antonio palemo
Member
- May 19, 2013
- 31
- 4
zitto hapa akae pembeni hata kadi arudishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa mujibu wa waraka huu kumbe zitto mwenyewe siyo key player katika kuuandaa mkakati huu, bali kuna watu wanatamani awe camp yao, sasa iweje zitto aadhibiwe wakati siyo driving force katika huu mkakati?. Uonevu tu.
May our good Lord bless GODBLESS J. Lema
Nilikua namheshimu sana Kitila kumbe ovyo kabisa
Mm - movie magic 1, 2 and 3
Sijaona kosa la kumvua uongozi mtu ni ushauri murua kabisa huu ni wakati wa kuongozwa na wasomi siyo vilaza safi.
Mtanzania,Jamani labda huu waraka sio wenyewe.
Kama ni wenyewe kuna nini cha ajabu hapa kwenye siasa za vyama na demokrasia? Bila mikakati huwezi kupata hata ubalozi.
ama kweli za mwizi arobaini!!!!!
Huu waraka umepikwa tuu na kikundi cha chadema baunsa.
Huu waraka umepikwa tuu na kikundi cha chadema baunsa.