Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN
Kwa serikali hii kwanza hata kupiga kula ni kupoteza muda....kimsingi walishaona kama vile wananchi wooooote ni mbwa 🐶🐶🐶🐕 yaani ukipiga mluzi wote wanatingisha mikia...inauma jinsi maisha yanavyozidi kubana halafu wananchi wanalalamika halafu wenyewe nao wanakuja kulalamika kwa wananchi...sasa nani amsaidie nani...kodi zisizokuwa na maana mfumuko wa bei halafu wanaleta na uuzaji wa rasilimali za wananchi then eti udini...wapambane na hizo changamoto waone kama kuna atakayewasema.
Binafsi napenda hii ngoma iendelee hivihivi...maana ni kitu ambacho kimekua kikitengenezwa kwa muda mrefu sana. Ngoja kipasuke tu.
 
Kwa serikali hii kwanza hata kupiga kula ni kupoteza muda....kimsingi walishaona kama vile wananchi wooooote ni mbwa 🐶🐶🐶🐕 yaani ukipiga mluzi wote wanatingisha mikia...inauma jinsi maisha yanavyozidi kubana halafu wananchi wanalalamika halafu wenyewe nao wanakuja kulalamika kwa wananchi...sasa nani amsaidie nani...kodi zisizokuwa na maana mfumuko wa bei halafu wanaleta na uuzaji wa rasilimali za wananchi then eti udini...wapambane na hizo changamoto waone kama kuna atakayewasema.
IMG-20230820-WA0017(1).jpg
 
Hii vita ni rasmi ya kidini, Samia 2025 hawezi kuwa Rais

Wamemtega ametegeka , Wenye nchi hawawezi mruhusu kuendelea 2025

Byebye Samia
Na huweni huwa mnaipatia kwenye marais wa kiislam wanaomuogopa mungu sio wale wauaji wenzenu, hao iko kikundi chao nani asiejua ni mamafia?? Na hiyo nguvu yenu mnayojinasibu mnayo si kwasababu mnafanya kazi kwa karibu na devil au hamjui?

LGBTQ Mnasapoti
Pombe Mnasapoti
Riba yenu
Umafia wenu
Kila aina ya uchafu sasa kwanini msiwe na power?? Hadi Freemason pia mnadai yenu sasa kwanini msiwe na power jamani ni kweli mnayo power kwasababu ya mshirika wenu

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Jibu hoja hapo..kule kujilipua ni mpango wa Washington sio wenu..jibu kwa nini waraka uwatese.kwani umewataja. Na nyie toeni wenu wa kusapoti mkataba
Sasa unaniambia mimi nijibu hoja,kwani huo waraka nimeujibu mimi?.Hii mbegu inayopandwa hapa Tanzania itaota tu mda si mrefu.Mungu atuepushe.Hizi dini hizi....
 
Hawana uwezo wa kujadili vipengele sababu kwanza hata hawavielewi. Juzi kati nilimsikia shehe mmoja anasema "kwani kuna shida gani kama DPW wakimiliki all port teritorries and corridors kama mkataba unavyosema"!?.  Nikaona hapa kuna shida, hata kama ni haki kwa kila mtu kusema, ila dah KUNA SHIDA YA KUJITAMBUA hapo.
Acha kufuru wewe mjinga, huo mkataba hata mtoto wa la saba anawezasoma maana upo hadi wa kireno achia mbali kichana, unaijua hata chat gpt kweli au unabwabwaja tu!

Nyie mpaka wakae TEC ndio mnajiona mnayo power?? Sisi ndume moja tu kama prof Assad kamuulize marehemu mziki aliokutana nao pale! In short our teachings hazipo katika kulambalamba watu miguu na kutubu dhambi zetu kwa masingle boy

Bali mafundisho yetu ni uadilifu sio wanafiq kama ninyi

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Sasa unaniambia mimi nijibu hoja,kwani huo waraka nimeujibu mimi?.Hii mbegu inayopandwa hapa Tanzania itaota tu mda si mrefu.Mungu atuepushe.Hizi dini hizi....
Sasa kama mnaona pesa ni zaidi ya amani lazima tutavuna tu. Ilikuwa kuupiga chini jenga amani tuanze upya..hatuwezi kuzungumzia dini ilihali sababu za kuutaka ni dhami meaning wozi na kukosa uaminifu bandarini.
Swali lilikuwa hao waumini wenu kwa nini hamuwahubirii wabadilike waipende nvhi yao waache wizi .
 
Acha kufuru wewe mjinga, huo mkataba hata mtoto wa la saba anawezasoma maana upo hadi wa kireno achia mbali kichana, unaijua hata chat gpt kweli au unabwabwaja tu!

Nyie mpaka wakae TEC ndio mnajiona mnayo power?? Sisi ndume moja tu kama prof Assad kamuulize marehemu mziki aliokutana nao pale! In short our teachings hazipo katika kulambalamba watu miguu na kutubu dhambi zetu kwa masingle boy

Bali mafundisho yetu ni uadilifu sio wanafiq kama ninyi

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Kwa nini tunasema tumeshindwa kwa sababu ya wizi..mnakubaliana na hili kwa mujibu wa mafundisho..je umemsikia prof jana hotuba juu ya mashirika ya umma
 
Sasa kama mnaona pesa ni zaidi ya amani lazima tutavuna tu. Ilikuwa kuupiga chini jenga amani tuanze upya..hatuwezi kuzungumzia dini ilihali sababu za kuutaka ni dhami meaning wozi na kukosa uaminifu bandarini.
Swali lilikuwa hao waumini wenu kwa nini hamuwahubirii wabadilike waipende nvhi yao waache wizi .
Kama ni wizi basi hiyo ni tabia ya mtu mmoja mmoja.Hakuna dini inayotetea wezi
 
Hawa ndio DPW.Djibouti 94% waislamu. Wakawaamini kama ni wenzao kuja kushtuka mamlaka yao ya ndani yanaingiliwa jama wakafanya mchezo mchafu Djibouti wanapambana.Naomba wanaoleta stori za udini wajifunze tu Djibouti ambako waliikuwa na makubaliano yanayofanana au karibia na ya kwetu
 

Attachments

  • Screenshot_20230820-210751.png
    Screenshot_20230820-210751.png
    63.1 KB · Views: 2
Wanauliza shida Nini? Hawajui wapi shida ipo!
Sasa kama hawajui shida ilipo, pamoja na TEC kuainisha bayana kwenye waraka wao, hao mashehe wanajadili kitu gani?
TEC hawajataja dini yoyote katika waraka wao zaidi ya kuainisha vipengele vyenye utata katika mkataba
 
Hawa masheikh wanatafuta tutukanwe na kujipa aibu tu sisi Waislam. Mkataba huo wa bandari haufai. Tuache upuuzi wa kutetea vitu vya hovyo kisa kafanya wa dini yetu, ni aibu jamani.

Na wajiulize kuwa huu mkataba unafaidisha Uislam kivipi? Kwa nini wanakubali kutumika kijinga hivi? Mbona hamna faida yoyote ile? Zaidi mnatetea ulaji wa watu fulani kwenye nchi hii bila kujua.
 
Hawa masheikh wanatafuta tutukanwe na kujipa aibu tu sisi Waislam. Mkataba huo wa bandari haufai. Tuache upuuzi wa kutetea vitu vya hovyo kisa kafanya wa dini yetu, ni aibu jamani.

Na wajiulize kuwa huu mkataba unafaidisha Uislam kivipi? Kwa nini wanakubali kutumika kijinga hivi? Mbona hamna faida yoyote ile? Zaidi mnatetea ulaji wa watu fulani kwenye nchi hii bila kujua.
Walijengewa misikiti
 
Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!

Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.

Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
Kama kuna wadini nihawa na si TEC
 
Hivi Dkt Magufuli angekuwa na udini angemchagua Samia kuwa Makamu wake. Hivi inakuwaje rais anapokuwa muislamu udini huibuka?
Au angeweza kuchangisha pesa za kujenga msikiti akiwa kanisani, Ni muislamu gani aliyewahi au anayeweza kuchangisha pesa za kanisa msikitini na akapata ushirikiano? 🙁 🙁
 
Ukweli utabaki ukweli, bakwata haiwezi kufanya lolote kwa kuwa ni taasisi inayoongozwa na serikali, haijitegemei na serikali yenyewe ndio hiyo inaogopa wakristo, kiasi cha wakristo kujimwambafai, kwahiyo labda sasa nadhani waislamu wanahaitaji taasisi mpya na imara
 
Back
Top Bottom