Tukumbuke katika sakataa ESCROW bank ya Mkombozi ilitumika kupitisha pesa za ufisadi na maaskofu walipewa mgao.

Watu hata hawafanyi mapenzi na familia hawana lakini wanapenda sana hela sijui wanaenda kuhonga mabasha zao wanaowatindua.
Haina nguvu! Njoo na nyingine!
 
Hiyo ndio miujiza ya Tanzania.Hebu waulizwe labda wao wamepewa na DPW kopi ilioandikwa kiarabu na inawezekana tunasoma vitu viwili tofauti kwa Sharia law huruhusiwi kufanya mikataba ya dhuluma na hata bank kutaka riba ni haramu.
DP wangekuwa na hofu ya alllah wangesitisha na kuungana na maskini, lakini wapo kimaslahi, hawajali, waliolambishwa nai hawajali, Maulid, Mwijaku, na chawa wengine.
 
Hao ni mashoga tu hamna kitu pale TV imani
 
How do they know? Kama kilichosomwa ni msimamo wa TEC na ni maoni na mapendekezo yao, what's wrong with that. Yaani hao jamaa wanapinga tu kwa sababu waraka uliosomwa ni wa upande huu si upande wao.
 
Hao wavaa makobazi hawajawahi kuwa na akili zaidi ya kula tende za misaada na ng'ombe za waturuki.
Hizi ni chuki za wazi, unaweza kujadili na kumkosoa mtu bila kuutweza utu wake. Lakini naona muda si mrefu mambo ya 2012 yatajirudia.
 
Huwa nikiwaambia Muislam Hana Akili, muwe mnanielewa.

Hawa wanaelimu ya udini inayowaambia ,Nje ya Uislam wee ni kafiri, na kwamba ,unatakiwa kufaaaaa hata Kwa kujilipua kumtetea Muislam mwenzako.



Siunaona Sasa ? Hapa tunazungumzia Mkataba, wao wanaleta habari ya Samia, ana huruma, Mara Magufuli katili.

Sawa Magufuli katili, je angeruhusu Huu Upumbavu wa DPW???.


Hawa watu ni wajinga sanaa
 
Mashekhe timizeni wajibu wenu, mi mkristo lakini upuuzi wao ule siutaki
 
Wanoo upeo wa kuuchambua?
 

Magufuli aliwanyoosha majizi makuu ya Escrow bila kujali dini Wala madhehebu Yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…