Nikutaarifu kwa dhati yangu hakuna ninachojaribu kuruka popote hata ni kwa sababu ipi basi?
"Atueleze waislam mnanufaika vipi na mkataba baina ya Tanzania na Dubai?"
Nielewe hoja yako ni hiyo. Yaani kutikea kwa bwana
Ileje mwenyewe:
View attachment 2726014
Zingatia hoja ya
Ileje inafuatia hoja yangu. Ndiyo maana nawe nokakualika tumsaidie sheikh asiyekuwapo JF, kujibu kiungwana.
Labda tuanze kwa kujiridhisha kama unauona mlolongo huo.
Pili unaona
Ileje ambaye anaweza kuwa na dini yoyote, yeye au hata miye? Hakumlenga muislam yeyote bali sheikh yule kama nilivyokuwa nimemnukuu Mimi kwa clip yake.
Hudhani tuanzie hapo ndugu? Kwamba mlengwa wa hoja alikuwa nani?
Kisha tujikite kumsaidia Sheikh kuyajibu maswali ya bwana
Ileje ambayo nayo ni matatu tu, moja baada ya jingine.
Zingatia hapa isije ikawa twaruka hoja kujifanya wakristo au waislam zaidi nje ya hoja.
Tunakubaliana na utaratibu huu ndugu?