comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,950
Huu waraka ufike nyumba nyeupe, kama ni mvivu wa kusoma amuombe Msigwa amsomee, hasa hizo kurasa ulizoziainisha.
MwanyaMimi: Tamko hilo sio msimamo wa kanisa katoliki.
Mmenijua?
Sa kama tuna kiongozi aina ya Musa wa DSM tutegemee nini?Sisi viongozi wetu wa kiislamu ( kasoro sheikh Ponda) sijawai kusikia hata siku moja kutoa waraka au tamko la kuilamu serikali wala kutoa ushauri,
Huko kote umenena vyema kabisa, ndiyo maana nimeondoa. Lakini katika hili la mwisho, naomba kuuliza kama unamfahamu Pengo.ndiyo maana huwezi ona wakatoliki wakijipendekeza pendekeza kama yule aliyetukanwa na Mange ama yule aliyekua mfuasi wa Lowasa.
...yule kama yule aliekana desa lake!Nilikuwa nimekata tamaa hata kuhudhuria ibada baada ya ku note baraza la maaskofu wapo kimya, nikajua wameamua ku mute kwakuwa Mkatoliki mwenzao yupo ikulu.
Kwa huu waraka kwakweli imenibariki, jumapili ijayo ntakuwa wa kwanza kuingia ibadani na fungu langu la kumi juu.
Asante baraza la maaskofu asante kanisa katoliki.
Ila hapo namchungulia mnafiki moja atakavyojikana mwenyewe hahaha.... Pengo Mungu anakuona ujue
Wameona..
Ngoja tusubiri tuone NGOSHA atareply vip?
Hata Mimi najuaga hivyoMara zote ccm inataka kuwadanganya watanzania kwamba Pengo ndio kiongozi wa wakatoliki Tanzania
Hapo BAKWATA isahau ndg yngNini ni msimamo wa BAKWATA katka hili?
Je Askofu Pengo anaunga mkono tamko la maaskofu wenzake?
Sijui ataamuru kuchunguza uraia wa maaskofu wote?
Sisi waumini. Mimi, Juma PondaMali na et al.wamemuandikia nani?
Sikio la kufa halisikii dawaUnapatikana katika Duka la vitabu la Paulines Books and Media Centre, au maarufu kama CATHEDRAL BOOKSHOP. Duka liko jirani na Kanisa Kuu la Mt. Yosefu
.....kwa hiyo !?Sasa huu ni wa aina yake, maana haijawahi kutokea Baraza lenyewe likatoa tamko kali hivi. Huko nyuma matamko ya Kanisa yametolewa na kamati za Baraza, na siyo Baraza lenyewe. Na baadhi ya Maaskofu waliweza kutamka kutokubaliana. Hili ni tofauti. Hii ni rasmi kabisa ya Baraza zima na kama unavyoona kule mwisho Maaskofu wote wamejiorodhesha. siyo mchezo.