Iruru
JF-Expert Member
- Jan 27, 2014
- 1,471
- 2,891
Kwa hiyo mkuu huko M. University mboko wanachapwa wapi? Je wanawake na wanaume wanachapwa sawa? Imani zingine ni ujinga kabisa hahaaHatari sn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo mkuu huko M. University mboko wanachapwa wapi? Je wanawake na wanaume wanachapwa sawa? Imani zingine ni ujinga kabisa hahaaHatari sn
Tangu wahaidiwe kujengewa misikiti akiri zimewatoka wavaa kobaziKwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?
Kwamba:
"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.
Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."
View attachment 2725266
Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?
Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?
Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Shekhe ubwabwaShehe Mwaipopo: Katoliki ndio Dini kubwa duniani kote
Sio muislam!?Bado huzijuwi jazba unazisikia tu.
Huyo siyo Muislam, anaigiza tu.
😂😂😂 Walaka wa tec misikiti hii mijitu hopeless sanaKuna msikiti nilipita nasikia Sheikh anasema kama kweli wana nia njema kwanini hawakuuleta huo Waraka na huku msikitini?!
I was like Nigga?!!!
Pole sanaKwa hiyo mkuu huko M. University mboko wanachapwa wapi? Je wanawake na wanaume wanachapwa sawa? Imani zingine ni ujinga kabisa hahaa
Pole sanaTangu wahaidiwe kujengewa misikiti akiri zimewatoka wavaa kobazi
Walimpinga kwenye suala lipi?hebu nikumbusheHuyu shekhe akili kisoda atakuwa kadanganywa kuwa TEC wanapinga mkataba wa Samia na DPW kwa kuwa rais Samia ni muislam.
Anasahau kuwa hao hao TEC walimpinga sana mkatoliki mwenzao Magufuli kwa waraka kadhaa
Acha kuja kuwananga ndugu zako huku, regardless they are right or wrong,Mimi ni muislam Ila hawa jamaa wa bakwata Wazee wa Ubwabwa hua wanafanya vitu mpaka unajiuliza hawa watu wako sawa kweli wao maadamu uwahakikishie watapata ubwabwa
kwenye sherehe zao basi watakutetea hata kama utakua kwenye makosa hakikisha ubwabwa unapatikana na maji ya chupa basi hawana uwezo mkubwa wa kufukiri zaidi ya kufikiria ubwabwa tu
Analects: Way and its powersKwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?
Kwamba:
"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.
Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."
View attachment 2725266
Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?
Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?
Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Hawanaga brain hawa. Jazba na mikurupuko ndio character zao. Maaskofu wameainisha mapungufu ya mkataba. Wao wanajistukia kwamba wanaonwa ni foreigners!?
Ahahaha [emoji23] Mbona redio Imaan wanao?Kuna msikiti nilipita nasikia Sheikh anasema kama kweli wana nia njema kwanini hawakuuleta huo Waraka na huku msikitini?!
I was like Nigga?!!!
Na Maaskofu wa makanisa mengine wamechafukwa na nini?Kwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?
Kwamba:
"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.
Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."
View attachment 2725266
Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?
Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?
Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Kuwalenga watu kwa sababu ya dini au imani zao ni ukiukaji wa haki za binadamu.Yaani wamelalama utadhani wametajwa kwenye tamko..!!
Ukiona mtu anaacha kuujadili mkataba wa DWP anaingia kujadili tamko la TEC ujuwe tamko limemshika pabaya na hajielewi..!!
Hio dini gani inayokufundisha kutowakosoa watu eti kwasababu ni ndugu zako mnasali nao pamoja hata kama watakosea usiwaambieAcha kuja kuwananga ndugu zako huku, regardless they are right or wrong,
Ama ndio inavyokufundisha dini??
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app