Mashehe wamezingua au uwongo mkuu kamanda adriz?Duh!
Atueleze waislam mnanufaika vipi na mkataba baina ya Tanzania na Dubai?Kwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?
Kwamba:
"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.
Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."
View attachment 2725266
Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?
Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?
Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Hawanaga brain hawa. Jazba na mikurupuko ndio character zao. Maaskofu wameainisha mapungufu ya mkataba. Wao wanajistukia kwamba wanaonwa ni foreigners!?Kwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?
Kwamba:
"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.
Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."
View attachment 2725266Hawanaga
Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?
Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?
Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Yaani wamelalama utadhani wametajwa kwenye tamko..!!Kwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?
Kwamba:
"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.
Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."
View attachment 2725266
Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?
Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?
Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Elimu inasaidia sana kwenye maisha ya kila siku.HUyu shehe kiazi kweli anadhalilisha waislamu
Atueleze waislam mnanufaika vipi na mkataba baina ya Tanzania na Dubai?
Je kuna mahali waraka wa maaskofu umewataja waislamu?
Je DPW ni uislamu?
Upelekwe msikitini kwani wao ndio wenye mkataba wa DPW? Huyo aliyesema hayo, akili zake ni finyu sana.Kuna msikiti nilipita nasikia Sheikh anasema kama kweli wana nia njema kwanini hawakuuleta huo Waraka na huku msikitini?!
I was like Nigga?!!!
Maslahi ya DubaiKwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?
Kwamba:
"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.
Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."
View attachment 2725266
Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?
Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?
Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Hawa wamezoea vita, M. University watu wanalambwa bakoraKwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?
Kwamba:
"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.
Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."
View attachment 2725266
Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?
Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?
Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?
Kila mtu na mipaka yakeKuna msikiti nilipita nasikia Sheikh anasema kama kweli wana nia njema kwanini hawakuuleta huo Waraka na huku msikitini?!
I was like Nigga?!!!
Hawa watu Kila siku nawaambia humu, ni Mbumbumbu kwelikweli, yaaan wamejaaa ujinga wa kimataifaKwa nini masheikh wamechafukwa hivi na waraka huu dhidi ya mkataba wa Bandari?
Kwamba:
"Wasitufanye kama foreigners katika nchi hii.
Wametoa waraka umeaomwa makanisani na sisi tutoe waraka usomwe misikitini."
View attachment 2725266
Kwani waraka wa TEC ni dhidi ya masheikh au ni dhidi ya waislam?
Kwani masheikh ndiyo wenye mkataba huu?
Au hawa ndugu zetu na jazba hizi ni kwa maslahi ya nani?