Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN
Kwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?

Kwamba:

"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.

Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."


View attachment 2725266

Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?

Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?

Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Huyu shekhe akili kisoda atakuwa kadanganywa kuwa TEC wanapinga mkataba wa Samia na DPW kwa kuwa rais Samia ni muislam.
Anasahau kuwa hao hao TEC walimpinga sana mkatoliki mwenzao Magufuli kwa waraka kadhaa
 
Mwenye mbwa amekaa kimya ila mbwa ndio wana piga kelele.

F4HSWnFW4AAKDMF.jpeg
 
Hawanaga brain hawa. Jazba na mikurupuko ndio character zao. Maaskofu wameainisha mapungufu ya mkataba. Wao wanajistukia kwamba wanaonwa ni foreigners!?
Yaani hata haihusiani. Sijui jazba ya nini? Hii jazba labda wangeipeleka kwa Allah kwa kuwaweka nchi moja na makafir pengine.

Anyway labda mimi ndio sielewi.
 
Kwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?

Kwamba:

"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.

Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."


View attachment 2725266

Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?

Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?

Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Itakuwa robot hiyo, kwani wamekatazwa kutoa waraka tena ikiwezekana waongeze na maandamano ya kupongeza.
 
Kwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?

Kwamba:

"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.

Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."


View attachment 2725266

Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?

Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?

Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Huyo Shekhe mbona hilo tamko ni kama kalitolea hotelini vile,..😉😉 na siyo kwa musikiti?
 
Kwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?

Kwamba:

"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.

Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."


View attachment 2725266

Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?

Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?

Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Bado huzijuwi jazba unazisikia tu.

Huyo siyo Muislam, anaigiza tu.
 
Kwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?

Kwamba:

"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.

Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."


View attachment 2725266

Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?

Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?

Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Mimi ni muislam Ila hawa jamaa wa bakwata Wazee wa Ubwabwa hua wanafanya vitu mpaka unajiuliza hawa watu wako sawa kweli wao maadamu uwahakikishie watapata ubwabwa
kwenye sherehe zao basi watakutetea hata kama utakua kwenye makosa hakikisha ubwabwa unapatikana na maji ya chupa basi hawana uwezo mkubwa wa kufukiri zaidi ya kufikiria ubwabwa tu
 
Dah,kwamba yamekuwa mashindano.
Kwakuwa kuna walaka wa TEC na wao watoe waraka,na sio kuhusu huo mkataba.
Takataka.
 
Kwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?

Kwamba:

"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.

Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."


View attachment 2725266

Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?

Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?

Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Yaani utadhani D P World ni sehemu ya Tanzania.
 
Mimi ni muislam Ila hawa jamaa wa bakwata Wazee wa Ubwabwa hua wanafanya vitu mpaka unajiuliza hawa watu wako sawa kweli wao maadamu uwahakikishie watapata ubwabwa
kwenye sherehe zao basi watakutetea hata kama utakua kwenye makosa hakikisha ubwabwa unapatikana na maji ya chupa basi hawana uwezo mkubwa wa kufukiri zaidi ya kufikiria ubwabwa tuWameahidiwa misikiti na Madrasa kama mchango wa D P World kwa wananchi. Hawa jamaa hawajafahamishwa kuwa nchi hii ina Wakristo? Unapokuja kukemea hali hii unaambiwa ni udine.
 
Back
Top Bottom