Waraka wa TEC umesomwa kwenye Jumuia yangu ya Mt. Marcelino. Tunawashukuru Maaskofu. Kesho utasomwa vigangoni na Parokiani Mt. Antoni wa Padua

Pelekeni mpaka Vatican bandari itabinafsishwa mtake au msitake.
Siyo kubinafsishwa, sema itaporwa.

Shetani hajawahi kuacha kufanya kazi zama zote. Tutapambana dhidi ya mkataba wa kishetani wa bandari kama tunavyopambana na shetani.
 
Nyie pigeni kelele na walaka wenu, kwa Dk Samia zege halilali
 
Una uhakika na hii hoja yako?
 
Msiishie kuchoka kwa kuandika waraka pekee.

Anzisheni vita na waislamu au mnaogopa?
Watangaze maandamano ili waone sura halisi ya serikali, ndio watajua viongozi wa serikali ni wakatoliki au wapagani!!
 
Walikula hela chafu za Rugemarulaa kupitia ESROW. Wamizirejesha nitakuwa na imani nao vinginevyo ni wale wale
 
Waraka murua kabisa.. Mmetutoa kimasomaso wanaTEC.
 
Sisi wasabatho Tutasoma Jumamosi Ijayo.
 
Nyie wakristo wana maslah na bandari sasa wanapupa mama amewashika pabaya
 
Hii imeenda! Hii imeenda!! Hii imeenda!!!
 
Mbona Yapi Merkez ni Waarabu hao wanajenga reli na hakuna tatizo?

Mbona bwawa la Mwalimu Nyerere tender wamepewa Arab contractors na hakuna tatizo?

Kuna watu akili zenu zimejaa mavi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…