JustDoItNow
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 2,967
- 1,511
We endelea na majungu yako sisi tunapiga kaziUkweli unauma waliyoyasema ndo kilio cha walio wengi wanaopinga ni wanufaika tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We endelea na majungu yako sisi tunapiga kaziUkweli unauma waliyoyasema ndo kilio cha walio wengi wanaopinga ni wanufaika tu
Yes, na ndivyo alivyofanya siku ya jumatano ya majivuataenda kama kawaida, atapata huduma na heshima zote like nothing happened.
Naona vijibwa vidogo vidogo vinapiga kelele sasaHakuna kumwacha huyu mzee, cc cyo maboya, acjicfu kwamba katushinda, uongozi ni utumwa, au halijui Hilo nn
Sina povu, huyu jamaa aliomba hii kazi kwa kubembeleza hadi kupiga push-up, hatumwachii ng'o, hadi kieleweke. Mimi sijatumbuliwa, lakini haizuii kuona kinachoendelea. kutumbua siyo ishu. ishu ni je nchi yetu inakwenda mbele? gharama nyingi zinatumika kwa mambo ya kijinga kama "uchaguzi wa marudio" ambao hauna sababu kabisa. labda afunge mitandao, lakini tutaendelea kula naye sahani mojaToa povu liishe kabisa. I can guess wewe ni mmoja wa waliotumbuliwa. MUACHE RAIS APIGE KAZI. Period!
NI kweli kabisa, kuna ujumbe mzito sana katika waraka huu wa Kwaresima, mbali na hayo ya kisiasa. Lakini kwa sababu ni mara ya kwanza wameongelea haya ya siasa, kwa kiwango hiki, katika ujumbe wa Kwaresima, ndio maana mjadala wake umechukua muda mrefu. lakini pia hata ukiangalia ile nukuu ya biblia waliyotumia "Kwani mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?" ni aina ya nukuu ya kimapinduzi, ambapo Maaskofu wanaona tatizo letu watanzania la kutojali mambo yanavyokwenda katika nchi yetu. Katika nchi nyingine tendo la Lissu kupigwa risasi vile ingeleta kashi kashi kubwa sana katika nchi. watu kuzuiliwa kusali kumuombea, kuchangia damu. lakini hapa kwetu watu wapo wapo tu. kwa hiyo kwa vyovyote ujumbe wa Kwaresima mwaka huu ni WAKE UP CALL na hasa imejikita sana katika mambo ya siasa. kwa hiyo mjadala kama huu ni sawa kabisa"Waraka" ambao kiukweli ni "UJUMBE WA KWARESIMA" una sura nne, mbona mnadandia mada? Kwanini msisome na sura nyingine?
Hawajamwandikia Rais, Huu ni waraka kwa waumini wakatoliki. lakini ndani yake kuna ujumbe mkali sana unaoelekezwa kwa Serikali, na unawataka waumini kuyajadili haya kama vile yanawahusu, wasitoe visingizio kama vya Kaini aliyemwua nduguye.. Hiyo Moja.Ni kama unafiki;
Watu pekee wanaoweza kusikilizwa kirahisi na rais ni viongozi Wa dini;
Maaskofu kila siku wapo na rais huko makanisani wanashindwaje kumkanya? Mtu ambaye kila jumapili mpo naye kanisani sioni haja ya kupoteza sadaka za waumini kukaa kikao ili kuandaa waraka Kwa ajili ya kufikisha ujumbe.
Pamoja na nia ya kuwasemea wananchi, maaskofu wanao uwezo Mkubwa Wa kuomba appointment ya kumuona rais na kumwambia!.
Nashauri rais asipoteze mda kuwajibu maana wameonyesha unafiki;
Haiwezekani mtu unakaa naye meza moja ukamwandikia barua kupitia njia ya Posta!
VIONGOZI WA DINI NDIO ZAO LA KUPATA VIONGOZI HAWA TULIONAO
Hivi unajua maana ya NEWS? Maneno ya Kichungaji huwa tunayasoma mara kwa mara, lakini pale Maaskofu wanaamua kutoa ujumbe mkali wa kisiasa, tena kwenye charged atmosphere kama hii ya kwetu kwa sasa hivi, ni lazima moto uwake tu. kuna hali tete nchini hivi sasa, na Maaskofu wanaongelea "Kusoma Alama za nyakati" Ni Maaskofu wenyewe walioamua kuweka ujumbe mkali sana wa kisiasa katika Waraka wao wa Kwaresima. ni kauli ya kwanza kutolewa na Baraza la Maaskofu tangu limeanzishwa, kauli kali kwa kiwango hiki, tena umesainiwa na Maaskofu wote. Ni statement ya Kanisa Katoliki Tanzania. Ni Historia. sasa ni bahati mbaya kwamba hayo yamewekwa katika Waraka wa Kwaresima, ambao bila shaka una mambo mazito ya kiroho kama unavyosema. lakini bado hata katika Nukuu yao ya Biblia: "Kwani mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?" wamechagua nukuu ya kimapinduzi, inayowaamsha walengwa waamke na kuchukua hatua. tunaweza kujadili zaidi hili katika muktadha wa kidini, lakini bado overtones kubwa zaidi ni za kisiasa, tena zikilenga taifa zima la Tanzania, siyo waamini tu.Umesoma sura zote nne za "UJUMBE WA KWARESIMA"? Usiandike ili kupata likes za JF bali kuelimisha. soma Sura ya kwanza "BASI ENENDENI", Sura ya pili "SASA NI ZAMU YETU" Sura ya tatu "MIMI NI MLINZI WA NDUGU YANGU?" Sura ya nne "NIMRUDISHIE BWANA NINI?" hapo utapata ujumbe kamili waliotaka jamii iupate na kuufanyia kazi.
Nakubaliana na wewe, yatakuwa yako juu ya uwezo wangu. Maana kubomolea nyumba wajane, wenye watu wanaowategemea, unawabomolea nyumba pamoja na vifremu vyao vinavyowaendeshea maisha, halafu unaona hayo ni maendeleo, kwa kweli hilo linapita uwezo wangu.Mtoa mada ina wezekana hujitambui, na yanayofanyika katika serikali na chama tawala yako juu ya uwezo wako kifikra,
Mavi yako huyo raisi anakupa nn wewe?rais wangu piga kazi. hachana na mbwembwe hizo. Serikali haiendeshwi kwa madongo madongo kama hayo. Kwani wao wanaujua mzigo raais alionao? watu wafanyekazi. Siasa mpaka 2020
Kama najiona Jumapili navoingia kanisani misa ya kwanza kabisa kwa bashasha na moyo mkunjufu
Hizi ni ngonjera. Hao hao walio andika huu waraka ndio wanao mshirikisha sakramenti kila jumapili. Kama mtu ni mkosefu mbona mnamshirikisha meza ya Bwana?? Msituchanganye jamani
ataenda kama kawaida, atapata huduma na heshima zote like nothing happened.
fanyakazi. hacha udaku we boyaMavi yako huyo raisi anakupa nn wewe?
Nchi inakwenda mbele. discipline inakuwepo kati ya walionacho na wasiokuwanacho. Heshima inakuwepo. Hizo gharama unazolilia ni sheria ndo inafuatwa. mbunge au diwani akijiuzuru kuwepo na uchaguzi mwingine. shida nini? hii mihemuko ni shida sana. Sasa na yale mabilioni ya EPA na ESCROW huoni kuwa ni gharama tena pesa za walipa kodi? Muache atunyooshe bana.Sina povu, huyu jamaa aliomba hii kazi kwa kubembeleza hadi kupiga push-up, hatumwachii ng'o, hadi kieleweke. Mimi sijatumbuliwa, lakini haizuii kuona kinachoendelea. kutumbua siyo ishu. ishu ni je nchi yetu inakwenda mbele? gharama nyingi zinatumika kwa mambo ya kijinga kama "uchaguzi wa marudio" ambao hauna sababu kabisa. labda afunge mitandao, lakini tutaendelea kula naye sahani moja
Unaweza eleza kazi mnazozifanya tangu mumeingia madarakani 2015..???We endelea na majungu yako sisi tunapiga kazi
Hii dharau unayoifanya hapa ina mwisho kijana...Naona vijibwa vidogo vidogo vinapiga kelele sasa
Hivi unaelewa unachoandika wewe..???Nchi inakwenda mbele. discipline inakuwepo kati ya walionacho na wasiokuwanacho. Heshima inakuwepo. Hizo gharama unazolilia ni sheria ndo inafuatwa. mbunge au diwani akijiuzuru kuwepo na uchaguzi mwingine. shida nini? hii mihemuko ni shida sana. Sasa na yale mabilioni ya EPA na ESCROW huoni kuwa ni gharama tena pesa za walipa kodi? Muache atunyooshe bana.
Umeona Mkuu
.....kuwadhibiti pia ni kazi !Unaweza eleza kazi mnazozifanya tangu mumeingia madarakani 2015..???