KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Waarabu na wayahudi walichoifanya dunia hii sijui ni nini? Cheki mtu alivyojawa jazba anataka kupasuka Kama amesemwa yy kumbe imesemwa kampuni ya kiarabu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu shekhe akili kisoda atakuwa kadanganywa kuwa TEC wanapinga mkataba wa Samia na DPW kwa kuwa rais Samia ni muislam.Kwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?
Kwamba:
"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.
Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."
View attachment 2725266
Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?
Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?
Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Yaani hata haihusiani. Sijui jazba ya nini? Hii jazba labda wangeipeleka kwa Allah kwa kuwaweka nchi moja na makafir pengine.Hawanaga brain hawa. Jazba na mikurupuko ndio character zao. Maaskofu wameainisha mapungufu ya mkataba. Wao wanajistukia kwamba wanaonwa ni foreigners!?
Sasa anatukomoa kunyamaza kuwa huo mkataba ni mzuri au
Itakuwa robot hiyo, kwani wamekatazwa kutoa waraka tena ikiwezekana waongeze na maandamano ya kupongeza.Kwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?
Kwamba:
"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.
Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."
View attachment 2725266
Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?
Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?
Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Huyo Shekhe mbona hilo tamko ni kama kalitolea hotelini vile,..😉😉 na siyo kwa musikiti?Kwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?
Kwamba:
"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.
Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."
View attachment 2725266
Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?
Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?
Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Bado huzijuwi jazba unazisikia tu.Kwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?
Kwamba:
"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.
Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."
View attachment 2725266
Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?
Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?
Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Mimi ni muislam Ila hawa jamaa wa bakwata Wazee wa Ubwabwa hua wanafanya vitu mpaka unajiuliza hawa watu wako sawa kweli wao maadamu uwahakikishie watapata ubwabwaKwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?
Kwamba:
"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.
Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."
View attachment 2725266
Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?
Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?
Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Yaani utadhani D P World ni sehemu ya Tanzania.Kwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?
Kwamba:
"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.
Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."
View attachment 2725266
Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?
Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?
Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Mimi ni muislam Ila hawa jamaa wa bakwata Wazee wa Ubwabwa hua wanafanya vitu mpaka unajiuliza hawa watu wako sawa kweli wao maadamu uwahakikishie watapata ubwabwa
kwenye sherehe zao basi watakutetea hata kama utakua kwenye makosa hakikisha ubwabwa unapatikana na maji ya chupa basi hawana uwezo mkubwa wa kufukiri zaidi ya kufikiria ubwabwa tuWameahidiwa misikiti na Madrasa kama mchango wa D P World kwa wananchi. Hawa jamaa hawajafahamishwa kuwa nchi hii ina Wakristo? Unapokuja kukemea hali hii unaambiwa ni udine.
Hahaha hawa jamaa hawa hahaHawa wamezoea vita, M. University watu wanalambwa bakora
Hatari snHahaha hawa jamaa hawa haha
Kwenye hili la bandari unashabikia ujinga mpaka nakushangaa !!Bado huzijuwi jazba unazisikia tu.
Huyo siyo Muislam, anaigiza tu.
Kivipi??WAKRISTO WANANUFAIKA NA BANDARI