Hapa sasa tumefika patamu. Watawala watajua huu mkataba ni Dubai ni PEPO. Sasa watake wasitake watauepuka. Wanaowapenda Waarabu walipiwe tiketi waende wakaishi Dubai
 
Siku wakiacha kuendeshwa na hisia zao za udini uliopitiliza ndio watakua na akili timamu ya kuamua mambo ipasavyo, wapeni kahawa na kashata watulie pembeni kuleee
 
Hao wavaa makobazi hawajawahi kuwa na akili zaidi ya kula tende za misaada na ng'ombe za waturuki.
Bora kula tende na kuvaa kobazi kuliko kuwa shoga.
Maana Makanisa yako ndio huwa yanafungisha ndoa za jinsia moja
 
Dini yangu naona hawana hoja kabisa zaidi ya umbea. Hivi Dkt Magufuli angekuwa na udini angemchagua Samia kuwa Makamu wake. Hivi inakuwaje rais anapokuwa muislamu udini huibuka?
Udini huwa unatoka Kanisani.yaani akanisa halikujiamdaa kutawaliwa na Mwislaam,mission ilikuwa hijawa Accomplished
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…