bwegebwege
JF-Expert Member
- Jul 30, 2010
- 1,072
- 186
Huu haiwezi kuwa waraka wa Dr. Kitila Mkumbo! Never
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vikwazo dhidi ya tunayemtaka:
sisi wenyewe tunaoandaa mkakati huu hatuna uhakika kama tunayemtaka yuko tayari na yuko serious na business hii, na kwa hiyo huenda tusifanye kwa nguvu zetu zote ikiwa hatutapata nafasi mapema ya kukutana na mhusika na akatuhakikishia kwamba yuko serious.
utayari wa mhusika mkuu kutekeleza yale tunayokubaliana. Inapotokea baada ya kukubaliana sisi na yeye akapata ushauri tofauti na ukauona uko more genuine, basi tuwasiliane kwamba nimeshawishika kufanya hivi badala ya vile tulivyokubaliana kwa sababu hizi ama zile. Hii haitatukatisha tamaa tofauti na kama tutakuwa tunapanga hivi halafu yeye anafanya vile bila maelezo yoyote
kitendo cha mkuu aliyepo kung'ang'ania kuendelea nayo ni kikwazo kwa kuwa baada ya kuwa madarakani kwa miaka yote hiyo lazima amejipatia watu wanaomhusudu ama kumpenda ama kumkubali na kuwepo wengine wanaoogopa tu kwamba mkuu aliyepo akitoka taasisi itakufa hata kama hawana sababu yoyote.
Alishawahi kumlaghai dada akoDr. Slaa mnafiki sana. Yeye ndio mchochezi wa vurugu zote hizi lakini leo anajifanya kamuachia Tundu Lissu ndio atoe taarifa kwa waandishi.
Dr. Slaa ni mwanasiasa mlaghai...
Huu haiwezi kuwa waraka wa Dr. Kitila Mkumbo! Never
Mpe Hi pacha wako Yericko Nyereremkuu una hasira sana taratibu usije ukakosa raha na weekend hii. Unganisha dots na ile ya wasira kuhusu chadema
Nilikua namheshimu sana Kitila kumbe ovyo kabisa
Hakuna kamati maalum inayowathibitisha maaintelijensia hao bali wakuu wenyewe wanawachukua wanaowataka. Ni katika mfumo huu wa kipuuzi mida eight amekuwa akitumika vibaya kwa kumshambulia mtendaji mkuu msaidizi hadharani kwa kutumia mitandao ya kijamii na wakuu wanafurahia na kumlipa pesa.
Dr. Slaa mnafiki sana. Yeye ndio mchochezi wa vurugu zote hizi lakini leo anajifanya kamuachia Tundu Lissu ndio atoe taarifa kwa waandishi.
Dr. Slaa ni mwanasiasa mlaghai...
Dr. Slaa mnafiki sana. Yeye ndio mchochezi wa vurugu zote hizi lakini leo anajifanya kamuachia Tundu Lissu ndio atoe taarifa kwa waandishi.
Dr. Slaa ni mwanasiasa mlaghai...
Hasira za nini? si mlidai Zito hafukuziki - sasa CDM inawapa jembe lenu si mshangilie lije kwenu mlipe uwenyekiti? au anafaa uenyekiti wa CHADEMA tu, hahahahaaaaa, leo imekuwa siku ya raha kweli!Dr. Slaa mnafiki sana. Yeye ndio mchochezi wa vurugu zote hizi lakini leo anajifanya kamuachia Tundu Lissu ndio atoe taarifa kwa waandishi.
Dr. Slaa ni mwanasiasa mlaghai...
labda anaweza akawa yule aliyetangaza kujuzulu unaibu mwenyekiti mda mchache uliopitaWewe endelea kulalama lakini mizizi ya CCM ndani ya Chadema imekatwa ingawaje bado mmoja lakini huyo naye atajulikana muda si mrefu. Na kazi yote hii ilikuwa inafanyika kwa kutumia bajeti ya pesa za walipa kodi zilizokuwa zinatumwa ujerumani na ikulu na baadae kumrudia Zitto. No wonder Wassira alikuwa anatamba kwamba CDM itakufa kabla ya 2015. Wakajipange upya.
Tiba
Umeonaaeh yaani Tundu Lissu anatumika sana.
Wanajamii
Naomba niseme Kwamba kama kinachoendelea ndani ya CDM ni hiki kilichofikishwa hapa. Basi chama hiki hakuna mwendo wala mwisho mzuri.
Matatizo ya mbowe na slaa yaliyoainishwa kwenye waraka huu ni ya kweli na ya msingi sana. Hata mm nakubaliana nayo sana na ninayajua yote kabla ya kusoma hapa na kama mdau wa karibu wa chama yamekua yakinitatiza sana na kwa muda mrefu sana.
Uamuzi wa hawa member wanne mm nauona kama ni uamuzi au mpango sahihi kabisa na usio na madhara yoyote Hasi kwenye chama. Tatizo ni Kwamba una madhara hasi kwa wakuu wa chama waliotajwa. Kwa hiyo vita hii na uamuzi huu wa kuwasimamisha Hawa member wane ni vita ya kuchumia tumbo kwa Hawa mabeana Wawili wanaiitwa mkuu na Mtendaji mkuu. Kwa mantiki hiyo basi CDM Sasa iache kujinadi Kwamba inapinga ufisadi wakati ukweli si huo. Uroho wa madaraka wakati uwezo wa uwajibikaji ni Mdogo ni tatizo kubwa sana kwa chama hiki kwa Sasa. Na ndoto ya kuiona ikulu ya magogoni Sasa ni ndoto ya alinacha kwa chadema.
Hivi ni nani asiyejua Kwamba operesheni zote za chama zinakufa kibudu, na tatizo ni mbowe. At the end malengo hayafikiwi hata kidogo, kama kuna mtu atlishiriki katika uzinduzi wa kanda na M4C anafahmu filaments operesheni hiyo ilivyokuwa nzuri lakini imekufa kwa sababu ya mbowe.
Lakini pia mm binafsi sijaona Kama kuna matusi yoyote kwa viongozi hao wakuu wa chama kwenye waraka huu. Hizo ni propaganda za kipuuzi sana. Na dhahiri shahiri Kwamba mkakati huu ulishanaswa mapema mno na ndio maana mwigamba alifanyiwa umafia ule though mkakati huu Unaonekana kama umeandaliwa baada ya tukio lile la mwigamba.
Nimegundua pia kutokana na aina ya ushiriki wa tundu lisu kwenye hili Kwamba na yy pia amesimamia upande wa mbowe na slaa kwa hilo namuona kama si mwanamageuzi wa kweli ndani chama na kwa Tanzania nzima. Nataka nitumie fursa hii kumkumbusha Kwamba wakati Chacha wangwe yanaanza kumkuta kama haya zitto nae akikuwa akifurahia upande wa mbowe, Sasa yamemkuta. Kwa mantiki hiyo lisu akae akijua Kwamba siku na yy atakapotaka kufanya au kusupport mabadiliko yoyote positive ndani ya chama dhidi ya hawa jamaa kaburi la kisiasa ndani ya chama linamsubiria.
Mwisho kabisa niwape pole Hawa member watatu wanaotarajiwa kutokuwa CDM member ndani ya wiki Kwamba niko nao pamoja kimsimamo kwa lile walilotaka kulifanya. Ikiwekekana watumie Namna mbadala Kama itakuwepo kueffect these positive changes.
Thanks
Haihitaji akili ya ziada kutambua kuwa haya ni mapishi yatokanayo na ile michezo ya kibabababa na kimamamama. Ni mepesi mno kuyaamini. Kama kamati kuu imetoa maamuzi kwa kuongozwa na huu waraka basi hakuna kamati kuu ila kuna kikundi cha watu wasiojitambua. Siamini kama Tundu Lisu umejiridhisha na huu waraka labda uniambia mlikuwa mnatafuta sababu of which huu waraka hautoshi kuwa sababu ya kufanya maamuzi yaliyofanyika