Cha msingi pinga hoja zao walizosema. Zichambue tuone wapi kuna pumba, vinginevyo ni kulijenga taifa katika chuki za kidini kuliko uhalisia wa maendeleo nchi.Hao watu wa kofia ndefu wanataga Serikali iwasikilizage wao tu wanajionaga wao ndio daraja la kwanza tabaka la utawala tabaka la juu
Taarifa itamfikia kila raia kwa ukamilifu na kuelewa kinachoendelea. Na km kanisa msimamo Ni upi.kwahiyo ukisomwa ndoo inakuwaje
Hujui Wewe sifurikwahiyo ukisomwa ndoo inakuwaje
We jamaa unazunguka kila mahali.Waambie watoe waraka mwingine kuhusu pesa zetu za escrow walizokwapua
SAWA utasomwa SasaHata ungesomwa Kila familia ni kupoteza muda tu nyie walevi na wazinzi hamna Cha maana
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Watanzania wangapi watausikia na kuitikia ujumbe wa TEC?Serikali sikivu ni serikali imayosikiliza maonj ya wananchi chawa endeleeni kumdanganya mama na kusema udini lakini juweni kuwa mkataba huo hakuna anayeutaka zaidi ya nyie mnaoongiza serikali ,mnaowaoongoza wameshasema hauna maslahi kwa taifa kiujumla
Kesho mapema nawahi siti ya mbele kusikiliza neno la bwana . usiku mwema.View attachment 2721876
Yale magendo mlokua mkipitisha mkisema ya kanisa saivi hayatopita tena for free yni gusa vyote ila usije gusa mtu anapopata rizki yakeSerikali sikivu ni serikali imayosikiliza maonj ya wananchi chawa endeleeni kumdanganya mama na kusema udini lakini juweni kuwa mkataba huo hakuna anayeutaka zaidi ya nyie mnaoongiza serikali ,mnaowaoongoza wameshasema hauna maslahi kwa taifa kiujumla
Kesho mapema nawahi siti ya mbele kusikiliza neno la bwana . usiku mwema.View attachment 2721876
Dogo, hayo Matamko yaliishawahi kusomwa sana makanisani. Kesho sio mara ya kwanza.Serikali sikivu ni serikali imayosikiliza maonj ya wananchi chawa endeleeni kumdanganya mama na kusema udini lakini juweni kuwa mkataba huo hakuna anayeutaka zaidi ya nyie mnaoongiza serikali ,mnaowaoongoza wameshasema hauna maslahi kwa taifa kiujumla
Kesho mapema nawahi siti ya mbele kusikiliza neno la bwana.
Usiku mwema.
View attachment 2722004
View attachment 2722003
Ameen ameenkesho ni siku nzuri sana kwa mstakabali wa nchi yetu
Basi wacha wafanye mwendelezoDogo, hayo Matamko yaliishawahi kusomwa sana makanisani. Kesho sio mara ya kwanza.
Tuanze na Makamu wa Rais Philip Mpango na Job Ndugai wa IsraeliKesho tufuatilie viongozi wa serikali ambao ni wakatoliki, je wataenda kanisani?
Utasomwa Altaren.....sasa atakaye dharau asije kulaum watu.Mnaweza kuuongeza katika kitabu chenu cha ibada😁😁😁!
worryout!