OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mbowe anaogopa uchaguzi.
sawa muache aogope,ili nyie CCM mbaki kuwa smart
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe anaogopa uchaguzi.
Lumumba buku7 kweli hamjielewi... sisi tunaongelea WARAKA wewe unawaza uwakala , sijui wa M-pesa au nini sijui. Mnastahili pole kwa kweli.
Hujaona kwa kuwa Macho yako hayaoni. Kitila Mkumbo alikiri kuwa alifanya kosa na aliomba kujiuzulu lakini hakukubaliwa na uongozi.
Wewe unapodai kuwa hujaona,kwani ungeona ungefanya nini?
Kwanini mnangangana CDM kifanye uchaguzi wa Mwenyekiti?
Niambie ni lini CCM iliwahi kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti wa chama Taifa zaidi ya kurithishana??
Mngeanza nyie kuonyesha Demokrasia halafu ndio mkimbilie Cdm. Kuna vyama tangu vianzishwe havijawahi kufanya uchaguzi wala kubadilisha viongozi km TLP,CUF nk. Je hamvioni mnaiona tu CDM!?
CHADEMA hakiwezi kuchaguliwa viongozi na ninyi CCM. mlizoea kuuwa vyama vya upinzani kwa kuwanunua viongozi wake wakuu ila kwa CDM mmeshindwa kwa kuwa Mbowe na Dr Slaa hawana njaa ndio maana mnadhani njia ya kufanikisha malengo yenu ni kuwaondoa. Poleni sana.
Sijaona mahala katika waraka wa Mkumbo panapoonesha anataka kuigawa chadema. Hivi maana ya demokrasia ni kuhodhi madaraka maisha?
Sijaona mahala katika waraka wa Mkumbo panapoonesha anataka kuigawa chadema. Hivi maana ya demokrasia ni kuhodhi madaraka maisha?
Mkuu umesahau na UDP ya Cheyo pamoja na DP ya Mtikila tokea nimezaliwa wote hao walikuwa ni wenyeviti wa vyama vyao lakini CDM tokea imeanza nimesikia mzee Mtei, Bob Makani na sasa Mbowe sasa ni wapi penye demokrasia?
John Heche naona upambe wako kwa Mbowe na Dr.Slaa umefanikiwa kumfanyia fitna Mwita Waitara, lakini kumbuka kuna uchaguz mkuu.
habari za vijana wa mbowe sio matamko ya chadema tunaomba mlielewe hilo ,pamoja na upotoshaji huo!!kwenye ule waraka kila mtu amesoma wapi uhaini umeanishwa?kugombea nafasi ya uenyekiti ndani ya chama ni uhaini?
YAMEIBULIWA MASUALA YA FEDHA MULE NDANI YA WARAKA MBONA HATU DISCUSS AU KWA SABABU TUHUMA ZINAMLENGA BOSS WAKO??
jitambue kijana acha siasa za kufuata mkumbo!!
Duh movie hii kali, chadema ilipona mwaka huu haswa baada ya siku kumi na nne nahama dsm
Mkuu, sidhani kama matakwa ya hawa jamaa yako nje ya katiba ya chama. Kama katiba ya chama inasema mwenyekiti atachaguliwa kila baada ya miaka 5 haimaanishi kuwa wafate kama vyama vingine vinavyofanya. Katiba ndio muongozo na lazima ifatwe na kama waliiandika wenyewe kwa kukubaliana iweje mtu mmoja aje kutumia mabavu na kufanya kama chama ni chake?
Embu tafakari halafu urudi kimya kimya bila kelele. Kinyume na hapo nadhani utakuwa ni shabiki wa chama na sio hoja zilizotolewa.
Sijaona mahala katika waraka wa Mkumbo panapoonesha anataka kuigawa chadema. Hivi maana ya demokrasia ni kuhodhi madaraka maisha?
Lumumba buku7 kweli hamjielewi... sisi tunaongelea WARAKA wewe unawaza uwakala , sijui wa M-pesa au nini sijui. Mnastahili pole kwa kweli.
hujaona kwa kuwa macho yako hayaoni. Kitila mkumbo alikiri kuwa alifanya kosa na aliomba kujiuzulu lakini hakukubaliwa na uongozi.
Wewe unapodai kuwa hujaona,kwani ungeona ungefanya nini?
Kwanini mnangangana cdm kifanye uchaguzi wa mwenyekiti?
Niambie ni lini ccm iliwahi kufanya uchaguzi wa mwenyekiti wa chama taifa zaidi ya kurithishana??
Mngeanza nyie kuonyesha demokrasia halafu ndio mkimbilie cdm. Kuna vyama tangu vianzishwe havijawahi kufanya uchaguzi wala kubadilisha viongozi km tlp,cuf nk. Je hamvioni mnaiona tu cdm!?
Chadema hakiwezi kuchaguliwa viongozi na ninyi ccm. Mlizoea kuuwa vyama vya upinzani kwa kuwanunua viongozi wake wakuu ila kwa cdm mmeshindwa kwa kuwa mbowe na dr slaa hawana njaa ndio maana mnadhani njia ya kufanikisha malengo yenu ni kuwaondoa. Poleni sana.
Mkuu, sidhani kama matakwa ya hawa jamaa yako nje ya katiba ya chama. Kama katiba ya chama inasema mwenyekiti atachaguliwa kila baada ya miaka 5 haimaanishi kuwa wafate kama vyama vingine vinavyofanya. Katiba ndio muongozo na lazima ifatwe na kama waliiandika wenyewe kwa kukubaliana iweje mtu mmoja aje kutumia mabavu na kufanya kama chama ni chake?
Embu tafakari halafu urudi kimya kimya bila kelele. Kinyume na hapo nadhani utakuwa ni shabiki wa chama na sio hoja zilizotolewa.
Sijaona mahala katika waraka wa Mkumbo panapoonesha anataka kuigawa chadema. Hivi maana ya demokrasia ni kuhodhi madaraka maisha?