TOWNSEND
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,598
- 460
Chadema imeshakufa, thats all. Kwenye uchaguzi kunakuwa na kambi, kwann chadema ni dhambi kuwa na kambi na ni dhambi kutofautiana kimawazo na mtizamo?
ni dhambi mbaya sana....kama mmekubaliana mnaenda vitani mwenzako anarusha risasi hewani mbele ya adui..dawa ni kumpiga risasi tu ubaki mwenyewe....
hongera cdm