Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN
Kwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?

Kwamba:

"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.

Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."


View attachment 2725266

Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?

Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?

Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Tangu wahaidiwe kujengewa misikiti akiri zimewatoka wavaa kobazi
 
Kuna msikiti nilipita nasikia Sheikh anasema kama kweli wana nia njema kwanini hawakuuleta huo Waraka na huku msikitini?!

I was like Nigga?!!!
😂😂😂 Walaka wa tec misikiti hii mijitu hopeless sana
 
Lowasa alisema kipaumbele chake cha kwanza ni ELIMU, cha pilli ELIMU na cha tatu ELIMU. Hakupata kura.....
 
Huyu shekhe akili kisoda atakuwa kadanganywa kuwa TEC wanapinga mkataba wa Samia na DPW kwa kuwa rais Samia ni muislam.
Anasahau kuwa hao hao TEC walimpinga sana mkatoliki mwenzao Magufuli kwa waraka kadhaa
Walimpinga kwenye suala lipi?hebu nikumbushe
 
Upande wangu naona sawa tu, wacha hii ngoma iende kwa namna wanavyotaka wao, hawa CCM sio wa kuwachekea, hii karata yao ya udini ni ya kijinga ambayo wamekuwa wakiitumia kama last resort, pale ambapo silaha zao nyingine zote za propaganda kama ile pendwa ya tusichanganye dini na siasa, zinapogoma kufanya kazi.

Sasa mimi nachotaka wacha hao mashekhe waende huko misikitini wakasome waraka watakaopenda wao, tena wautengeneze ule mzuri kabisa wa kumpamba Samia, halafu mwisho wa siku ndio wataona kama TEC na wengine wanaopinga ule mkataba wa hovyo wa bandari watarudi nyuma, hao ni wajinga tu, wasimsumbue yeyote anayejielewa.
 
Mimi ni muislam Ila hawa jamaa wa bakwata Wazee wa Ubwabwa hua wanafanya vitu mpaka unajiuliza hawa watu wako sawa kweli wao maadamu uwahakikishie watapata ubwabwa
kwenye sherehe zao basi watakutetea hata kama utakua kwenye makosa hakikisha ubwabwa unapatikana na maji ya chupa basi hawana uwezo mkubwa wa kufukiri zaidi ya kufikiria ubwabwa tu
Acha kuja kuwananga ndugu zako huku, regardless they are right or wrong,

Ama ndio inavyokufundisha dini??

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Kwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?

Kwamba:

"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.

Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."


View attachment 2725266

Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?

Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?

Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Analects: Way and its powers
ee1d182305a30d7b43bd2911de0a77fc.jpg
 
Kwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?

Kwamba:

"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.

Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."


View attachment 2725266

Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?

Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?

Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Na Maaskofu wa makanisa mengine wamechafukwa na nini?
Mbona huwataji!
 
Yaani wamelalama utadhani wametajwa kwenye tamko..!!
Ukiona mtu anaacha kuujadili mkataba wa DWP anaingia kujadili tamko la TEC ujuwe tamko limemshika pabaya na hajielewi..!!
Kuwalenga watu kwa sababu ya dini au imani zao ni ukiukaji wa haki za binadamu.

"Kwa pamoja, tuwaheshimu wahanga wa vurugu kwa kujitahidi kujenga ulimwengu unaojumuisha zaidi, wenye heshima, na amani, ambapo utofauti unasherehekewa," alisema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres katika Siku ya Kimataifa ya Waathirika wa Ukatili kwa Msingi wa Dini au Imani.
FB_IMG_1692716638523.jpg
 
Acha kuja kuwananga ndugu zako huku, regardless they are right or wrong,

Ama ndio inavyokufundisha dini??

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Hio dini gani inayokufundisha kutowakosoa watu eti kwasababu ni ndugu zako mnasali nao pamoja hata kama watakosea usiwaambie
Dini gani hio au na wewe ni sheikh ubwabwa ???
Acheni kuchukulia kila kitu rahisi rahisi maisha sio ubwabwa tu mkimaliza mnatawanyika basi kukaa mnatetea mijizi kwasababu eti ni waislam wenzenu
Nyie ndio mnafanya waislam waonekane watu wasiofikiri watu wanaoendeshwa na mihemko
 
Back
Top Bottom