, nikajua wameamua ku mute kwakuwa Mkatoliki mwenzao yupo ikulu.

Kwa huu waraka kwakweli imenibariki, jumapili ijayo ntakuwa wa kwanza kuingia ibadani na fungu langu la kumi juu.

Asante baraza la maaskofu asante kanisa katoliki.

Ila hapo namchungulia mnafiki moja atakavyojikana mwenyewe hahaha.... Pengo Mungu anakuona ujue
...yule kama yule aliekana desa lake!
 
Hapa kweli hata Pengo alijiorodhesha kwa urahisi au alilazimishwa na wenzake, mmoja katuhumiwa kuwa mhamia haramu mzee wa watu kimyaaaa.
 
Unapatikana katika Duka la vitabu la Paulines Books and Media Centre, au maarufu kama CATHEDRAL BOOKSHOP. Duka liko jirani na Kanisa Kuu la Mt. Yosefu
Sikio la kufa halisikii dawa
 
Sasa huu ni wa aina yake, maana haijawahi kutokea Baraza lenyewe likatoa tamko kali hivi. Huko nyuma matamko ya Kanisa yametolewa na kamati za Baraza, na siyo Baraza lenyewe. Na baadhi ya Maaskofu waliweza kutamka kutokubaliana. Hili ni tofauti. Hii ni rasmi kabisa ya Baraza zima na kama unavyoona kule mwisho Maaskofu wote wamejiorodhesha. siyo mchezo.
.....kwa hiyo !?
 
Back
Top Bottom