Kwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?
Kwamba:
"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.
Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."
Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?
Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?
Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Kwamba:
"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.
Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."
Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?
Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?
Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?