Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waache vinyozi wajinyoe;wapi mwalimu wangu Prof Baregu jamani??!!!Hii inanikumbusha NCCR Mageuzi kwenye mkutano wao maarufu wa Raskazoni Tanga miaka ileeeeee mwenyekiti wao akiwa Augustine Lyatonga Mrema. Walitupiana ngumi na kurushiana viti na baada ya hapo haijawahi kuwa chama chenye nguvu na maarufu tena mpaka leo. Tusubiri tuone CHADEMA kitafika wapi na huu utaratibu wao mpya wa kutafunana wao kwa wao naona hata zile kampeni za M4C zimefifia siku hizi kinatamba chama nambari wani tu.
....Mkuu mi nilishasema watu wanamuona Lema kichaa lakini yule jamaa ana akili kupita PhD za akina Kitila. watu walitaka amuombe Mwigamba "...tafadhali kamanda tunaomba utuletee laptop yako tuikague kwenye kikao kijacho cha kamati kuu"dah inasikitisha sana, nafikiri ile laptop,ya mwigamba ndo imeleta yote haya, kweli Mungu hamtupi mja wake
Dr. Slaa mnafiki sana. Yeye ndio mchochezi wa vurugu zote hizi lakini leo anajifanya kamuachia Tundu Lissu ndio atoe taarifa kwa waandishi.
Dr. Slaa ni mwanasiasa mlaghai...
Dr. Slaa mnafiki sana. Yeye ndio mchochezi wa vurugu zote hizi lakini leo anajifanya kamuachia Tundu Lissu ndio atoe taarifa kwa waandishi.
Dr. Slaa ni mwanasiasa mlaghai...
Dr. Slaa mnafiki sana. Yeye ndio mchochezi wa vurugu zote hizi lakini leo anajifanya kamuachia Tundu Lissu ndio atoe taarifa kwa waandishi.
Dr. Slaa ni mwanasiasa mlaghai...
Mbona mnao lalamika ni nyinyi magamba tu minafikiri mlipaswa kufurahia cdm kumegua au kirusi chenu kimekuwa scaned na kaspesky antivirus mtasema sana gamba wewe.Dr. Slaa mnafiki sana. Yeye ndio mchochezi wa vurugu zote hizi lakini leo anajifanya kamuachia Tundu Lissu ndio atoe taarifa kwa waandishi.
Dr. Slaa ni mwanasiasa mlaghai...
Kusoma hii kitu wakati black lebel imejaa kichwani ni impossible. .. nitarudi kesho...