Bunsen Burner
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 909
- 1,101
... sana! Ni ajabu kusikia mkoa wa Kagera ni mkoa masikini; ajabu mno! Mkoa ambao ni evergreen throughout the year kwanini uwe masikini? Dah!
Kwa hiyo kumwita "mama" ni tatizo mbona N Nyerere alikuwa anaitwa "mwalimu" bila neno Rais yaani Rais mwalimu wala mwalimu Rais bali MWALIMU TUKwanza aache kumuita “mama“ pili hana nia (kuhusu uwezo wake sijui) ya kufanya chochote kupunguza umaskini Tanzania vinginevyo Bwawa la kuzalisha umeme lingemaliziwa lkn linapotezewa, umeme hakuna umaskini ataushughulikia vipi ?
Wewe naona hamjui Tibaijuka vizuri,kwao Mleba kafanya kipi cha maana?Hata shule kajenga mkoa wa Pwani baadala ya kujenga kwao Mleba ili ndugu zake waliompa ubunge wafaidike na elimu,amekuwa aridhi alifanya nini,ni mradi hupi aliupeleka kwao Muleba?Sanasana migogoro ya aridhi,angalia Magufuli alipokuwa bado Waziri ajawa bado Rais wetu, alikuwa amefanya mangapi chato,watu wanalalamika eti Magufuri alikuwa anapendelea chato,kumbe Magufuri kaanza kujenga chato kuanzia akiwa Waziri,Nafikiri hujafuatilia michango ya Profesa Anna bungeni na nje ya Bunge ndugu
Katika wabunge wa Kagera walioongelea Kagera na kuipigania Ni Prof Anna Tibaijuka
Aliongelea zao la kahawa mpaka Rais akaingilia Kati , aliamuru wananchi katika Jimbo lake wauze kahawa popote wanapotaka na akagombana Sana na viongozi wa ushirika na mkuu wa wilaya kwamba anawafanya wanachi wauze kahawa bila utaratibu hii Ni baada ya mamlaka kutaka kahawa yote iuzwe kwenye ushirika
Naomba uwe mfuatiliaji kabla huja-comment chochote kuhusu mtu fulani hasa , usipende kuweka chuki binafsi na siasa katika ukweli maana watu watakushangaa Sana kwani clip zipo za kutosha kuhusu mchango wa Prof Anna
Hao ndiyo wahuni wenyewe, icho anacho fanya ni harakati za kihuni kujidai anauchungu na wanabukoba wakati alipokuwa na cheo kazi pekee aliyokuwa anafanya ni ufisadi tuTibaijuka Yeye amekua Waziri katika Serikali, mbona hatujawai kusikia anawasemea wana kagera, amekuwa mbunge miaka 10, hatukuwai kuona hata akisemea zao kuu la biashara kahawa, wakati Nchi jirani Uganda kahawa ni bei ni zaidi ya mala 3, mpaka kagera tunatamani kuuza Uganda.Tibaijuka alichokifanya alipopata ubunge na uwaziri ni kujimilikisha aridhi tu,akuna alichosaidia chochote, Sasahivi eti anapiga kelele.
Magufuli mbona alikuwa akipeleka miradi mikubwa bado akiwa Waziri? mpaka alijenga nyumba za NHC zikaja kuzinduliwa na Mkapa na Odinga, Barabara ya lami ulikuwa kwenda bukoba lazima upite chato sio bialamulo, akina tibaijuka walivyopata ubunge wakajenga mashule Pwani, baadala ya kwao Mleba..katika nafasi ya Uwaziri Prof.Tibaijuka alikuwa Waziri wa ardhi wa Tanzania nzima, sio Waziri wa ardhi wa Kagera au Karagwe jimbo lake la uchaguzi.
..kwa msingi huo Prof ktk nafasi ya Waziri wa ardhi asingeweza kufanya au kutekeleza jambo lolote huko Kagera nje ya mipango ya serikali kuu au ilani ya chama chao.
Huyu Mama anasaka furusa tu anauchungu wowote na KageraHao ndiyo wahuni wenyewe, icho anacho fanya ni harakati za kihuni kujidai anauchungu na wanabukoba wakati alipokuwa na cheo kazi pekee aliyokuwa anafanya ni ufisadi tu
Ndo upambane sas hakuna mtu atakuja na bakuli la ngawila akupeNyumba ya vioo inarushiwa mawe. Mama ana hoja. Tushambulie hoja yake si kumshambulia yeye binafsi. Hoja Kagera ni mkoa maskini Tanzania bara. Inakwamuliwaje kutoka kwenye umaskini?
Zile bilioni za mboga ziliishia wapi?!
Dharau kwa raia kitu kibaya sana sana…
India waliwahi kufanya mjadala kama huu;ni kwa nini India imeachwa sana na China,ikizingatiwa nchi ya INDIA ni ya pili kwa idadi ya watu duniani baada ya nchi ya CHINA.Profesa afanye utafiti atuambie nini tatizo alafu ndiyo aombe msaada.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ashindwe alegee![emoji16]
Ccm ndo tatizo wanakagera wakigundua wataungana na wazelendo wengine nchi mzima kudai katiba mpyaNawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wazalendo wote nchini na Duniani kwa Ujumla
Nimeambatanisha Waraka Kutoka kwa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu uduni wa Maendeleo kwa Mkoa wa Kagera
View attachment 2082264
View attachment 2082267
View attachment 2082268
View attachment 2082269
Mmeanza lini kutubagua? Mnatufukuza twende Kwetu wapi? Uganda,Rwanda ,Congo ama Kamerun? Idd Amin alipotuchukua mbona mlimpiga na kumfukuza kama mwizi hadi akafia ukimbizini? Ubaguzi ni kama kula nyama ya mtu,alisema Nyerere.Mkimaliza kutufukuza sisi atamfuata nani? Otagwisa Mkono 2022.Wahaya rudini kwenu tokeni town
Kajumulo iko Bukoba mkuu.Mbona yeye hata shule zake amewekeza Mwanza,badala ya Bukoba.
Huyu mama amepagawa baada ya kuona bibi kizee mwenzake Muramura amepewa ulaji wakati yeye akisahaulika ingawa naye alikuwa huko UN-HABITAT.
Huo ndio ukweli,hakuna lingine wala nini?
Yeye si anakula za Museveni kidogo kidogo, shida yake nini?
Bado za mboga kutoka kwa Rugemalira!
Bado malori semi trailers zinapishana barabarani zikisomba cement,kwa mgongo wa Texas!
Kweli mama ana tamaa ya FISI.