Bunsen Burner
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 909
- 1,101
Haaaaa....watu kule wana kauvivu' fulani, nafikiri kutokana sijui na historia yao ya zamani ya kutumikisha ' warundi/wahamiaji' kwenye kazi nzito......... hahahahaaaa
... sana! Ni ajabu kusikia mkoa wa Kagera ni mkoa masikini; ajabu mno! Mkoa ambao ni evergreen throughout the year kwanini uwe masikini? Dah!