Waraka wa Shigongo kwa Ze Original Komedi

Waraka wa Shigongo kwa Ze Original Komedi

Shigongo hebu pisha huko, huna moral authority ya kuwaambia kitu hawa watoto kwa sababu na wewe ni mchafu, mnafiki na mharibifu.

Moja ya mawazo ya KIPUMBAFU kabisa: what is moral authority, by the way.

Maana ya moral authority ni kuwa watu wote duniani wasikiseme/kukosoa chochote wanachokiona ktk jamii. Hayo ni mawazo finyu, mtazamo potofu, uwezo mdogo wa kufikiri na kuamua. Kwa mtizamo uliouonyesha plz ondoa picha inayokutambulisha, haina maana.
 
Moja ya mawazo ya KIPUMBAFU kabisa: what is moral authority, by the way.

Maana ya moral authority ni kuwa watu wote duniani wasikiseme/kukosoa chochote wanachokiona ktk jamii. Hayo ni mawazo finyu, mtazamo potofu, uwezo mdogo wa kufikiri na kuamua. Kwa mtizamo uliouonyesha plz ondoa picha inayokutambulisha, haina maana.




Hayo ni mawazo ya kibazazi, sishangai bazazi asipoona maana, hasa hiyo maana ya moral authority. Labda mabazazi watakuelewa.
 
Last edited by a moderator:
UKWELI KUHUSU SEKI

Kwanza si yatima, mama na baba yake wapo Ifakara na wapo hai. Ndugu zake ni hawa
Wiliuma Ndeketela (Mafinga) Edwin Ndeketela (Dar) Denis Ndeketela (Dar) Edah Ndeketela (Ifakara), Doris (UDSM), Prisca (Dar).

Ninayeandika hapa, mama yake na Seki ni mama yangu mkubwa toka nitoke na mama
yangu.

Si yatima (Seki) baba yake anaitwa David Ndeketela (72), na mama yake anaitwa Elizabeth Zacharia. Wako hai.

Hivi Shigongo anajua maana ya neo yatima?

Kwanza hao vijana kazi yao ni kuigiza, walikutaja moja kwa moja? Au unajihisi? Huu ni unafiki mkubwa sana.

Kaka yangu Seki si yatima, umeniudhi sana Shigongo
Mwambie Seki ampeleke kwa Pilato atavuta 3bn.
 
Akina Dave Chappelle wakiigiza kuhusu akina Mc Hammer au Mike Tyson mnakimbilia kununua DVD zao lakini akina Ze Comedy wakifanya inakuwa tabu, duh!!!
 
Hata wewe mwenyewe Shigongo uache tabia ya kuchafua watu kutumia magazeti yako nawe kuna siku unafall down na watu watakuandika kwenye magazeti
 
Dear all,

I am in London, for a special mission,but have been irked by this debate

Huyu naye oovyooo, wengine tuko Betelgeuse na wala huwezi kutusikia tunajikomba.

London is just the antipode of the antipode.
 
MENGI akitumia ITV kueleza mambo yake malalamiko yanaibuka. Shigongo kutumia magazeti yake kutoa hoja zake, malamiko yale yale.

Serikali kutumia TBC kutetea maslahi yake (siyo lazima yawe ya Umma) malalamiko lukuki.

Mbona hata wana JF tunaitumia hii forum kwa namna hiyohiyo? Watu hawajadili HOJA. Wanaweka hoja pembeni wanajadili mtu, si ifunguliwe thread nyingine ya kujadili mtu kama itaonekana muhimu na kuacha utamu wa HOJA UJIBIWE KWA HOJA?

Nani mtakatifu kati yetu arushe jiwe kwanza?
 
Huyu naye oovyooo, wengine tuko Betelgeuse na wala huwezi kutusikia tunajikomba.

London is just the antipode of the antipode.
Duuh, yale yale ya kudhalilishana, ila kwa njia nyingine
 
HAYA YOTE NI MLOLONGO WA MATUMIZI MABAYA YA VYOMBO VYA HABARI...TATIZO HILI LITAIWEKA NCHI YETU MAHALI PABAYA SANA....

ZE COMEDY WANATUMIA VIBAYA TBC1 BADALA YA KUELIMISHA NA KUCHEKESHA JAMII WANATUKANA WATU...SHIGONGO NAYE ANATUMIA VIBAYA MAGAZETI YAKE KWA KURUHUSU WATU WACHAFULIWE NA KUWATIA KASHFA KIBAOO....

HAPA NAONA SHIGONGO IMEMUUMA KUPIGWA DONGO NA WATOTO AMBAO YEYE ANAZUGA KUWAPA USHAURI WA BURE....KWANI WATU AMBAO ALIWACHAFUA YEYE SHIGONGO WAKIMILIKI TV NA REDIO HAJUI IPO SIKU WATAMPA YEYE USHAURI WA BURE??...NDIOOO..WAPO KINA KIMAMBI WANALIA NA SHIGONGO NA MAGAZETI YAKE...

HAYA SIE KINA YAKHE TUSIO NA VYOMBO VYA HABARI ...YETU JF...we dare to talk openly...SHIGONGO ANAJITAZAMA KWENYE KIOO KISAFI ANAHISI NA YEYE NI MSAFI...ILA KWENYE ULIMWENGU HALISI NI MCHAFU ..kama walivyo ZE COMEDY...NDIO...NAO NI WACHAFU ...KAMA KAKA YAO SHIGONGO TU...marangapi wamewageza watu kwenye shoo zao??...na wakati mwingine wamewadhalilisha pia.....

HITIMISHO...shigongo usililie huruma ya jamii..pambana na vijana na usitudanganye kuwa unawashauri wadogo zako...wewe sio mshauri na hata hivyo ze comedy ni vibabu haviitaji kufunzwa mbinu mpya leo.....ZE COMEDY...BITTA NI BITTAH MURRAHH..huyu shigongo wala sio msafi saaana kuwashaurini...kama vipi na nyie mshaurini..ndio..anahitaji ushauri..mlipueni tena maana na yeye anaanda bomu la kumlipua seki next week.


Nadhani umejaribu kuelezea kwa uzuri zaidi..ila ushauri wako wa kulipiza kisasi kwa wao kumlipua tena nadhani si wa busara sana. Pengine tunge washauri vijana wajaribu kuona wapi penye kasoro na kupaweka sawa.. Kwani ni kweli hali yao si nzuri..!! The comedy ninayoifahamu mimi ni tofauti kabisa na the comedy original..!!
 
Akina Dave Chappelle wakiigiza kuhusu akina Mc Hammer au Mike Tyson mnakimbilia kununua DVD zao lakini akina Ze Comedy wakifanya inakuwa tabu, duh!!!
Sioni tatizo la kuigiza kama furani lakini kumtukana hatakama humtaji jina haikubaliki...
 
kwa shigongo,
Mjumbe hauwawi kama yapo mazuri katika waraka huo kama ze comedy wamebahatika kuusoma wanaweza wakajiakisi nao kwa mustakbali wao wa baadae, mm nakubaliana nae na sioni tatizo kuandika waraka huo gazetini ili watanzania wote wawe mashahidi kuwa vijana hawa baadhi ya mambo wanafurutu ada kwa kuwa ni wasanii wa jamii yote, wana jamii wana haki ya kuwakanya kwa namna yoyote ile iwe siri au dhahiri.
 
Shigongo acha unafiki,unajifanya kukasirishwa na zecomedy kumsema mashaka matongo kuwa kafirisika?kwa wasiojua ni kwamba ERIC JAMES SHIGONGO ndio aliochangia mashaka matongo kufirisika kwani alinunua gazeti la AMANI ambalo lilikuwa linatolewa na kampuni ya mashaka matongo(hapa ni kwamba,eric baada ya kuona kuwa mashaka matongo ndie mpinzani wake mkubwa wa biashara za magazeti ya udaku na gazeti alilokuwa analitoa mashaka la AMANI linauzwa sana akaamua kumzunguka mashaka kwa kwenda kwa mmiliki wa gazeti na kumlaghai kisha kulinunua,kwani mashaka alikuwa anatumia jina la AMANI kwa mkataba baada ya mmiliki kushindwa kuliendesha na mashaka ndio aliolipandisha chati AMANI na likawa linanunuliwa sana,pia haikuishia hapo kwani shigongo akamlaghai kwa vijisenti mpiga picha aliyekuwa anaongoza kwa kupiga picha za udaku aitwae issa mnally hivyo issa akaamia kwa shigongo),kuanzia hapo mashaka matongo akaanza kuyumba kibiashara na mwishowi kufunga biashara,akakosa pesa ya kulipa nyumba aliyokuwa amepanga sinza akarudi kwenye nyumba yake ya yombo.
kwa wasiomjua shigongo watakuwa wanawaona zecomedy wana dhambi kwa jinsi shigongo alivyoandika huo waraka lakini nataka kuwaambia kuwa huyu jamaa(shigongo) ndio zake kuandika waraka pindi anapotofautiana na watu hasa wasaniii,keshawaandikia waraka wasanii kibao mmojawapo ni solothang mara baada ya solothang kutoa wimbo wa KILIO CHANGU,akimpaka shigongo na shindano lake la mkali wa hiphop,hivyo hiyo ndio style yake
shigongo katika waraka wake ameongelea kuhusu kumtoa dudubaya aliyekuwa anakaribia kufungwa,nataka kuwaakikishia wanajf kuwa shigongo alifanya hivyo kwa sababu na sio kama ni huruma ndio iliyomfanya kwenda kumtoa dudubaya,waswahili wanasema adui wa adui yako ni rafiki yako,hivyo hapa ilikuwa hivi,Shigongo na clouds hawapatani kitambo(sijui kwa sasa),clouds waliandaa show ya mr nice ambae alikuwa adui ya dudubaya na siku ya show dudubaya akamvamia mr nice kwenye stage hivyo clouds wakaapa kumfunga dudubaya,hapo ndipo shigongo kwa kuwa yeye na clouds ni maadui akaamua kujiingiza kwenye hio kesi na kumtoa dudubaya.
huyu ndio shigongo ambaye anajifanya na kujionesha kwa watu kuwa yeye ni msafi na mwenye moyo wa huruma kumbe ni mnafiki na anayependa kuchonganisha na kuchochea mambo kwa manufaa ya magazeti yake ya udaku
 
Shigongo acha unafiki,unajifanya kukasirishwa na zecomedy kumsema mashaka matongo kuwa kafirisika?kwa wasiojua ni kwamba ERIC JAMES SHIGONGO ndio aliochangia mashaka matongo kufirisika kwani alinunua gazeti la AMANI ambalo lilikuwa linatolewa na kampuni ya mashaka matongo(hapa ni kwamba,eric baada ya kuona kuwa mashaka matongo ndie mpinzani wake mkubwa wa biashara za magazeti ya udaku na gazeti alilokuwa analitoa mashaka la AMANI linauzwa sana akaamua kumzunguka mashaka kwa kwenda kwa mmiliki wa gazeti na kumlaghai kisha kulinunua,kwani mashaka alikuwa anatumia jina la AMANI kwa mkataba baada ya mmiliki kushindwa kuliendesha na mashaka ndio aliolipandisha chati AMANI na likawa linanunuliwa sana,pia haikuishia hapo kwani shigongo akamlaghai kwa vijisenti mpiga picha aliyekuwa anaongoza kwa kupiga picha za udaku aitwae issa mnally hivyo issa akaamia kwa shigongo),kuanzia hapo mashaka matongo akaanza kuyumba kibiashara na mwishowi kufunga biashara,akakosa pesa ya kulipa nyumba aliyokuwa amepanga sinza akarudi kwenye nyumba yake ya yombo.
kwa wasiomjua shigongo watakuwa wanawaona zecomedy wana dhambi kwa jinsi shigongo alivyoandika huo waraka lakini nataka kuwaambia kuwa huyu jamaa(shigongo) ndio zake kuandika waraka pindi anapotofautiana na watu hasa wasaniii,keshawaandikia waraka wasanii kibao mmojawapo ni solothang mara baada ya solothang kutoa wimbo wa KILIO CHANGU,akimpaka shigongo na shindano lake la mkali wa hiphop,hivyo hiyo ndio style yake
shigongo katika waraka wake ameongelea kuhusu kumtoa dudubaya aliyekuwa anakaribia kufungwa,nataka kuwaakikishia wanajf kuwa shigongo alifanya hivyo kwa sababu na sio kama ni huruma ndio iliyomfanya kwenda kumtoa dudubaya,waswahili wanasema adui wa adui yako ni rafiki yako,hivyo hapa ilikuwa hivi,Shigongo na clouds hawapatani kitambo(sijui kwa sasa),clouds waliandaa show ya mr nice ambae alikuwa adui ya dudubaya na siku ya show dudubaya akamvamia mr nice kwenye stage hivyo clouds wakaapa kumfunga dudubaya,hapo ndipo shigongo kwa kuwa yeye na clouds ni maadui akaamua kujiingiza kwenye hio kesi na kumtoa dudubaya.
huyu ndio shigongo ambaye anajifanya na kujionesha kwa watu kuwa yeye ni msafi na mwenye moyo wa huruma kumbe ni mnafiki na anayependa kuchonganisha na kuchochea mambo kwa manufaa ya magazeti yake ya udaku


I could see through his designs like blind theory, bila hata kujua the finer details.
 
Shigongo acha unafiki,unajifanya kukasirishwa na zecomedy kumsema mashaka matongo kuwa kafirisika?kwa wasiojua ni kwamba ERIC JAMES SHIGONGO ndio aliochangia mashaka matongo kufirisika kwani alinunua gazeti la AMANI ambalo lilikuwa linatolewa na kampuni ya mashaka matongo(hapa ni kwamba,eric baada ya kuona kuwa mashaka matongo ndie mpinzani wake mkubwa wa biashara za magazeti ya udaku na gazeti alilokuwa analitoa mashaka la AMANI linauzwa sana akaamua kumzunguka mashaka kwa kwenda kwa mmiliki wa gazeti na kumlaghai kisha kulinunua,kwani mashaka alikuwa anatumia jina la AMANI kwa mkataba baada ya mmiliki kushindwa kuliendesha na mashaka ndio aliolipandisha chati AMANI na likawa linanunuliwa sana,pia haikuishia hapo kwani shigongo akamlaghai kwa vijisenti mpiga picha aliyekuwa anaongoza kwa kupiga picha za udaku aitwae issa mnally hivyo issa akaamia kwa shigongo),kuanzia hapo mashaka matongo akaanza kuyumba kibiashara na mwishowi kufunga biashara,akakosa pesa ya kulipa nyumba aliyokuwa amepanga sinza akarudi kwenye nyumba yake ya yombo.
kwa wasiomjua shigongo watakuwa wanawaona zecomedy wana dhambi kwa jinsi shigongo alivyoandika huo waraka lakini nataka kuwaambia kuwa huyu jamaa(shigongo) ndio zake kuandika waraka pindi anapotofautiana na watu hasa wasaniii,keshawaandikia waraka wasanii kibao mmojawapo ni solothang mara baada ya solothang kutoa wimbo wa KILIO CHANGU,akimpaka shigongo na shindano lake la mkali wa hiphop,hivyo hiyo ndio style yake
shigongo katika waraka wake ameongelea kuhusu kumtoa dudubaya aliyekuwa anakaribia kufungwa,nataka kuwaakikishia wanajf kuwa shigongo alifanya hivyo kwa sababu na sio kama ni huruma ndio iliyomfanya kwenda kumtoa dudubaya,waswahili wanasema adui wa adui yako ni rafiki yako,hivyo hapa ilikuwa hivi,Shigongo na clouds hawapatani kitambo(sijui kwa sasa),clouds waliandaa show ya mr nice ambae alikuwa adui ya dudubaya na siku ya show dudubaya akamvamia mr nice kwenye stage hivyo clouds wakaapa kumfunga dudubaya,hapo ndipo shigongo kwa kuwa yeye na clouds ni maadui akaamua kujiingiza kwenye hio kesi na kumtoa dudubaya.
huyu ndio shigongo ambaye anajifanya na kujionesha kwa watu kuwa yeye ni msafi na mwenye moyo wa huruma kumbe ni mnafiki na anayependa kuchonganisha na kuchochea mambo kwa manufaa ya magazeti yake ya udaku

................................Inaonekana unamfahamu SHIGONGO KULIKO WATU WENGI HAPA JF.
Wether alichangia kufilisika kwa MASHAKA au alimtoa DUDU kwa style ile ya adui wa adui yako ni rafikio bado haijaharibu maana ya waraka.anacho gomba/kushauri Shigongo ni kitendo cha wasanii hao kumcheka aliyefilisika na kuwakumbusha,wawe wanaweka akiba wasijekuwa kama MASHAKA.
Pia ni fundisho kwa wengine watakao usoma hapa GAZETINI
 
Hatimaye muosha nae kaoshwa, sasa kukurukakara zimekuwa nyingi.......!tehe teheee..tehe ...teheeee.
 
................................Inaonekana unamfahamu SHIGONGO KULIKO WATU WENGI HAPA JF.
Wether alichangia kufilisika kwa MASHAKA au alimtoa DUDU kwa style ile ya adui wa adui yako ni rafikio bado haijaharibu maana ya waraka.anacho gomba/kushauri Shigongo ni kitendo cha wasanii hao kumcheka aliyefilisika na kuwakumbusha,wawe wanaweka akiba wasijekuwa kama MASHAKA.
Pia ni fundisho kwa wengine watakao usoma hapa GAZETINI

iwe namfahamu au simfahamu hiyo haikuhusu.......kama umefirisika kwanini usichekwe?MASHAKA MATONGO kuchekwa sawasawa sababu enzi zake alipouwa nazo kazi yake kubwa yeye na rafiki yake mpakanjia ilikuwa kuwasponsa mamiss,wanajifanya wanawasponsa nguo kisha wanaenda kuwachapa,hivyo kutoka kuwa mkurugenzi wa magazeti ya AMANI na RISASI ambayo leo yote yapo chini ya shigongo mpaka kuwa mmiliki wa salon lazima achekwe,tena mi namcheka sana tu na kwa wasiojua jamaa sasa hivi anakula kwa mamantilie pale sinza kijiweni
suala la mtu kama anaweka akiba au haweki hilo ni juu yake kwani hao zecomedy sio watoto hivyo nao kama wakija kulost ntawacheka tu,wabongo kama akili zetu zina wadudu yaani mtu ana zaidi ya miaka 25 bado unamkumbusha kuhusu jinsi ya kuishi wakati tayari ana mke/mchumba na anakaa kwake na maisha yake..!
 
Kwanini tusijadili logic ya KAULI ya Shigongo badala ya personality yake?Kwani uongo kwamba dogos huko mitaani wanaridhika mapema?
 
Kwanini tusijadili logic ya KAULI ya Shigongo badala ya personality yake?Kwani uongo kwamba dogos huko mitaani wanaridhika mapema?


Unaturudisha kule kule kwa mafisadi. Kwanini Shigongo atoe ushauri baada ya yeye nae kuoshwa, alikuwa wapi siku zote kutoa ushauri huo. Na pia yeye anavyowachafua watu kwenye magazeti yake mbona wasio na pa kusemea wewe hujawatetea??
 
Sasa hivi nasoma gazeti la shigongo linaitwa 'amani', front page anawabamiza ze komedi,bitta ni bitta murrah,naona shigongo kapania kuwamaliza vijana hawa.
 
Sasa hivi nasoma gazeti la shigongo linaitwa 'amani', front page anawabamiza ze komedi,bitta ni bitta murrah,naona shigongo kapania kuwamaliza vijana hawa.

Si unaona mwenyewe. He is after them while he has not even been provoked. kadai hana mambo ya kisasi bu analeta kisasi indirectly. Anyways hata original komedi wana matatizo yao ngoja wararuane kwanza. Sikupenda walivyo wafanyia wakazi wa Mbagala.
 
Back
Top Bottom